Halima Mdee aachiwa huru

Halima Mdee aachiwa huru

Umeshindwa kua mstaarabu kusikiliza kwanini wawe wastaarabu kukuzuia? Hakuna nchi yeyote dunia inayovumilia ujinga tunaona sana kwenye vyombo vya habari virungu vikitembezwa
 
Kuna haja ya kuchukua HATUA tena za ziada sn.
Ni ukiukwaji wa haki za binadamu uliopitiliza.Kama mnataka kumkamata mtu mkamateni kwa kumwambia na si kumpiga kama vile.
Mashirika ya kutetea haki za binadamu Duniani yako wapi? au yanafanya kazi ulaya tu?
Mungu kaa nasi wanao.
 
tatizo la maandamano yoyote yale ni chanzo cha uvunjifu wa amani,na hakuna serikali yoyote duniani inayoridhia maandamano na ukiona imekuwa hivyo imelazimu tu lakini maandamano hayapendeki ni kama mtu anakula chakula na pilipili japo anawashwa lakini anakula tu apate ili chakula kipite,hivyo polisi wala serikali wasilaumiwe ni hali halisi tu tukubali matokeo.

Inawezekana ikawa kweli ila kwanini kwenye maandamano hasa ya upinzani jamaa wanakuwa makini kuyazuia lakini kama wakipewa taarifa za ujambazi sehemu hata kama walikuwa jirani huwa hawajitokezi kwa haraka. Ingekuwa na kwa upande wa pili wa kuzuia ujambazi wanatokea kwa kasi sidhani kama watu wangehoji kwa sana. Wenyewe kwenye maandamano na kukamata bidhaa ambazo hazina risiti utawapenda lakini waambie majambazi wakija una bahati
 
Acha yamfike angalikaa kwake yasingemkuta huwezi kufanya kosa ukasingizia jinsia na kusubiri huruma za watu
 
tatizo la maandamano yoyote yale ni chanzo cha uvunjifu wa amani,na hakuna serikali yoyote duniani inayoridhia maandamano na ukiona imekuwa hivyo imelazimu tu lakini maandamano hayapendeki ni kama mtu anakula chakula na pilipili japo anawashwa lakini anakula tu apate ili chakula kipite,hivyo polisi wala serikali wasilaumiwe ni hali halisi tu tukubali matokeo.
Tatizo la aanania ni kwa jinsi walivyo n akii mbovu sana wapumavu na wajinga how on earth mtu anaita serikali ambaye amewekwa na wananchi atakataa kabisa kusikilza wananchi walimuweka na hapo hapo unauta kuna miskule waakubaliana na wapuuzi walioko serikalini majambazi wezi maharamia
 
Sasa polis mpaka wampige kwa lipi? Polis wa tanzania ndo chanzo kikubwa cha vurugu.
 
66666.jpg
 
kuandamana sio lazima watu wawe wengi,wakiwa wachache ndo vizur kuwasikiliza mahtj yao.
 
Kitendo cha polisi kuwapiga wanawake, hasa Halima mdee, ni kitendo cha aibu na kinatakiwa kilaaniwe na Watanzania wote wenye akili timamu. Wanawake wote bila kujali wewe ni CCM, CUF, NSSR mageuzi ni lazima mtoe tamko kwa wanawake wenzenu kudhalilishwa kiasi hiki. Wanawake kwa asili yao kimaumbile si watu wenye nguvu sana, inasikitisha kuona polisi wanaume wanampiga Halima Mdee kwa virungu utadhani wanakamata jambazi. Kitendo hiki kimenipa huzuni sana, ingawa kuandamana ni haki ya watanzania lakini kuwapiga wanawake virungu ni aibu. Nchi zingine watu wanaandamana lakini polisi wanawakamata kwa kwa ustaarabu, si kama ilivyotokea leo. Wito wangu, wanawake wote, watanzania wote bila kujali tofauti zetu tulaani kitendo hiki cha kihuni.

Ukisha kua polisi tu akili zina nakua likizo ya kudumu.
 
Mwenyewe huwa wana nishangaza sana polisi badala ya kulinda amani wanageuka kutumika kisiasa wakati wenyewe wana maisha magumu ka nini waache sifa za kijinga wauaji wa albino wana fahamika hawakamatwi kutumia nguvu nyingi kwenye upuuzi mambo ya kitaifa na yo affect wananchi kama wezi wanaachwa ila ndo nchi ilipofika kila mahali hamna haki only selfshness imetawala kila mahali wananchi nao wawe wanaua tu wakileta kiherehere chao kutumika

Hakuna polisi mwenye akili timamu Tanzania....ndio maana chrisslukosi alikimbia hii kazi ya upolisi.
 
Last edited by a moderator:
Umeshindwa kua mstaarabu kusikiliza kwanini wawe wastaarabu kukuzuia? Hakuna nchi yeyote dunia inayovumilia ujinga tunaona sana kwenye vyombo vya habari virungu vikitembezwa

Sijui kama ni ushamba au vipi, lakini nakwambia kwamba Maandano yamekuwepo tangu enzi na enzi na uwezi kuyazuia maana hakuna mwenye hati miliki ya dunia. Ukiona watu hawatofautiani na Serikali yao ujue hilo taifa ni mfu
 
Back
Top Bottom