Halima Mdee apelekwa mahabusu

Halima Mdee apelekwa mahabusu

Status
Not open for further replies.
Ccm bila kubebwa na mapolis hawana ubavu, wao wanategemea wapinzani wao wadhibitiwe na mapolis ili wao wapate upenyo wa kutamba kisiasa.
 
Unadhani mnaweza kuwatisha makamanda wa kweli kwa kuwapeleka mahabusu? Hivo ni vijimambo vidogo sana na haviwezi kufifisha harakati za ukombozi wa pili dhidi ya mkoloni mweusi. Si Mkoloni mweusi bali MKOLONI MZAWA
 
Mwanamama mashuhuri zaidi kwa sasa Tanzania Halima Mdee leo atarudishwa mahakamani akitokea gereza la Segerea.

Halima Mwenyekiti wa Wanawake CHADEMA na mbunge wa Kawe anatarajiwa kupokelewa mahakamani na umati wa wafuasi wa Chadema na wananchi wa jimbo la Kawe.

Halima Mdee anapitia njia ileile ya watu maarufu Afrika na Tanzania waliopelekwa magerezani kwa sababu ya kutetea haki mfano wa Freeman Mbowe,Dr Wilbroad Slaa,Godbless Lema,Maalim Seif Sharrif Hamad,Nelson Mandela,Winnie Mandela nk..

Ninapoandika sasa tayari barabara zote za kuingilia mahakama ya Kisutu zimesheheni magari ya askari wenye bunduki na mabomu kwa hofu ya ujio wa Mdee hapa mahakama ya Kisutu.

Halima Mdee amelala mahabusu kama historia kubwa kwake na chama chake siku ambayo Rasimu haramu ya Katiba ya CCM ikikabidhiwa kwa Rais wa Jamhuri huko Dodoma.Rasimu ambayo imetupilia mbali maoni ya wananchi na kubeba maoni ya chama kimoja cha CCM.Rasimu ambayo imefanyiwa sherehe na CCM kote nchini.Rasimu iliyopitishwa na wajumbe pekee wa CCM huku wale watetezi wa maoni ya wananchi wakisusia.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri hapa mahakamani Kisutu..

Stay tuned..
 
Halima Mdee amekuwa maarufu sana kuliko hata alivyokuwa MM.
Kwa Halima kuwa mwenyekiti,kura za akina Mama mwakani ni kwa mgombea wa chadema /ukawa.
 
Ndio matunda ya mafunzo aliopata JKT Ruvu, nakumbuka alisema walikesha siku tatu porini wakichimba mahandaki.

Usiku na mchana hakuna kulala.

Leo kumuweka segerea tena vip ni kumpatia tunu ya "ushujaaa"

Leo tunamkubali Halima kama shujaa wa katiba mpya.
 
Atapewa tuzo ya kupigania ukombozi wa pili. Huyu ni Bi Titi wa enzi hizi!
 
Magamba kupitia policcm wanatupa sana promo! Inshallah Mwenyenzi Mungu tunawashukuru sana!

Daima tunawatumia ccm kufanya siasa zetu, na wanaingiaga kwenye 18 zetu kiulaniiii!

Ahsanteni sana magamba, ukoo wa panya!
 
ha ha haaaaaaaaaa molemo kweli hamnazo, anyee debe kwanza huyo teja ndio tutaelewana tabia
 
Napongeza hatua zote zinazochukuliwa na serikali ku deal na hawa wahuni....
 
Mwanamama mashuhuri zaidi kwa sasa Tanzania Halima Mdee leo atarudishwa mahakamani akitokea gereza la Segerea.

Halima Mwenyekiti wa Wanawake CHADEMA na mbunge wa Kawe anatarajiwa kupokelewa mahakamani na umati wa wafuasi wa Chadema na wananchi wa jimbo la Kawe.

Halima Mdee anapitia njia ileile ya watu maarufu Afrika na Tanzania waliopelekwa magerezani kwa sababu ya kutetea haki mfano wa Freeman Mbowe,Dr Wilbroad Slaa,Godbless Lema,Maalim Seif Sharrif Hamad,Nelson Mandela,Winnie Mandela nk..

Ninapoandika sasa tayari barabara zote za kuingilia mahakama ya Kisutu zimesheheni magari ya askari wenye bunduki na mabomu kwa hofu ya ujio wa Mdee hapa mahakama ya Kisutu.

Halima Mdee amelala mahabusu kama historia kubwa kwake na chama chake siku ambayo Rasimu haramu ya Katiba ya CCM ikikabidhiwa kwa Rais wa Jamhuri huko Dodoma.Rasimu ambayo imetupilia mbali maoni ya wananchi na kubeba maoni ya chama kimoja cha CCM.Rasimu ambayo imefanyiwa sherehe na CCM kote nchini.Rasimu iliyopitishwa na wajumbe pekee wa CCM huku wale watetezi wa maoni ya wananchi wakisusia.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri hapa mahakamani Kisutu..

Stay tuned..

Ndoo za segerea zinamhusu sana huyo teja wa kike
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom