feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,803
- 12,668
Mtoto si anaye? Au yule anayempost sio wake?Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Mtoto si anaye? Au yule anayempost sio wake?Kupata mtoto walau mmoja ni tiba nzuri kwa kina Mama.
Ha ha ha, hipo siku. Utasubiri sana.Hipo siku...
Samahani nilitingwa na agenda nyingine post sikumalizia. Nilitaka kupost hivi : hipo siku utaishukuru serikali kwa kutandika kitanda chako 'Ha ha ha, hipo siku. Utasubiri sana.
Wale wameolewa,Halima yeye kamuoa Esther unategemea watazaa vipi?
Kilaza unajitetea?Samahani nilitingwa na agenda nyingine post sikumalizia. Nilitaka kupost hivi : hipo siku utaishukuru serikali kwa kutandika kitanda chako '
Nijitetee kwa pimbi Kama wewe unayefikiri kwa kutumia tumbo ili nipate Nini? Mchana mwema.Kilaza unajitetea?
Kumbe napoteza mda na mgonjwa wa akili samahani.Kilaza unajitetea?
Endelea tu kujitetea, hamna tatizo.Nijitetee kwa pimbi Kama wewe unayefikiri kwa kutumia tumbo ili nipate Nini? Mchana mwema.
Halafu akitoka hospitali unasikia anasema toka tupate Uhuru CCM haijafanya lolote!!! Hiyo hospitali SI no kazi ya serikali ya CCM.Halima hapo hapo kitandani ulipolalia kitanda Cha serikali ya CCM hapo ICU sema CCM hoyeee