Halima Mdee apelekwa mahabusu

Halima Mdee apelekwa mahabusu

Status
Not open for further replies.
- Saafi sana Sheria ni msumeno hakuna mbunge wala nani wakivunja Sheria weka rumande na wakileta za kuleta wapigeni tu u know!!

Le Mutuz

mwili mkubwa nilidhani na akili ni kubwa kumbe the opposite is damn true
 
UMEJUWAJE KAMA MIMI NI MUOGA hio A, na B UMEJUWAJE KWAMBA MDEE ANAPIGANIA AU ANALIPA FEDHA ZA WATU.
Kwani wewe unajiona je..?! Huoni huo ukunguru wako..halima anapigania tunu za taifa, upunguzaji wa madaraka ya rais ili kuleta ufanisi, anapigania wabunge wachaguliwa waliosoma, anapigania baraza dogo la mawaziri lenye tija na ufanisi, anapigania ukomo wa mawaziri, anapigania haki za vijana na akina mama..nk ndicho anachopigania..wewe jifiche chini ya uvungu, na akili yako wape akina sita ubaki na timbo na makalio kufikiria..lakini najua kizazi chako kitakuja kufurahia matunda lkn watajua tulikua na babu muoga anapiganiwa haki zake na wanawake..babu ambaye akisikia polisi na jela anataka kujinyea
 
Ungemshauri hivyo Nyerere wakati wa kudai uhuru ambao ni sawa tu na leo kudai ukombozi wa kiuchumi

Nyerere alipigana na nani na alifungwa jela gani? Acha kutuharibia historia yetu nzuri ya kupata uhuru bila kumwaga damu.
 
laana ya kulishwa na mzee wako mpaka miaka 55 amevunja sheria gani

- hahahahahahahaha ngoja akale maharage mabichi ndio atashika adabu kudadeki na huko ndani wakimuwacha sijui unawajua wale mburulazzz kule wamepinda sana U know!!

Le Mutuz
 
Wasije wakamfanyia uamsho !:A S-eek:
 
pengine mleta mada hakumaanisha vibaya! lakini kuna tofauti kubwa kati ya jela na maabusu. shortly, maabusu ni wakati wa pending case lakini jela ni baada ya kesi ya msingi kuisha na mtuhumiwa kuhukumiwa kifungo!

Aliyekaa jela miaka Mitatu na aliyekaa mahabusu miaka kumi nani amefungwa sana?
au nani mwenye nafuu.
 
Acha apelekwe,maana anajidai yupo juu ya sheria,huyu kasoma sheria ila hajui kuiaply.Maandamano yalikatazwa yeye kayaitisha,si uchochezi huo,akitoka huko atakuwa kajifunza
Ni kweli wameamua kumtia adabu.
Juzi alikuwa na Kikwete jukwaa kuu wakati wa ufunguzi wa Br ya Bagamoyo, siku mbili baadaye anaongoza maandamano kwenda Ikulu.
Sasa hapo aliokuwa nao jukwaa kuu ndo wana msanifu!
 
- Mwili mdogo ukivunja sheria rumande na kama vipi unapigwa tu!1

Le Mutuz
Wewe mtu unalelewa mpaka unakaribia miaka sitini utajua nini, mtu wakati halima mdee anapigania haki, wewe upo kwenye mitandao unapiga picha na wanawake huku unarembua..unafikiri maendeleo ya hii nchi italetwa na WANAUME warembuaji kama wewe..unafikiri kama kina mandela, nyerere, washingtong wangekuwa wanarembua ka wewe nchi zongesimama..anyway napoteza muda tu maana najua kwa uwezo wako wa akili huwezi nielewa..wewe endelea na ukula kulala na kupiga picha za kurembua ista.
 
Hawakufungwa kwa ujinga kama huu wa kutumiwa na wajerumani ili warudishe ukoloni na ushoga.

Kulikua na mkoloni mweupe, na vibaraka weusi, kwa sasa mambo yameba dirika sana, kuna mkoloni mweusi na vibaraka ni wale wale ila wameongezeka sana na kukosa akili kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom