Halima Mdee aachiwa huru

Halima Mdee aachiwa huru

Hizi siasa za chadema kujitafutia umaarufu wa lazima hazitowakomboa watanzania..walikwepa kuingia bmk ambalo lilikuwepo kisheria sasa kwa akili za kawaida maandamano uchwara ya watu sita yatabadilisha sheria ambayo chadema wenyewe waliipitisha baada ya kupewa juice?

umaarufu cdm wanao sema wanapambana ili misukule mpate haki,kama juis ngapi wameacha wangeshakubali kuolewa toka kitambo kama akina mrema&cheyo
 
Jamini hii katiba sio ya chama bali niya wananchi mambo ya chama yawekeni pembeni mbona maCCM mnakuwa kama nyumbu mnafuata mkumbo sana kuwen na akili za kujitegemea
 
Kwanini kwenye KATIBA hii ya chenge wasingefuta vyama vya upinzani ikiwa hawaruhusiwi kuandamana na kudai haki za raia?????????????????????????????!!!!!!
 
Kukiwa na hofu kubwa nchini kwa takribani masaa matano (5) sasa baada ya Mwenyekiti wa Taifa wa wanawake wa chama cha CHADEMA Halima Mdee kukamatwa na polisi baada ya kudhalilishwa kwa kupigwa kikatili na askari polisi wanaume hatimaye nguvu ya umma imeshinda na ameachiwa huru.

Mara baada ya kukamatwa na kupigwa kisha kuwekwa rumande katika kituo cha polisi osterbay nguvu ya umma ilitikisa nje ya kituo hicho kwa akina mama maimia kwa mamia kukizunguka kituo hicho huku wakiimba nyimbo za ukombozi na kutaka mwanamama shujaa Halima Mdee aachiwe mara moja.

Akina mama hao hawakujali wingi wa polisi wala magari yaliyosheheni silaha hatimaye Mdee akaachiwa huru.

Halima Mdee alikuwa anaongoza maandamano ya akina mama wa CHADEMA kuelekea IKULU kupinga rasimu haramu ya CCM iliyopitishwa na wabunge wa CCM na vibaraka wao wiki hii.

1924390_671185256322826_7664490508546385360_n.jpg
1604783_671184859656199_6973916564300874417_n.jpg
10641133_671184926322859_2798054373558139573_n.jpg
[/QUO
Acha kudanganya watu ameachiwa kwa dhamana sio huru. Ila amepata dushelele ya nguvu, na lengo halikutimia kwani ikulu hawakufika na rais hawajamuona. So tunaweza sema mpango wao Ni FAILED

Inawezekana ww ndio wanakusukumiza huo mdushelele ulioutaja hapo kwenye majibu yako
 
Hivi wewe unaeshabikia polisi wa Tanzania una akili kweli,unawashabikia polisi waliokiwa wazoefu wa kunyanyasa walalahoi kama vijana watafuta riziki kihalali wa bodaboda na kuwapora vijisenti vyao kwa kuwabambikia makesi ya uongo,unashabikia polisi ambao kesho watambambika kesi ndugu yako,bila kijali wewe ni ccm au chadema,polisi wanao sindikiza na kuwapa mbinu majambazi na kuwapa kesi raia wema,nasema wewe si mzima kwa kweli,hao wamama wamekosa nini hadi wasumbuliwe kama kweli polisi hawa wana akili.
 
Nashukuru Mungu Sina Ndugu ambaye ni polisi.......
 
Nashukuru Sina Ndugu ambaye ni polisi.......
 
Huyu dada atawasumbua sana tena sana tu mpaka ahakikishe demokrasia imeakaa sawa nchi hii.Utamsikia tena muda si mrefu.
 
Kukiwa na hofu kubwa nchini kwa takribani masaa matano (5) sasa baada ya Mwenyekiti wa Taifa wa wanawake wa chama cha CHADEMA Halima Mdee kukamatwa na polisi baada ya kudhalilishwa kwa kupigwa kikatili na askari polisi wanaume hatimaye nguvu ya umma imeshinda na ameachiwa huru.

Mara baada ya kukamatwa na kupigwa kisha kuwekwa rumande katika kituo cha polisi osterbay nguvu ya umma ilitikisa nje ya kituo hicho kwa akina mama maimia kwa mamia kukizunguka kituo hicho huku wakiimba nyimbo za ukombozi na kutaka mwanamama shujaa Halima Mdee aachiwe mara moja.

Akina mama hao hawakujali wingi wa polisi wala magari yaliyosheheni silaha hatimaye Mdee akaachiwa huru.

Halima Mdee alikuwa anaongoza maandamano ya akina mama wa CHADEMA kuelekea IKULU kupinga rasimu haramu ya CCM iliyopitishwa na wabunge wa CCM na vibaraka wao wiki hii.

