Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 58,764
- 131,948
Wanabodi,
Kama kawaida ya wewe mwana JF, pata ile the JF advantage, ya be the first to know!,
Kuna breaking news ya good news Chadema, yule mwanamke wao wa shoka, shupavu, shujaa na chuma cha pua wa Chadema, Kamanda Halima James Mdee, is back ndani ya nyumba!, amerejea Chadema!
Nitakupa zaidi baada ya confirmation.... ila kionjo ni hiki
This is very good news ambapo Chadema itabarikiwa sana!, na Kawe pia inamsubiri ile 2030 ila kwa vile kutakuwa na wanawake wawili, maana CCM pia itamsimamisha mwanamke na huyo mwanamke wa CCM sio mwepesi, hivyo Kawe 2030, kutakuwa na kazi na sii ndogo!.
Lakini Halima Karibu tena nyumbani kwako, (sio kwetu)
Paskali.
Kama kawaida ya wewe mwana JF, pata ile the JF advantage, ya be the first to know!,
Kuna breaking news ya good news Chadema, yule mwanamke wao wa shoka, shupavu, shujaa na chuma cha pua wa Chadema, Kamanda Halima James Mdee, is back ndani ya nyumba!, amerejea Chadema!
Nitakupa zaidi baada ya confirmation.... ila kionjo ni hiki
This is very good news ambapo Chadema itabarikiwa sana!, na Kawe pia inamsubiri ile 2030 ila kwa vile kutakuwa na wanawake wawili, maana CCM pia itamsimamisha mwanamke na huyo mwanamke wa CCM sio mwepesi, hivyo Kawe 2030, kutakuwa na kazi na sii ndogo!.
Lakini Halima Karibu tena nyumbani kwako, (sio kwetu)
Paskali.