busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,712
- 2,574
Kule kwenye kwaya inaitwagwa sauti ya simba,,BASE
Madaktari wajitahidi warekebishe kidogo na kwenye koo
Madaktari wajitahidi warekebishe kidogo na kwenye koo
Yeah, scientificallyKupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Kweli kabisaKupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Of course kuzaa siyo dhambi, na mchangiaji HAKUSEMA kuzaa ni dhambi ila ameonyesha kuwa hata KUTOZAA siyo dhambi. Kuna watu wengine wanataka sana kuzaa lakni kwa sababu moja au nyingine wanashidwa. Hivyo hatuna budi kutumia busara tunapoongelea juu ya watu wasio na watoto.
Angefia theater wengesema wasiojulikana au CCM wamefanya yao...
Ugua pole Halima Mdee, tupo pamoja tunakuombea urudi kwenye harakati zako za kila siku....
Aliye sema kuzaa ni dhambi ni nani?Kwani kuzaa ni dhambi mkuu
Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Wanaume wa dar wameshindwa kumpa mimbaKupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Au mwenyekiti amsaidieAolewe sasa , akiwa anachezea mshedede usiku kucha inasaidia kuzaa na kuondoa hizi complications.
Aache michezo yake ileee !Wanaume wa dar wameshindwa kumpa mimba
Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Anamichezo gani huyu binti?Aache michezo yake ileee !
Anayo michezo ilee !Anamichezo gani huyu binti?
Inaonekana unaufurahia sana mshedede kila siku hadi unashauri mwanamke mwenzio kwa kutumia uzoefu wako😋Aolewe sasa , akiwa anachezea mshedede usiku kucha inasaidia kuzaa na kuondoa hizi complications.
Wewe umeolewa???24/7 upo jf mumeo unamuhudumia muda gani?? Au umetoka kuchezea dushe la basha wakoAolewe sasa , akiwa anachezea mshedede usiku kucha inasaidia kuzaa na kuondoa hizi complications.
Unalinganisha wenye ulemavu wa kuzaa na waliochagua kuwa walemavu wa kuzaaWaafrica tunawaza kuzaa tu, Counsellor wa Ujerumani Angela Merkel hana hata mtoto, waziri mkuu wa Uingereza hana hata mtoto mmoja.... Think kama binadamu ndugu....