Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Hii ndio kazi Magufuli anayoweza kufanya, yeye maendeleo ni usanii tu wa kwenye majukwaa.

Atamaliza miaka yake kumi ya ukora nchi ikirudi nyuma kimaendeleo kama treni ya Godegode. Very useless dictator.
"Makamanda nchi nzima, tulieni! Tumekuja hapa leo ili kuapa, tuweze kuendeleza harakati za mapambano. Mwenyekiti wetu anajua. Na kazi yangu mnaifahamu siku zote!" ~ HJM (Mb).
 
Bulaya mtoe kwenye hiyo list, maana alimfuata Mdee na sio chama. Labda Mdee ndio tumjadili. Ili waseme ni kwanini wamechukua hayo maamuzi, ndio hao wameitwa kwenye kikao wanyooshe maelezo lakini wamegoma.
Habari hii ni ya kushangaza sana. Hata ni ngumu kuamini kwamba Mdee angekuwa mmoja kati ya hao watu. Ni ajabu sana!
 
Kama sio kununuliwa, yaani hamna bei, huoni mtatafutiwa njia nyingine msiyoweza kuikataa?

Elewa kwamba tuna mtu wa ajabu sana aqnayefanya mambo usiyotegemea kwamba binaadam anaweza akayafanya. Huyu kwake hakuna lisiloweza kufanyika.
Hebu angalia Mbowe alivyohangaishwa hadi hapa tulipofikia! Mwishowe na yeye atasema, mateso yote haya ya nini wakati anaowaongoza kila mara hawaoni usumbufu anaopitia kumbe wao wapo kukidhi mahitaji yao tu, kama akina Mdee?
Bado siamini kabisa kuwa Mdee ni mmoja wao!
 
Ni wapi uliposoma nimeandika "naogopa kuuliwa"?

Basi furahia hiyo "keki ya taifa" huku ukitafuta damu za waTanzania.
Nimekupa heshima usiyostahiri kwa kukujibu hapa; kwani wewe ni mpuuzi mmoja nisiyekuwa na muda wa kupoteza kujibishana naye.

Haya endelea kushangilia, na huenda mkaipata hiyo damu mnayoitafuta kwa udi na ubani. Na hata mkishaipata, hamtaridhika, bado roho zenu zitaendelea kuhangaika tu hadi mwisho wenu utakapowadia.
 
Siku zote vyama vya upinzani vikiwa kwenye mgogoro lawama zote huenda kwa dola na CCM.
Kwani kwa mfano mdogo tu ulishawahi ona wapi AG anawatetea wabunge wateule wa Chadema? au uliwahi ona wapi mtu yuko mahabusu anapata fursa ya kusainishwa kuwa mbunge mteule wakati alinyimwa nafasi ya kujaza fomu ya kugombea ubunge makusudi hapo awali? au unataka kusema ni Repablican au Democratic wanaosabibisha mgogoro wa vyama vya upinzani
 
Labda kuuawa , lakini kununuliwa haipo , after all hii ccm wanayohamia wengine leo haina maisha marefu , maisha yake ni mafupi mno ! hii ni sawa na raia wa Zimbabwe leo hii ajiunge ZANU PF , ni lazima atakuwa karogwa
 
Kuna watu wana bahati Sana.
1) Chama kinaweka msimamo wa kutotambua matokeo wao wanakiuka msimamo huo.

2) Waanitwa kwenye kikao kujieleza wanaamua kukacha pia.
 
Nasikia wameshawasamehe tayari.
 
Nimekusoma na kukuelewa vizuri mkuu 'The Palm Tree' katika mistari yote huko juu, isipokuwa huo mstari uliouweka mwisho kabisa.

Unajua dhahiri kwamba hapa tulipofikia hapawezi kamwe kuwepo na hicho kitu unachokiita "Mwafaka".

Mwafaka utoke wapi wakati mporaji ameridhika uporaji wake umefanikiwa? Iliyobaki sasa hivi ni kuwashughulikia kwa njia mbali mbali wote wasiokubali uporaji uliofanyika. Inashangaza kidogo kuona kwamba bado kuna watu wenye matumaini, wewe ukiwa mmoja wao.
 
Leo Makamanda waliopigania chama zaudi yako unawaita "mianamke".
Ukome kabisa na matusi yako
Walipigania chama dhidi ya nani? Dhidi yenu?

Waliopigania chama dhidi yenu leo wamegeuka rafiki zako? Tusianzie hapo kushangaa?
 
Vuvuzela tu, umesha muhukumu Mbowe kisa Mdee katamka!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…