Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Halima Mdee ajisalimisha kwa Gwajima

Kmbwembwe acha wivu wa kitoto Bwana, we ulitaka watumishi wa Mungu Gwajima atembelee bajaji? Au mafisadi watembelee Chopa? Acheni Wivu bwana, mtu Kama hamumjui ipasavyo ujasiri wa kuongea mnautoa wapi?
 
ngoja gwajima am-flora mbashe aone naona kajipeleka mwenyewe
 
Mtaongea mengi sana kuhusu Gwajima ....... mara hili mara lile lakini wengi wanaoongea pumba, wanaonekana wazi kwamba hawana jipya la kuchangia na wengi wao ni wivu na ushamba ndivyo vinavyowasumbua ...... kuna wahubiri wengi duniani wenye vyombo vya usafiri vya kisasa kushinda hata hiyo helkopta wako wenye ndege za kusafiria tena zaidi ya moja ... acheni ushamba na udaku ....
 
Nadhani Gwajima ndio Askofu wa kwanza Tanzania kununua Helicopter. Hongera zake Sana, na Mungu ambariki sana duh!
 
Maelfu ya watu wahudhuria leo kanisani kwa mchungaji Gwajima. Ibada hiyo iliyohudhuriwa na waimbaji nguli wa nyimbo za Injili Munishi

Waumini hao walilipuka kwa shangwe viwanjani hapo baada ya Rose Mhando kumuomba mchungaji Gwajima amruhusu kuhamia kanisani kwake.

Sasa Mbunge Halima Mdee amekaribishwa kuongea, nitaendelea kuwapa updates.

Mrs Flora Gwajima yupo?
 
safi sana,sasa asigeenda pale ina maana asingesaidiwa uchaguzi wa 2015?Watanzania bwana
 
amenunua chopper wakati paa la hiyo madhabahu yake inatia aibu.kweli gwajima haeshimu ofisi yake inayo mpatia kipato.
 
Jana ilikua Kakobe leo Gwajima,,, kwa chama kile kile....mbona sielewi hapa
 
Back
Top Bottom