Mlizoea kumchezea ndugu yenu mwema sasa mnyaturu atawanyoa mpaka nywele za puaniMkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa maabusu jioni hii. Anatarudishwa mahakamani hapo kesho.
Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu.
Kaka punguza kufikiri kwakutumia makalio na tumbo unatuaibisha watu wa kaskazini then unataka rais atoke huku kweli kwa akili hyo utaweza kumshauri.
Ngoja siku uje angazangu nikupige PR kucheki prostate ndo utajua nesi au ni nanani..maana nyie walamba viatu labda PR ndo hamuogopi..
kati ya yeye aliyeandamana na aliyekataza kuandamana nani kavunja sheria? Kwa Kuwa kuandamana ni haki Kwa mujibu Wa katiba ya 1977 ili kuonesha hisia na kufikisha ujumbe za walalamikaji. Sasa wewe mbumbumbu mdee kavunja sheria ipi?
Makamanda wenzako wanaogopa virungu kawaambie watoto wa Mbowe na Dr.Slaa wajitokeze.Mkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa maabusu jioni hii. Anatarudishwa mahakamani hapo kesho.
Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu.
nimekudharau sana .
Nina degree mkuu usipate shida nami .
Mungu akusamehe kwa sababu haujui uliloliandikaAcha apelekwe,maana anajidai yupo juu ya sheria,huyu kasoma sheria ila hajui kuiaply.Maandamano yalikatazwa yeye kayaitisha,si uchochezi huo,akitoka huko atakuwa kajifunza
Siyo mara moja sema coz bado huja kauka nepi ungejuwa wachiye watu wazima ngoma ya kitoto haikeshi
She is so cute, how could they put her there?
This is insane.
"Na mimi nasema wapigwe, maana hamna namna, tumechoka," By Pinda!
Acha apelekwe,maana anajidai yupo juu ya sheria,huyu kasoma sheria ila hajui kuiaply.Maandamano yalikatazwa yeye kayaitisha,si uchochezi huo,akitoka huko atakuwa kajifunza
Sawasawa. Kwani yeye si aliambiwa asiandamane, kilimpeleka nini? Yaani nyie mnajifanya kushabikia upinzani mgejua wanachopigania ni kutawala na si maendeleo. Tanzania haihitaji mabadiliko ya chama bali fikra za watanzania kupitia viongozi wawe CCM au chama kingine.
Bora afungwe kabisa......yaani ikiwezekana serekali imuweke mfuko wa nyuma kabisa, asiishie kwenye mfuko wa shati.
Makamanda wenzako wanaogopa virungu kawaambie watoto wa Mbowe na Dr.Slaa wajitokeze.