Halima Mdee apelekwa mahabusu

Halima Mdee apelekwa mahabusu

Status
Not open for further replies.
Ni kweli wameamua kumtia adabu.
Juzi alikuwa na Kikwete jukwaa kuu wakati wa ufunguzi wa Br ya Bagamoyo, siku mbili baadaye anaongoza maandamano kwenda Ikulu.
Sasa hapo aliokuwa nao jukwaa kuu ndo wana msanifu!
Huko ccm mbona kama kuna wanaume waoga sana..mnafanyana nini huko..?!
 
- Saafi sana Sheria ni msumeno hakuna mbunge wala nani wakivunja Sheria weka rumande na wakileta za kuleta wapigeni tu u know!!

Le Mutuz

Ina maana msumeno huo una makali pande zote mbili..? . Sheria ni zetu sote na inabidi zitumike kwetu sote pindi inapo hitajika ili kuweka mambo kwenye mstari mnyoofu.

Kama vipi nipe Gwala mkuu kwa kuzipa meno sheria za nchi yetu.
 
- Saafi sana Sheria ni msumeno hakuna mbunge wala nani wakivunja Sheria weka rumande na wakileta za kuleta wapigeni tu u know!!

Le Mutuz


pinda+wapigeni+tu.jpg
 
Kulikua na mkoloni mweupe, na vibaraka weusi, kwa sasa mambo yamedirika sana, kuna mkoloni mweusi na vibaraka ni wale wale ola wameongezeka sana na kukosa akili kabisa

Andika taratibu bishost, naona kama umepanic na unabofya herufi ovyo ovyo!
 
- hahahahahahahaha ngoja akale maharage mabichi ndio atashika adabu kudadeki na huko ndani wakimuwacha sijui unawajua wale mburulazzz kule wamepinda sana U know!!

Le Mutuz
Watu tumekula maarage mabichi tena yenye wadudu kwa miaka sita ndo iwe kula hapo mahabusu siku mbili..?! Wewe acha wanawake wa shoka wapachimbe wewe kapige picha za kurembua insta..
 
MWAKA HUU ATUCHEKI NA kunguni.....wasije wakatulaza sakafuni
NA HATUCHEKI NA NYANI.........tusije kupishana na msimu wa mavuno
NA HATUCHEKI KWALE ...........Tusije tukabaki na manyoya

MPAKA MUMTAJE ALIEWATUMA
YAANI HATULALI
HATUNYWI MAJI
HATUSTAREHE NA WAKE ZETU KWA RAHA....ukiuliza nini ETI UKAWA.
nini UKAWA bwana ..... WHO IS UKAWA..WHO`S SHE?
 
- Maswali ya mvi muulize Dr. Slaa kama ni busara mbona hana mke wewe mkiltea za kuleta mptapigwa tu

Le Mutuz
Ukiongea mambo ya mke unaingia kubaya maana tutanza kuongea habari za ANNA hapa ambae sijui mmepishana mwaka..
 
Watu tumekula maarage mabichi tena yenye wadudu kwa miaka sita ndo iwe kula hapo mahabusu siku mbili..?! Wewe acha wanawake wa shoka wapachimbe wewe kapige picha za kurembua insta..

- Sheria ni msumeno ingawa kajitahidi safari hii mpaka kaenda mahabusu inatia moyo kidogo, Mwenyekiti yupo South Africka anakuyla batazz U know!!

Le Mutuz
 
MWAKA HUU ATUCHEKI NA kunguni.....wasije wakatulaza sakafuni
NA HATUCHEKI NA NYANI.........tusije kupishana na msimu wa mavuno
NA HATUCHEKI KWALE ...........Tusije tukabaki na manyoya

MPAKA MUMTAJE ALIEWATUMA
YAANI HATULALI
HATUNYWI MAJI
HATUSTAREHE NA WAKE ZETU KWA RAHA....ukiuliza nini ETI UKAWA.
nini UKAWA bwana ..... WHO IS UKAWA..WHO`S SHE?
Wewe endelea na ukunguru mpaka kina sita waku....ndo akili itarudi maana naona akili umewapa ww umebakia na makalio na tumbo ambalo linakutia woga kama kunguru..
 
pengine mleta mada hakumaanisha vibaya! lakini kuna tofauti kubwa kati ya jela na maabusu. shortly, maabusu ni wakati wa pending case lakini jela ni baada ya kesi ya msingi kuisha na mtuhumiwa kuhukumiwa kifungo!

Nadhani alichomaanisha ni kwamba leo Halima hatorudi nyumbani kwake, Mamlaka inampeleka kulala akiwa chini ya uangalizi wa Jeshi la Magereza huko Jela. Sawa sawa.

Huwa nasema hii nchi vilaza ni wengi sana, wengi sana.

Hivi Halima mdee ni nani asiyemjua hii nchi, ni kweli wangemuacha aende nyumbani kwake kulala kesho asingerudi hapo mahakamani, angetoroka halima?


My Country Tanzania, My God heal thee
 
Hujaelewa maswali yangu, ndio maana umefeli maisha.
Nimefeli maisha njoo muhimbili nikuchome sindano matakoni ndo utajua nimefeli au nimefauli..mliofeli maisha ninyi mnaowakatikia akina chenge viuno pale bungeni..
 
Siwezi kubishana na watu cowards kama wewe..si ajabu una miaka 30 hata polisi kwenda kutoa ushahidi hujawai fika..so ni ukubguru tu unakusumbua.. Acha wanawake wa shoka kama akina halima mdee wapiganie haki zako..wewe kapake hina-coward

Polisi nikatafute nini mangi, niache kuangalia biashara sangu nikashinde huko polisi!
 
ngoja anyee debe ataelewa utii wa sheria ni nn

Toka uwe na akili ni sheria ipi katika hii nchi ilishawa kutekelezwa kwa haki bila kujali maskini na tajiri acheni hizo au ziliwekwa kwa ajili ya tabaka fulani ila mjue haki huinua Taifa .
 
- Sheria ni msumeno tulia mkuu mtaenda wote huko mkifanya mchezo sheria tu

Le Mutuz
Kwani kuna kipya hapo sheria hizo zilishawapitia akina mandela, nyerere, nk wewe ndo unaona hatari sana maana ni muoga kama kuku, lkn ni kawaida sana..
 
Kasome historia nyerere alikuwa na kesi ngapi mahakamani wakati wakudai uhuru acha ukasuku..
Tatizo la kuzoea ku hadithiwa kuna watu kusoma ni mashariki na magharibi so ni wa kuwahurumia tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom