Halima Mdee apelekwa mahabusu

Halima Mdee apelekwa mahabusu

Status
Not open for further replies.
Leo bila shaka Mh wetu sana Halima Mdee atapatiwa dhamana. Hawa wanaojiita makamanda ilikuwaje wakamwacha Mh Mdee ashindwe kukidhi masharti ya dhamana mpaka yamkute haya yaliyomkutaa. Nguvu ya wananchi ilishindwa kazi? Eti leo twende tukampokee, kwanini jana hatukwenda kumtoa. Hatuna haja ya kumuuliza Henry Kilewo yaliyomkuta huko mahabusu. Mh Mdee karibu uraiana na sisi tupo Dodoma tukisherekea. Endapo haita kutatiza, karibu Dodoma.

Alikwenda kutoa elimu ya urai huko mahabusu na kuangalia mazingira ya huko
 
Mwenzio yupo VIP, ni muhitimu pia wa mafunzo ya KJT pale Ruvu,

Hatuna mashaka hata wakimuacha miezi.

Halijui hilo huyo bwabwa. Halima yuko fiti sio kama yule jamaa yao akisimama dakika ishirini mara kizunguzungu kisha chali. Huyo sio kama yale mama yao yaliyojaa bungeni kusubiri kushangilia kwa kukata mauno.
 
Na wakidhubutu kwemda tumahakamani watajua kilichomtoa paka pangoni maana nyie hamckii
 
Iweje MACCM wajiruhusu kuandamana lakini CHADEMA wasiruhusiwe? Haki ya kuandamana ni ya kikatiba. Utawala huu wa kimabavu unaofanywa na hii Serikali dhalimu ipo siku utafikia kikomo.

Bora wamtoe maana jana amewasaga wenzake usiku kucha atokee tu loo
 
Ingebidi apigwe siku 14 segerea, ufahamu ungemrudia!

Ili aendelee kuwasaga wenzie? Hapana atoke tu alichowafanyia wenzio kuwasaga usiku kucha inatosha ImageUploadedByJamiiForums1412752277.450819.jpg
Ngoja niongeze na stimu kabisa
 
- hahahahahahahaha ngoja akale maharage mabichi ndio atashika adabu kudadeki na huko ndani wakimuwacha sijui unawajua wale mburulazzz kule wamepinda sana U know!!

Le Mutuz

Kwani Le Mutuz kule ndani umeshafika??? au ndo unataka kusema kule ndani hakuna haki za binadamu???
 
ila hii mijamaa ya ccm inanichekesha sana, yenyewe inataka mambo rahic rahic. yanajipendekeza kucomment mambo yanayowafurahisha watawara na mafisadi wakiamini kuwa wanaweza pata gawio. fanyeni kazi vijana hawa mavidumu watawatumia hata kwanjia mbaya
 
Mbunge mmoja wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA amepelekwa rumande baada ya kushindwa kutimiza vigezo vya dhamana mahakamani.

Halima Mdee ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la wanawake wa chama hicho pamoja na wenzake wanane, walifikishwa kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam wakituhumiwa kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku.

Mwandishi wa BBC mjini Dar es Salaam Baruan Muhuza amefanya mahojiano na msemaji wa chama hicho Tumaini Makene ambaye kwanza anaelezea kwanini Mbunge huyo amekosa dhamana?


Chanzo: BBC Swahili
 
Hii mada peleka jukwaa la siasa bana ebo umejiunga JF tangu 2013 May mpaka leo hujui hizi mada zinasatahili kuwekwa wapi !.Tuanachane na mambo ya Mdee yule ni kamanda ana uwezo wa kumudu mazingira ya magereza vipi Kenyatta anaendelea na kesi yake huko ICC ?.Nasikia Ruto kachukua mikoba tena upo uwezekano Uhuru akabakia huko huko The Hegue majaji wameona marais wa Africa hawataki kutii sheria wanajua wakimwache arejee Kenya anaweza kutokomea kama Al Bashir wa Sudan.
 
Mbunge mmoja wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA amepelekwa rumande baada ya kushindwa kutimiza vigezo vya dhamana mahakamani.
Halima Mdee ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la wanawake wa chama hicho pamoja na wenzake wanane, walifikishwa kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam wakituhumiwa kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku.
Mwandishi wa BBC mjini Dar es Salaam Baruan Muhuza amefanya mahojiano na msemaji wa chama hicho Tumaini Makene ambaye kwanza anaelezea kwanini Mbunge huyo amekosa dhamana?

Mbunge wa upinzani rumande TZ - BBC Swahili


Mkuu, hukwenda kumsindikiza rais wako kuhojiwa mahakamani? angalia wasije naye wakamuweka rumande.
After that one is kagame.....ahahahahaa
 
Mkuu, hukwenda kumsindikiza rais wako kuhojiwa mahakamani? angalia wasije naye wakamuweka rumande.
After that one is kagame.....ahahahahaa

Vipi ile mishe yako ya kuwauzia Warwanda demokrasia, unaona vipi wanakuskliza?
 
Du...!
Matter on hand tumeiacha tunaparamia mambo ya tofauti!....
Wengine hatupendi amani itoweke hapa bana!
lawmaina78 ulitakiwa kuweka link ya Tumaini Makene tuisikilize!
 
Last edited by a moderator:
Hii mada peleka jukwaa la siasa bana ebo umejiunga JF tangu 2013 May mpaka leo hujui hizi mada zinasatahili kuwekwa wapi !.Tuanachane na mambo ya Mdee yule ni kamanda ana uwezo wa kumudu mazingira ya magereza vipi Kenyatta anaendelea na kesi yake huko ICC ?.Nasikia Ruto kachukua mikoba tena upo uwezekano Uhuru akabakia huko huko The Hegue majaji wameona marais wa Africa hawataki kutii sheria wanajua wakimwache arejee Kenya anaweza kutokomea kama Al Bashir wa Sudan.

Hii niliiona kwenye BBC international ndio nikaileta huku international tuijadili kama raia wa nchi tofauti. Kule jukwa la siasa ni la Wabongo pekee. Naona ngoma mnaipiga vingine ilhali mnawapelekea Warwanda demokrasia.
Uhuru mambo yake yanaendelea vizuri, ila sasa hivi tuna rais, kwamba yuko kule kama raia. Na akibaki sawa, nchi itaendelea.
 
Mbunge mmoja wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA amepelekwa rumande baada ya kushindwa kutimiza vigezo vya dhamana mahakamani.

Halima Mdee ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la wanawake wa chama hicho pamoja na wenzake wanane, walifikishwa kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam wakituhumiwa kufanya maandamano yaliyopigwa marufuku.

Mwandishi wa BBC mjini Dar es Salaam Baruan Muhuza amefanya mahojiano na msemaji wa chama hicho Tumaini Makene ambaye kwanza anaelezea kwanini Mbunge huyo amekosa dhamana?


Chanzo: BBC Swahili

Ndio maana wanachinjwa uarabuni, BBC na zao la watetezi wa mashoga.
 
Vipi ile mishe yako ya kuwauzia Warwanda demokrasia, unaona vipi wanakuskliza?

Mkuu, hiyo tuta apply kama tulivyomfanyia idd amin kule uganda. Tunaingia kwa kishindo, tunasimamia uchaguzi huru na wa haki alafu jeshi linakaa kama miaka miwili hivi. Si unajua TZ ndo USA ya East africa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom