Tiba rahisi ya uvimbe tumboni ni kuzaa watoto wasiopungua 3Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiba rahisi ya uvimbe tumboni ni kuzaa watoto wasiopungua 3Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
PointKupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Mwenyezi Mungu aendelee kumpigania na afya yake izidi kuimarikaMbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amelazwa hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kufanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe tumboni.
Akizungumza leo Jumamosi Juni 8, 2019 Mdee amemshukuru Mungu kwa kuwa anaendelea vizuri, “Nilikuja hospitali juzi (Alhamisi) saa tisa alasiri kwa ajili ya kuangalia afya yangu.”
“Ila madaktari baada ya kunichunguza na kufanya vipimo wakabaini tumboni kuna tatizo na kunishauri nifanyiwe upasuaji haraka iwezekanavyo.”
Amebainisha kuwa kwa sasa anaendelea vyema na afya yake inazidi kuimarika tofauti na jana, kuwataka wapiga kura wake kutokuwa na wasiwasi.
“Nipo vizuri na kati ya kesho au Jumatatu madaktari wataniruhusu kurudi nyumbani,” amesisitiza Mdee
Theresia Ngowi, mama mzazi wa Halima amesema jambo analoshukuru ni mwanaye kutoka salama katika chumba cha upasuaji.
“Nilisimama katika neno la Mungu wakati mwanangu akiwa chumba cha upasuaji. Niliamini atapata ahueni na kurudi salama kwa sababu nilimwamini Mungu.”
"Unajua ukiwa unauguza mtoto, anayepata shida ni anayemuuguza kwa kweli kwa hatua hii namshukuru Mungu sana. Hii ndio operesheni ya kwanza kufanyiwa mwanangu," amesema Theresia.
Mbunge wa Bunda (CHADEMA), Ester Bulaya ameungana na Theresia kumshukuru Mungu kufanikisha upasuaji huo.
Kwa hiyo wameng'oa kabisa!!Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amelazwa hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kufanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe tumboni.
Akizungumza leo Jumamosi Juni 8, 2019 Mdee amemshukuru Mungu kwa kuwa anaendelea vizuri, “Nilikuja hospitali juzi (Alhamisi) saa tisa alasiri kwa ajili ya kuangalia afya yangu.”
“Ila madaktari baada ya kunichunguza na kufanya vipimo wakabaini tumboni kuna tatizo na kunishauri nifanyiwe upasuaji haraka iwezekanavyo.”
Amebainisha kuwa kwa sasa anaendelea vyema na afya yake inazidi kuimarika tofauti na jana, kuwataka wapiga kura wake kutokuwa na wasiwasi.
“Nipo vizuri na kati ya kesho au Jumatatu madaktari wataniruhusu kurudi nyumbani,” amesisitiza Mdee
Theresia Ngowi, mama mzazi wa Halima amesema jambo analoshukuru ni mwanaye kutoka salama katika chumba cha upasuaji.
“Nilisimama katika neno la Mungu wakati mwanangu akiwa chumba cha upasuaji. Niliamini atapata ahueni na kurudi salama kwa sababu nilimwamini Mungu.”
"Unajua ukiwa unauguza mtoto, anayepata shida ni anayemuuguza kwa kweli kwa hatua hii namshukuru Mungu sana. Hii ndio operesheni ya kwanza kufanyiwa mwanangu," amesema Theresia.
Mbunge wa Bunda (CHADEMA), Ester Bulaya ameungana na Theresia kumshukuru Mungu kufanikisha upasuaji huo.
Hivi mkewe ana mtoto kweli?Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Maisha hayana dressing kabisa inakuwaje mtu na mkewe wafanyiwe upasuaji ndani ya muda mfupi.Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amelazwa hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kufanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe tumboni.
Akizungumza leo Jumamosi Juni 8, 2019 Mdee amemshukuru Mungu kwa kuwa anaendelea vizuri, “Nilikuja hospitali juzi (Alhamisi) saa tisa alasiri kwa ajili ya kuangalia afya yangu.”
“Ila madaktari baada ya kunichunguza na kufanya vipimo wakabaini tumboni kuna tatizo na kunishauri nifanyiwe upasuaji haraka iwezekanavyo.”
Amebainisha kuwa kwa sasa anaendelea vyema na afya yake inazidi kuimarika tofauti na jana, kuwataka wapiga kura wake kutokuwa na wasiwasi.
“Nipo vizuri na kati ya kesho au Jumatatu madaktari wataniruhusu kurudi nyumbani,” amesisitiza Mdee
Theresia Ngowi, mama mzazi wa Halima amesema jambo analoshukuru ni mwanaye kutoka salama katika chumba cha upasuaji.
