Kina mama tuige mfano wa kamanda Halima. Tuondoe woga kutetea haki zetu. Tujiulize je tunazitambua haki zetu? Je tunaielewa vyema rasimu ya CCM? Je kweli itatufikisha? Kama la tujipangeje kuipigia kura ya HAPANA?
Humu Halima ameiva,kulala segerea sio kitu ukilinganisha na kulala porini.Silaha begani, jembe,na risasi zinalia.Ujanja wa porini.you are a soldier Matron.Yatakwisha haya
Nipo njiani naenda kumpokea
CDM wajanja. Waliacha alale lupango ili kufunika coverage ya makabidhiano ya rasimu. Leo watagawana habari lolMkt wa Bawacha Taifa na Mbunge wa Kawe Mhe. Halima mdee Amepelekwa maabusu jioni hii. Anatarudishwa mahakamani hapo kesho.
Makamanda kesho tuende mahakamani kwa uwingi kuichukua haki yetu.
Kapime maleriana mwaka ujao mtakoma no kuongoza nchi wala nini mabahili wakubwa kaz uroho wa madaraka tu na bado vyombo vya dora vimewapania vitawasurubu kama enzi za utumwa nyie mjaribu kuandamana muone