Halima Mdee apelekwa mahabusu

Halima Mdee apelekwa mahabusu

Status
Not open for further replies.
halima atachomoka 2 kwani kwenda sero ni kufungwa hata ww unaweza kupelekwa nchi yenyewe hii isiyofata utawala wa shelia shauli yoko
 
Sipati picha mheshimiwa Mbunge akinyea debe na kubeba mtondoo
 
Hivi mbowe alishawahi kukaa mahabusu kwa ajili ya chadema? Mbowe alishawahi hata kunaswa vibao kwa ajili ya chadema?
Siyo mara moja sema coz bado huja kauka nepi ungejuwa wachiye watu wazima ngoma ya kitoto haikeshi
 
Yani Halima ni bure kabisa yani alikuwa ana chekelea kabisa na anaona ni umaarufu!
 
Mkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa maabusu jioni hii. Anatarudishwa mahakamani hapo kesho.

Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu.
Kwani leo ndio alikwenda mahakamani?ni kesi hii ya kuandamana mpaka magereza?
 
Acha apelekwe,maana anajidai yupo juu ya sheria,huyu kasoma sheria ila hajui kuiaply.Maandamano yalikatazwa yeye kayaitisha,si uchochezi huo,akitoka huko atakuwa kajifunza

kati ya yeye aliyeandamana na aliyekataza kuandamana nani kavunja sheria? Kwa Kuwa kuandamana ni haki Kwa mujibu Wa katiba ya 1977 ili kuonesha hisia na kufikisha ujumbe za walalamikaji. Sasa wewe mbumbumbu mdee kavunja sheria ipi?
 
Iweje MACCM wajiruhusu kuandamana lakini CHADEMA wasiruhusiwe? Haki ya kuandamana ni ya kikatiba. Utawala huu wa kimabavu unaofanywa na hii Serikali dhalimu ipo siku utafikia kikomo.
 
Watanzania wengi hawajui kwamba Mungu atawapeleka motoni "waoga wote..." (Ufunuo 21:8). Kiingereza kimetafsiri neno hilo "cowards" au "fearful." Haki inadaiwa kwa nguvu, ni ghali mahali penye udhalimu. Ogopeni kufa sasa ili mkafe wengi motoni milele kwa uoga wenu!
 
Hawa Buku 7 watetezi wa mapanya na mafisi ndani ya chama chao cha wahuni hawalielewi hili.

Kwani wewe unajiona je..?! Huoni huo ukunguru wako..halima anapigania tunu za taifa, upunguzaji wa madaraka ya rais ili kuleta ufanisi, anapigania wabunge wachaguliwa waliosoma, anapigania baraza dogo la mawaziri lenye tija na ufanisi, anapigania ukomo wa mawaziri, anapigania haki za vijana na akina mama..nk ndicho anachopigania..wewe jifiche chini ya uvungu, na akili yako wape akina sita ubaki na timbo na makalio kufikiria..lakini najua kizazi chako kitakuja kufurahia matunda lkn watajua tulikua na babu muoga anapiganiwa haki zake na wanawake..babu ambaye akisikia polisi na jela anataka kujinyea
 
Tangu lini mbunge akawa msela???? Mdeee anajifanya msela wa kike sasa kakutana na makamanda ambao hawajui kulemba katembezewa virungu vya mgongoni huku akipanda kwenye difender chezea vyombo vya dora wewe
 
Mnapoambiwa msianfamane tunamaanisha tuko serious., na kesho mahakamani mkithubutu ni segerea tu.
 

Attachments

  • 1412714506075.jpg
    1412714506075.jpg
    35.6 KB · Views: 256
Tangu lini mbunge akawa msela???? Mdeee anajifanya msela wa kike sasa kakutana na makamanda ambao hawajui kulemba katembezewa virungu vya mgongoni huku akipanda kwenye difender chezea vyombo vya dora wewe

mbona mwenyekiti wa chama chenu ni msela !
 
na mwaka ujao mtakoma no kuongoza nchi wala nini mabahili wakubwa kaz uroho wa madaraka tu na bado vyombo vya dora vimewapania vitawasurubu kama enzi za utumwa nyie mjaribu kuandamana muone
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom