tatizo la maandamano yoyote yale ni chanzo cha uvunjifu wa amani,na hakuna serikali yoyote duniani inayoridhia maandamano na ukiona imekuwa hivyo imelazimu tu lakini maandamano hayapendeki ni kama mtu anakula chakula na pilipili japo anawashwa lakini anakula tu apate ili chakula kipite,hivyo polisi wala serikali wasilaumiwe ni hali halisi tu tukubali matokeo.
Alitumwa na nani kuandaa maandamano haramu na apigwe tuu
Tatizo la aanania ni kwa jinsi walivyo n akii mbovu sana wapumavu na wajinga how on earth mtu anaita serikali ambaye amewekwa na wananchi atakataa kabisa kusikilza wananchi walimuweka na hapo hapo unauta kuna miskule waakubaliana na wapuuzi walioko serikalini majambazi wezi maharamiatatizo la maandamano yoyote yale ni chanzo cha uvunjifu wa amani,na hakuna serikali yoyote duniani inayoridhia maandamano na ukiona imekuwa hivyo imelazimu tu lakini maandamano hayapendeki ni kama mtu anakula chakula na pilipili japo anawashwa lakini anakula tu apate ili chakula kipite,hivyo polisi wala serikali wasilaumiwe ni hali halisi tu tukubali matokeo.
Alitumwa na nani kuandaa maandamano haramu na apigwe tuu
Kitendo cha polisi kuwapiga wanawake, hasa Halima mdee, ni kitendo cha aibu na kinatakiwa kilaaniwe na Watanzania wote wenye akili timamu. Wanawake wote bila kujali wewe ni CCM, CUF, NSSR mageuzi ni lazima mtoe tamko kwa wanawake wenzenu kudhalilishwa kiasi hiki. Wanawake kwa asili yao kimaumbile si watu wenye nguvu sana, inasikitisha kuona polisi wanaume wanampiga Halima Mdee kwa virungu utadhani wanakamata jambazi. Kitendo hiki kimenipa huzuni sana, ingawa kuandamana ni haki ya watanzania lakini kuwapiga wanawake virungu ni aibu. Nchi zingine watu wanaandamana lakini polisi wanawakamata kwa kwa ustaarabu, si kama ilivyotokea leo. Wito wangu, wanawake wote, watanzania wote bila kujali tofauti zetu tulaani kitendo hiki cha kihuni.
wanawake au mashangingi mdee ni mke wa nani msagaji yule na mvuta bang
Mwenyewe huwa wana nishangaza sana polisi badala ya kulinda amani wanageuka kutumika kisiasa wakati wenyewe wana maisha magumu ka nini waache sifa za kijinga wauaji wa albino wana fahamika hawakamatwi kutumia nguvu nyingi kwenye upuuzi mambo ya kitaifa na yo affect wananchi kama wezi wanaachwa ila ndo nchi ilipofika kila mahali hamna haki only selfshness imetawala kila mahali wananchi nao wawe wanaua tu wakileta kiherehere chao kutumika
ukiambiwa ukweli utakiwi kununa bwana mdogo mlikosea saana kuwafukuza wale wakina zitto itawachukua miaka 5 kuridi katika hali ya kawaida
Umeshindwa kua mstaarabu kusikiliza kwanini wawe wastaarabu kukuzuia? Hakuna nchi yeyote dunia inayovumilia ujinga tunaona sana kwenye vyombo vya habari virungu vikitembezwa
Apumzishwe mahala pema,amen