“Nilisimama katika neno la Mungu wakati mwanangu akiwa chumba cha upasuaji. Niliamini atapata ahueni na kurudi salama kwa sababu nilimwamini Mungu.”
"Unajua ukiwa unauguza mtoto, anayepata shida ni anayemuuguza kwa kweli kwa hatua hii namshukuru Mungu sana. Hii ndio operesheni ya kwanza kufanyiwa mwanangu," amesema Theresia.
Mbunge wa Bunda (CHADEMA), Ester Bulaya ameungana na Theresia kumshukuru Mungu kufanikisha upasuaji huo.
Eti oh serikali haijafanya lolote kwenye sekta ya afya, ha ha ha.Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amelazwa hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kufanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe tumboni.
Akizungumza leo Jumamosi Juni 8, 2019 Mdee amemshukuru Mungu kwa kuwa anaendelea vizuri, “Nilikuja hospitali juzi (Alhamisi) saa tisa alasiri kwa ajili ya kuangalia afya yangu.”
“Ila madaktari baada ya kunichunguza na kufanya vipimo wakabaini tumboni kuna tatizo na kunishauri nifanyiwe upasuaji haraka iwezekanavyo.”
Amebainisha kuwa kwa sasa anaendelea vyema na afya yake inazidi kuimarika tofauti na jana, kuwataka wapiga kura wake kutokuwa na wasiwasi.
“Nipo vizuri na kati ya kesho au Jumatatu madaktari wataniruhusu kurudi nyumbani,” amesisitiza Mdee
Theresia Ngowi, mama mzazi wa Halima amesema jambo analoshukuru ni mwanaye kutoka salama katika chumba cha upasuaji.
“Nilisimama katika neno la Mungu wakati mwanangu akiwa chumba cha upasuaji. Niliamini atapata ahueni na kurudi salama kwa sababu nilimwamini Mungu.”
"Unajua ukiwa unauguza mtoto, anayepata shida ni anayemuuguza kwa kweli kwa hatua hii namshukuru Mungu sana. Hii ndio operesheni ya kwanza kufanyiwa mwanangu," amesema Theresia.
Mbunge wa Bunda (CHADEMA), Ester Bulaya ameungana na Theresia kumshukuru Mungu kufanikisha upasuaji huo.
Upo sahihi.....Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Of course kuzaa siyo dhambi, na mchangiaji HAKUSEMA kuzaa ni dhambi ila ameonyesha kuwa hata KUTOZAA siyo dhambi. Kuna watu wengine wanataka sana kuzaa lakni kwa sababu moja au nyingine wanashidwa. Hivyo hatuna budi kutumia busara tunapoongelea juu ya watu wasio na watoto.Kwani kuzaa ni dhambi mkuu
Ningeshangaa kama Esther Bulaya asingekuwa karibu kucoment.Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amelazwa hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kufanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe tumboni.
Akizungumza leo Jumamosi Juni 8, 2019 Mdee amemshukuru Mungu kwa kuwa anaendelea vizuri, “Nilikuja hospitali juzi (Alhamisi) saa tisa alasiri kwa ajili ya kuangalia afya yangu.”
“Ila madaktari baada ya kunichunguza na kufanya vipimo wakabaini tumboni kuna tatizo na kunishauri nifanyiwe upasuaji haraka iwezekanavyo.”
Amebainisha kuwa kwa sasa anaendelea vyema na afya yake inazidi kuimarika tofauti na jana, kuwataka wapiga kura wake kutokuwa na wasiwasi.
“Nipo vizuri na kati ya kesho au Jumatatu madaktari wataniruhusu kurudi nyumbani,” amesisitiza Mdee
Theresia Ngowi, mama mzazi wa Halima amesema jambo analoshukuru ni mwanaye kutoka salama katika chumba cha upasuaji.
“Nilisimama katika neno la Mungu wakati mwanangu akiwa chumba cha upasuaji. Niliamini atapata ahueni na kurudi salama kwa sababu nilimwamini Mungu.”
"Unajua ukiwa unauguza mtoto, anayepata shida ni anayemuuguza kwa kweli kwa hatua hii namshukuru Mungu sana. Hii ndio operesheni ya kwanza kufanyiwa mwanangu," amesema Theresia.
Mbunge wa Bunda (CHADEMA), Ester Bulaya ameungana na Theresia kumshukuru Mungu kufanikisha upasuaji huo.
Madaktari wajitahidi warekebishe kidogo na kwenye koo