Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

hawezi kuwepo yule jamaa sema atakuwa anajipanga si unajua vita yake ni magazeti ya udaku ndio uwanja wake ule

mbasha anapanga mkakati wa kumpiga kabali gwajima.ila kwa sasa itakuwa ngumu cos jamaa atakuwa anashinda hewani kama popo vile.si unajua tena kashusha chopper. lol
 
gwajima hana lolote la uadilifu. kanisa lake kama kakobe ni kampuni ya kujipatia kipato kwa udanganyifu. baada ya kuwazuga wafuasi wao na kupata utajiri mkubwa uroho umewazidia. wanaona kwenye siasa kuna pesa zaidi.

kwa sasa dini ni biashara mkuu na wewe anzisha lako.
 
Maelfu ya watu wahudhuria leo kanisani kwa mchungaji Gwajima. Ibada hiyo iliyohudhuriwa na waimbaji nguli wa nyimbo za Injili Munishi

Waumini hao walilipuka kwa shangwe viwanjani hapo baada ya Rose Mhando kumuomba mchungaji Gwajima amruhusu kuhamia kanisani kwake.

Sasa Mbunge Halima Mdee amekaribishwa kuongea, nitaendelea kuwapa updates.

duh huko tunakoelekea, Mungu tunusuru, naona unatupa updates tokea kanisani, that means kanisani kwenu mmepageuza sehemu ya biashara maana maadili yamepotea kiasi kwamba mnaweza post mkiwa ibadani, sawa ndugu tumewasikia kua kanisa lenu Ni maarufu, na muingie Facebook na twiter PIA kujitangaza, ILA kumbukeni Kuna adhabu ya kumtania Mungu na itawakuta mkiendelea kufanya upuuzi ibadani
 
mbasha anapanga mkakati wa kumpiga kabali gwajima.ila kwa sasa itakuwa ngumu cos jamaa atakuwa anashinda hewani kama popo vile.si unajua tena kashusha chopper. lol

dah! watu kwa majungu! nimekuvulia kofia mdg wangu.:what:
 
MaCCM wakiishiwa hoja wanaanza viroja .......Go Halima Mdee ....piga mzigo hakuna kulala .....
 
".....Mbunge wa dar es salaam kutoka Upinzani kushinda
Uchaguzi bila kutoa Rushwa..."

Vipi Mnyika?!

Kaka husomi ila unakurupuka .Mbunge wa kwanza mwanamke kasema rudia kusoma acha ukasuku .
 
haya na MNYIKA aende kwa MZEE WA UPAKO.,,
KAZI TUNAYO WATANZANIA.
 
Mwana f.a gwajima,Diamond,Alikiba,ney wamitego...
 
Ukweli mtupu;

Ukiangalia hili kwa makini utagundua Tanganyika imejivisha Na kujificha kwenye koti la muungano Na hivyo kuitawala zanzibar kiujanja ujanja

Tayari sasa CCM bye bye.
 
Kwa Mchungaji Gwajima leo ni full shangwe
 

Attachments

  • 1407062554559.jpg
    1407062554559.jpg
    85.2 KB · Views: 269
  • 1407062632757.jpg
    1407062632757.jpg
    64.9 KB · Views: 257
  • 1407062662212.jpg
    1407062662212.jpg
    112.8 KB · Views: 322
  • 1407062735292.jpg
    1407062735292.jpg
    55.6 KB · Views: 257
Back
Top Bottom