mi linalonihangaisha kwa sasa ni kutoka kwa majina ya ajira mpya za walimu wa msingi na sekondari tu.......nalitafuta jina la ndugu yangu silioni kabisaaaa, yupo benchi tangu 2018.
kuhusu hayo mambo yenu ya cdm na kina mdee nakuachieni......huko pekee ninachokikumbuka ni ile clip, iliyopata 'likes' nyingi sana humu ya mdee akiukaushia mkono wa bwana mashinji walipokutana pale mahakamani kwa mara ya kwanza baada ya mashinji kuhama chama!😁😁😁😁😁
kuhusu hayo mambo yenu ya cdm na kina mdee nakuachieni......huko pekee ninachokikumbuka ni ile clip, iliyopata 'likes' nyingi sana humu ya mdee akiukaushia mkono wa bwana mashinji walipokutana pale mahakamani kwa mara ya kwanza baada ya mashinji kuhama chama!😁😁😁😁😁