Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,734
- 19,537
"Makamanda nchi nzima, tulieni! Tumekuja hapa leo ili kuapa, tuweze kuendeleza harakati za mapambano. Mwenyekiti wetu anajua. Na kazi yangu mnaifahamu siku zote!" ~ HJM (Mb).Hii ndio kazi Magufuli anayoweza kufanya, yeye maendeleo ni usanii tu wa kwenye majukwaa.
Atamaliza miaka yake kumi ya ukora nchi ikirudi nyuma kimaendeleo kama treni ya Godegode. Very useless dictator.