Halima Mdee apelekwa mahabusu

Halima Mdee apelekwa mahabusu

Status
Not open for further replies.
Wewe mtutsi hii mbinu yako ya kujaza international forum na habari za kitanzania tumeishaishtukia. RWANDA ITAJADILIWA TU!
 
Hatari sana kumkwaza kiongozi wa watu. Alisema Jaji Msumi kwe kesi ya Mrema. Mema bado yupo uongozini baada ya miaka 20
 
Wewe mtutsi hii mbinu yako ya kujaza international forum na habari za kitanzania tumeishaishtukia. RWANDA ITAJADILIWA TU![/QUOTE]

Usikimbie jukwaa lako. Maji ukiyavulia sharti?.......maji yamekuwia marefu huko, ukakimbilia kwenye jukwaa hili. Watanzania ningependa wajue kuwa wewe ni mnyarwanda in camouflage kwa hiyo wakufurumushe urudi kwenye jukwaa la kimataifa. Tunakusubiria huko. Karibu Mhutu kwenye jukwaa la kimataifa

cc Koba, Talkandtalk, Commanche, MUKAMASIMBA, MGOSI132
 
Wewe mpanda mbegu za chuki huna jipya zaidi ya ugaidi. Yule mtu mliyemmwagia tindikali kule Igunga siku hizi husafiri naye tena ili kumnadi katika jitihada zako za kupandikiza chuki!?

Bora wamtoe maana jana amewasaga wenzake usiku kucha atokee tu loo
 
Ila hakujipeleka ili afungwe na sio kwa sababu za kijinga hivi.


Sababu zilikuwa ni hizi hizi kudai haki na kuhakikisha inapatikana ,tofauti yao ni kuwa Makaburu wa Afrika ya kusini walikuwa weupe na Makaburu wa huku kwetu Tanzania ni weusi ila tabia/vitendo na mawazo yao yanafanana-KUTAWALA.
 
Wewe mtutsi hii mbinu yako ya kujaza international forum na habari za kitanzania tumeishaishtukia. RWANDA ITAJADILIWA TU![/QUOTE]

Usikimbie jukwaa lako. Maji ukiyavulia sharti?.......maji yamekuwia marefu huko, ukakimbilia kwenye jukwaa hili. Watanzania ningependa wajue kuwa wewe ni mnyarwanda in camouflage kwa hiyo wakufurumushe urudi kwenye jukwaa la kimataifa. Tunakusubiria huko. Karibu Mhutu kwenye jukwaa la kimataifa

cc Koba, Talkandtalk, Commanche, MUKAMASIMBA, MGOSI132

kwa vile wewe ni mtani wangu naona nikufahamishe otherwise ningekudharau tu:
Maelezo: hii thread huyu "mkenya" aliileta kule international forum, tukailalamikia ikahamishwa huku kwenye jukwaa husika. Angalia time ya hiyo post yangu unayoijibu utaona kuwa ilikuwa ni time ambapo thread hii ilikuwa kule internationoal forum kabla haijahamishwa. Upo hapo mzee "dim"?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom