Kwani Mnyika mwanamke? Hacha kukurupuka we binti!".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."
Vipi Mnyika?!
hawezi kuwepo yule jamaa sema atakuwa anajipanga si unajua vita yake ni magazeti ya udaku ndio uwanja wake ule
gwajima hana lolote la uadilifu. kanisa lake kama kakobe ni kampuni ya kujipatia kipato kwa udanganyifu. baada ya kuwazuga wafuasi wao na kupata utajiri mkubwa uroho umewazidia. wanaona kwenye siasa kuna pesa zaidi.
".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."
Vipi Mnyika?!
Maelfu ya watu wahudhuria leo kanisani kwa mchungaji Gwajima. Ibada hiyo iliyohudhuriwa na waimbaji nguli wa nyimbo za Injili Munishi
Waumini hao walilipuka kwa shangwe viwanjani hapo baada ya Rose Mhando kumuomba mchungaji Gwajima amruhusu kuhamia kanisani kwake.
Sasa Mbunge Halima Mdee amekaribishwa kuongea, nitaendelea kuwapa updates.
Fulo kampaisha Gwajima, sasa hivi atafikia level za Diamond kwa 'usukari wa warembo'
mbasha anapanga mkakati wa kumpiga kabali gwajima.ila kwa sasa itakuwa ngumu cos jamaa atakuwa anashinda hewani kama popo vile.si unajua tena kashusha chopper. lol
Jana ilikua Kakobe leo Gwajima,,, kwa chama kile kile....mbona sielewi hapa
Flora Mbasha juu ya Madhabahu akiimba jimbo ni SAA YA UFUFUO NA UZIMA
".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."
Vipi Mnyika?!
Mkuu lazima dada yetu agegedwe tu...
Ukweli mtupu;
Ukiangalia hili kwa makini utagundua Tanganyika imejivisha Na kujificha kwenye koti la muungano Na hivyo kuitawala zanzibar kiujanja ujanja
Nimegundua sasa,Gwajima alikuwa akipakaziwa tuu.
Songa mbele gwajima,kalishe kondoo neno la Mungu wamjue Yesu