1924390_671185256322826_7664490508546385360_n.jpg
1604783_671184859656199_6973916564300874417_n.jpg
10641133_671184926322859_2798054373558139573_n.jpg
Wale Nyumbu wa kijani waliokuwa wanasema viongozi hawaongozi maandamano wameona eh!! Na mijbwa aka policcm your days are numbered for sure!!Bastards
 
Nakuaminia kamanda H. Mdee ni wachache kama wewe usikate tamaa. Ili tujikomboe baadhi yetu tutakumbwa na misukosuko mingi.

Huyu bibie si juzi tuu alikutana na Raisi, kwa nini asimalizane nae pale pale . Tunajua wasaliti wengi ndani ya chadema wanapo taka peleka report ya dharura, mpango unafanywa na vyombo vya usalama ili waonekane wanaikandamiza serekali ili washikwe na kuwekwa ndani, hapo wanatoa report yote, na wanatoka kwa mbwembwe na kuzidi kuaminiwa na chama chao . Story inaendelea hivyo. Tutaona vituko na hivi karibuni .
 
Tunaposema chadema iko ICU ama imekufa ni vyema mkaelewa na kukiri ukweli huu ili twende sawa. Kagenge kalichoambatana na halima kwenye maandamano ni kichekesho kitupu. Namsikitikia sana dada angu huyu ambaye ana wakati mgumu sana jimboni kwake kawe.
kakikundi hako kamerushwa live kwenye media wakati wa taarifa za habari. Mbaya zaidi imerushwa na itv ambayo wanazi wa chadema wanaisifu na kuishabikia mno.

source: ITV habari....
 
Kitendo cha polisi kuwapiga wanawake, hasa Halima mdee, ni kitendo cha aibu na kinatakiwa kilaaniwe na Watanzania wote wenye akili timamu. Wanawake wote bila kujali wewe ni CCM, CUF, NSSR mageuzi ni lazima mtoe tamko kwa wanawake wenzenu kudhalilishwa kiasi hiki. Wanawake kwa asili yao kimaumbile si watu wenye nguvu sana, inasikitisha kuona polisi wanaume wanampiga Halima Mdee kwa virungu utadhani wanakamata jambazi. Kitendo hiki kimenipa huzuni sana, ingawa kuandamana ni haki ya watanzania lakini kuwapiga wanawake virungu ni aibu. Nchi zingine watu wanaandamana lakini polisi wanawakamata kwa kwa ustaarabu, si kama ilivyotokea leo. Wito wangu, wanawake wote, watanzania wote bila kujali tofauti zetu tulaani kitendo hiki cha kihuni.
 
Kukiwa na hofu kubwa nchini kwa takribani masaa matano (5) sasa baada ya Mwenyekiti wa Taifa wa wanawake wa chama cha CHADEMA Halima Mdee kukamatwa na polisi baada ya kudhalilishwa kwa kupigwa kikatili na askari polisi wanaume hatimaye nguvu ya umma imeshinda na ameachiwa huru.

Mara baada ya kukamatwa na kupigwa kisha kuwekwa rumande katika kituo cha polisi osterbay nguvu ya umma ilitikisa nje ya kituo hicho kwa akina mama maimia kwa mamia kukizunguka kituo hicho huku wakiimba nyimbo za ukombozi na kutaka mwanamama shujaa Halima Mdee aachiwe mara moja.

Akina mama hao hawakujali wingi wa polisi wala magari yaliyosheheni silaha hatimaye Mdee akaachiwa huru.

Halima Mdee alikuwa anaongoza maandamano ya akina mama wa CHADEMA kuelekea IKULU kupinga rasimu haramu ya CCM iliyopitishwa na wabunge wa CCM na vibaraka wao wiki hii.

1924390_671185256322826_7664490508546385360_n.jpg
1604783_671184859656199_6973916564300874417_n.jpg
10641133_671184926322859_2798054373558139573_n.jpg

Mungu yu pamoja na CHADEMA. CHADEMA ipo kwa mipango ya Mungu.
 
Tunaposema chadema iko ICU ama imekufa ni vyema mkaelewa na kukiri ukweli huu ili twende sawa. Kagenge kalichoambatana na halima kwenye maandamano ni kichekesho kitupu. Namsikitikia sana dada angu huyu ambaye ana wakati mgumu sana jimboni kwake kawe.

M.s.e.n.g.e wewe
 
Mwenyewe huwa wana nishangaza sana polisi badala ya kulinda amani wanageuka kutumika kisiasa wakati wenyewe wana maisha magumu ka nini waache sifa za kijinga wauaji wa albino wana fahamika hawakamatwi kutumia nguvu nyingi kwenye upuuzi mambo ya kitaifa na yo affect wananchi kama wezi wanaachwa ila ndo nchi ilipofika kila mahali hamna haki only selfshness imetawala kila mahali wananchi nao wawe wanaua tu wakileta kiherehere chao kutumika
 
Back
Top Bottom