Kenge wewe biriani la ufipaWewe umeolewa???24/7 upo jf mumeo unamuhudumia muda gani?? Au umetoka kuchezea dushe la basha wako
Halima ulisha mpima?Unalinganisha wenye ulemavu wa kuzaa na waliochagua kuwa walemavu wa kuzaa
UwongoTiba rahisi ya uvimbe tumboni ni kuzaa watoto wasiopungua 3
Kivipi mkuu ili wakueleweKupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Nitajie mwanamke aliyezaa watoto watatu ambae alishapata huo ugonjwa. Ukitaka 2 nakutumia vochaUwongo
Sio kuzaa ni lile Tendo lenyewe Hasa!Waafrica tunawaza kuzaa tu, Counsellor wa Ujerumani Angela Merkel hana hata mtoto, waziri mkuu wa Uingereza hana hata mtoto mmoja.... Think kama binadamu ndugu....
Hakuna asiyetaka watoto ni majaliwa ndugu yangu. Shukuru Mungu kama huna tatizo lkn pia waombee wenye changamoto hiyo!!Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Sidhani, mbona watawa masister wanaishi hadi uzee lakini hawapati hilo tatizo....Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Kuna sehemu nimetaja Jina la Halima?Halima ulisha mpima?
Si kweliAolewe sasa , akiwa anachezea mshedede usiku kucha inasaidia kuzaa na kuondoa hizi complications.
Nimefanya kazi katika vituo vya afya na hospitali za kanisa na miongoni mwa "cases za hysterectomy" 90% wamefanyiwa masista! Hebu google basi ....Sidhani, mbona watawa masister wanaishi hadi uzee lakini hawapati hilo tatizo....