Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

The law doesn’t exist or live, in a vacuum. Nor does it materialise out of thin air. The law is based on a society’s norms, which are drawn from its dominant civilization.

Norms are fountains of knowledge and wisdom in which the law is sheathed. The law can protect you, or harm you. Like a sword, it’s double-edged and cuts both ways. It’s indeterminate.

That’s why laws and norms are end products of political processes. They are the distillation of social, ethical, religious or class-based interests of elites.

Often, laws are a class imposition by a hegemonic group, or elites in society over subordinate, or subaltern, strata.
You have simply tied yourself up with your own rope! Wonderful, colorful words, but the content is angrily hungry!
 
Umeongea point
Inawezekana viongozi wamezidiana kwenye mgao
Lakini mnyika anajua yote
Mbona mpaka muda huu wako kimy
Issue ya mgao inawezekana, lakini hisia zangu kubwa ni namna ya kukiendesha Chama kupitia ruzuku.

Vinginevyo mzigo unaweza kuwaelemea wachache. Wapiga kelele wengi siyo Wa kuwategemea sana ingawa impact yao iko kwenye kukifanya Chama kiishi.

Ila lazima mahesabu yalifanyika vizuri
 
kuwa mfuasi wa chadema kunahitaji sana moyo
Kuna mke wa Salum Mwalimu,kuna Mke wa Kigaila,kuna Mke wa John Mrema katika hao wabunge 19,na hao makamanda ni vibaraka wakubwa sana wa Mbowe,in maana nyumbu hawajui kwamba hapo hafukuzwi mtu?
Waonaje ukitulia huko kwenu ukafaidi mawazo ya mtu mmoja tu.
 
kama kweli walicho kifanya kina Mdee na wenzake ni "usaliti" sasa tujiulize je? tunauhakika gani kwa viongozi walio baki kuwa sio wasaliti watarajiwa?! maaana hakuna aliye wahi kutarajia wala kufikiria juu ya haya yaliyo tokea,
nasisitiza mwenyekiti ajiuzulu mara moja.
Mwenyekiti ndiye aliyemtoa yule wa Singida kwenda kuapa kesho yake tumia ubongo vizuri wewe mnatumika vibaya ninyi hili taifa letu sote hakuna mshindi wala mshindwa wote ni watanzania.
 
Kamati Kuu ni watu wasiojielewa wametawaliwa na tamaa..na hivi wanategemea sikuhizi Akili ya kigogo kafanya maamzi ndo basi tena
 
Tuliendelea kuisupport cdm maana kosa moja haliachi mke. Na cdm uchaguzi huu hawakurudia tena kosa la kuleta wagombea wasio na ridhaa ya wanachama.
Safi kabisa,na hata sasa wasipowafukuza hao wakina Halima nako pia mtaendelea kusapoti kama kawaida.
 
Muda mfupi kabla Kamati kuu CHADEMA kuwahoji wanachama wake walioapishwa kuwa wabunge wa viti maalum, wanachama hao wamesisitiza kutotokea mbele ya kamati kuu wakidai kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA wakihofia usalama endapo watafika ofisi za chama hicho.
--
Awali Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) leo waliandamana katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho zilizopo Kinondoni Dar es Salaam, kushinikiza kutowahitaji wabunge Halima Mdee, Ester Bulaya na wengine walioapishwa viti maalum.


Updates

PICHA: Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chadema wakiendelea na kikao hoteli ya Bahari Beach jijini Dar es Salaam cha kuwajadili Halima Mdee na wenzake 18 wanaotuhumiwa kwa usaliti wa chama kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalum. #MwanaHALISIDigital https:View attachment 1635850View attachment 1635851View attachment 1635852View attachment 1635854


Huu mchezo hauhitaji hasira
 
Hii ndio kazi Magufuli anayoweza kufanya, yeye maendeleo ni usanii tu wa kwenye majukwaa.

Atamaliza miaka yake kumi ya ukora nchi ikirudi nyuma kimaendeleo kama treni ya Godegode. Very useless dictator.
 
Wewe na wewe kichwa kibovu!

Kuitwa kujieleza ni udhalilishaji?unafahamu hasa lugha ya Kiswahili?unaweza kusema hapa wamedhalilishwa vipi?
Wewe na mnyika ndio vichwa vibovu, mlitaka kupeleka viburudisho vyenu, sauti ya zege kawaumbua , Halima ongeza volume.
 
Bujibuji, Huyo Hilda si ndiye alikua anaulilia ubunge wa viti maalum akatekwa chini. Akaanza kulialia
 
Back
Top Bottom