Halima Mdee apelekwa mahabusu

Halima Mdee apelekwa mahabusu

Status
Not open for further replies.
Nimefeli maisha njoo muhimbili nikuchome sindano matakoni ndo utajua nimefeli au nimefauli..mliofeli maisha ninyi mnaowakatikia akina chenge viuno pale bungeni..

Ha ha ha ha! Kumbe nesi wa redcross! Nilihisi tu.
 
Polisi nikatafute nini mangi, niache kuangalia biashara sangu nikashinde huko polisi!
Mtu mwenye biashara mjasiria mali hawezi kuonesha ukunguru uliouonesha hapa, ww utakuwa mlamba viatu wa kina kinana mtu wa pwani..!
 
- Saafi sana Sheria ni msumeno hakuna mbunge wala nani wakivunja Sheria weka rumande na wakileta za kuleta wapigeni tu u know!!

Le Mutuz

Wazungu walimuandama Mandela, wakamuita majina yote yasiyofaa na kumpa title za hovyo ikiwemo 'gaidi', wazungu hao hao na wamemuinua na kumtukuza Nelson mandela.
 
Kwani wewe unajiona je..?! Huoni huo ukunguru wako..halima anapigania tunu za taifa, upunguzaji wa madaraka ya rais ili kuleta ufanisi, anapigania wabunge wachaguliwa waliosoma, anapigania baraza dogo la mawaziri lenye tija na ufanisi, anapigania ukomo wa mawaziri, anapigania haki za vijana na akina mama..nk ndicho anachopigania..wewe jifiche chini ya uvungu, na akili yako wape akina sita ubaki na timbo na makalio kufikiria..lakini najua kizazi chako kitakuja kufurahia matunda lkn watajua tulikua na babu muoga anapiganiwa haki zake na wanawake..babu ambaye akisikia polisi na jela anataka kujinyea

Mdee analipa tu fadhila kwa Mbowe kumpa uenyekiti kwa kura zilizoshajazwa kwenye masanduku pale mlimani city, na analipa fadhila kwa wafadhili wa ushoga, (wajerumani)
 
- Maswali ya mvi muulize Dr. Slaa kama ni busara mbona hana mke wewe mkiltea za kuleta mptapigwa tu

Le Mutuz

Wakati mwingine kuoa si busara. Wewe unadhani busara hupima kwa idadi ya ndoa?
Kwa wengine kuoa ni wajibu, wengine utamaduni/ mapokeo, kwa wengine sifa, kwa wengine ni opportunity, wakati kwa wengine ni wito.
 
Acha apelekwe,maana anajidai yupo juu ya sheria,huyu kasoma sheria ila hajui kuiaply.Maandamano yalikatazwa yeye kayaitisha,si uchochezi huo,akitoka huko atakuwa kajifunza

Well this post says a lot about you
 
Wanawake mtakufa kwa roho zenu mbaya kuchukiana. Hapo tu umeshaona kakuzidi unamtakia mabaya? Lini mtajikomboa jamani?
Acha apelekwe,maana anajidai yupo juu ya sheria,huyu kasoma sheria ila hajui kuiaply.Maandamano yalikatazwa yeye kayaitisha,si uchochezi huo,akitoka huko atakuwa kajifunza
 
- Saafi sana Sheria ni msumeno hakuna mbunge wala nani wakivunja Sheria weka rumande na wakileta za kuleta wapigeni tu u know!!

Le Mutuz

ImageUploadedByJamiiForums1412695478.198206.jpg

Kajenga kwanza nyumba ya mamako ndo uje kuchangia hapa..hivi kwa nini husikii wewe?
 
Mtu mwenye biashara mjasiria mali hawezi kuonesha ukunguru uliouonesha hapa, ww utakuwa mlamba viatu wa kina kinana mtu wa pwani..!

Haya mimi sawa, mbona na wewe unafua pichu za Mbowe hatusemi!
 
Wazungu walimuandama Mandela, wakamuita majina yote yasiyofaa na kumpa title za hovyo ikiwemo 'gaidi', wazungu hao hao na wamemuinua na kumtukuza Nelson mandela.
Issue ya Mandela ndo unalinganisha na issue ya Halima?
 
Mdee analipa tu fadhila kwa Mbowe kumpa uenyekiti kwa kura zilizoshajazwa kwenye masanduku pale mlimani city, na analipa fadhila kwa wafadhili wa ushoga, (wajerumani)
Mule mule..hutaki kutumia akili yako hata kidogo..mdee kaanza kupachimba juzi eehee.? Akili umewapa akina sita ww umebakiwa na makalio kufikiri..
 
Mashujaa wengi duniani walipitia njia hiyo hiyo. Ninaamini ya kuwa ukombozi umekaribia. Pole Sana Kamanda, tunasimama nyuma yako! Hakika tutashinda, mahabusu, jela, polisi, mabomu havitatunyamazisha!
 
Issue ya Mandela ndo unalinganisha na issue ya Halima?

wote walikuwa wanadai haki Halima mdee atakuja kutukomboa watanzania kutoka kwenye mikono ya hawa mashetani wa ccm haki haipatikani bila kupambana Halima usikate tamaa muda wa ukombozi umeshakaribia TIME WILL TELL
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom