immigrant
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 233
- 128
wewe mkuu muda wote unakuwa unafanya nini..kuwakatikia akina chenge na sita viuno..kama mlivyofanya bungeni..taifa la makunguru kama ninyi ni taifa mfu..kusikia jela tu unataka ujikojolee..Afungwe tu. Si mnajifanya wanaharakati!