M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,097
Dah! tulianza na mungu tutamaliza na mungu
UMEJUWAJE KAMA MIMI NI MUOGA hio A, na B UMEJUWAJE KWAMBA MDEE ANAPIGANIA AU ANALIPA FEDHA ZA WATU.
Mbona muoga sana..unaogopa virungu..mwanamke kama halima anakushinda..wewe umejificha chini ya kitanda unaogopa virungu..kazi unayoweza ni kuwasifia wanaime wenzako sita na chenge na kuwakatikia mauno..taifa la wanaume waogo na wapaka ina kama wewe ni taifa mfu..eti virungu..cowardnendeni mpigwe virungu
Jela ndio hiyo hiyo mahabusu.
jela lazima uingizwe vitu venye ncha kali
Ninyi mnaosifia akina sita na chege na kuwakatikia mauno pale bungeni si mnaimgiziwa kwa hiyari..mwanaume unaogopa jela..kapake ina basi ili akina sita wakupende zaidi..jela lazima uingizwe vitu venye ncha kali
hatuogopi chochote ngoja kesho uone kitanuka hapo mahakamani
Taifa lenye wanaume waoga kama wewe ni taifa mfu..taifa ambalo akina halima ndo wanapigania haki..alafu wanaume wamebaki kuhongwa hongwa kama wanawake na kuwakatikia akina chenge na sita viuno ni taifa mfu..cowardNilidhani utawaambia makamanda muende jela mkalale badala yake...kumbe mnataka kwenda mahakamani kesho kwa uwingi....haya shauri yenu....mtapigwa na kuvunjwa viuongo mkijidai mna uchungu na mdee....mwisho wa siku mtajuta kwani mnapaswa mumuache mwenyewe mchimba kisima...ameyataka na yanawezekana kuyapata ...nasi wapenda amani na utii wa sheria bila shuruti tunampongeza sana hakimu aliyemtia adabu
Mkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa jela jioni hii... Anatarudishwa mahakamani hapo kesho...
Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu..
Ungemshauri hivyo Nyerere wakati wa kudai uhuru ambao ni sawa tu na leo kudai ukombozi wa kiuchumiNilidhani utawaambia makamanda muende jela mkalale badala yake...kumbe mnataka kwenda mahakamani kesho kwa uwingi....haya shauri yenu....mtapigwa na kuvunjwa viuongo mkijidai mna uchungu na mdee....mwisho wa siku mtajuta kwani mnapaswa mumuache mwenyewe mchimba kisima...ameyataka na yanawezekana kuyapata ...nasi wapenda amani na utii wa sheria bila shuruti tunampongeza sana hakimu aliyemtia adabu
nasubiri kiona unavyo wasurubu polisi
Wewe nikuache tu maana kama wanaume ambao wako ccm ni waoga kama kunguru wao kusikia jela tu hapa wanataka kujinyea sijui nyinyi wanawake huko mtakuaje.? Kama wanaume na akili zao wanawasifia akina chenge na sita wanafikia mpaka kuwakatikia viuno pale bungeni, sijui wanawake huko mtakuwaje..? Nikuache tu..Acha apelekwe,maana anajidai yupo juu ya sheria,huyu kasoma sheria ila hajui kuiaply.Maandamano yalikatazwa yeye kayaitisha,si uchochezi huo,akitoka huko atakuwa kajifunza
naunga mkono hoja Muda wa ukombozi umeshakaribia hakuna kurudi nyuma daimaDhahabu ili ingae na kupata thamani lazima ipite kwenye tanuru la moto mkali. Halima Mdee usife moyo, ufanyayo yata kumbukwa kwa heshima siku zijazo kwani unao wapigania ni masikini wa nchi hii ambao hawana wa kuwasemea. Utatukanwa na vihawara vya watawala (kama hawa wa JF) lakini wenye mapenzi mema na nchi mioyo yao inaumia zaidi kuliko wewe unayepata mateso ya mwili.
Giza limekuwa nene mno lazima mapambazuko yako karibu. Usife moyo.
Nchi ya wanaume waoga kama wewe..ambao haki zako zinapiganiwa na wanawake..ww sijui unapikilishwa..