Halima Mdee aachiwa huru

Halima Mdee aachiwa huru

Hivi bado kuna ka chama kanakoitwa ccm zama hzi?maana sijakasikia kabisa
 
Tunaposema chadema iko ICU ama imekufa ni vyema mkaelewa na kukiri ukweli huu ili twende sawa. Kagenge kalichoambatana na halima kwenye maandamano ni kichekesho kitupu. Namsikitikia sana dada angu huyu ambaye ana wakati mgumu sana jimboni kwake kawe.
Chadema hakika choka mbaya akinamama.kumi na tisa hahahahahahaha
 
Sidhani kama kuna utawala katili na
wakidiktena na wakinafiki, Duniani, kwa sasa, kama utawala huu wa Tanzania wa awamu ya nne...Rais Kikwete alikutana na Mbunge wa kawe, Halima mdee wiki iliyopita katika Sherehe za ufunguzi wa barabara..Rais alionyesha urafiki,akampongeza Mdee kwa kuchaguliwa kuwa kiongozi wa wanawake Chadema kisha akamwambia ameasikia yeye na wanawake wa Chadema wanataka
kumwona, kwa tabasabu akamwambia yuko tayari kuwasikiliza na wanakaribishwa sana Ikulu.leo akinamama hao wakiwa katika harakati za kwenda kumwona Rais,
wanazuiwa na kupigwa...Ni kama vile
alimwambie Mdee karibu kisha akawaambia polisi wakiandamana piga bila huruma!...
 
Akili za polisi wa Tanzania hazina tofauti na za mbwa wao
 
Tunaposema chadema iko ICU ama imekufa ni vyema mkaelewa na kukiri ukweli huu ili twende sawa. Kagenge kalichoambatana na halima kwenye maandamano ni kichekesho kitupu. Namsikitikia sana dada angu huyu ambaye ana wakati mgumu sana jimboni kwake kawe.

Jimbo.la kawe linanyemelewa na mchumba wa slaa bi. josefin
 
Ulitaka aandamane na bibi yako?.Shwaini mkubwa wewe

Chama kimepitea kabisa hakika siasa mbaya wamebaki matamko tuu.unawezaje kujivunia nguvu ya umma.kiongoI wa kitaifa kuandamana na wanawake makwnge wenzake kymi na tisa
 
tatizo la maandamano yoyote yale ni chanzo cha uvunjifu wa amani,na hakuna serikali yoyote duniani inayoridhia maandamano na ukiona imekuwa hivyo imelazimu tu lakini maandamano hayapendeki ni kama mtu anakula chakula na pilipili japo anawashwa lakini anakula tu apate ili chakula kipite,hivyo polisi wala serikali wasilaumiwe ni hali halisi tu tukubali matokeo.
 
Ccm 2010 ilikufa kimyakimya ila kwa sasa imejifia kwa kishindo cha gwaride
 
tatizo la maandamano yoyote yale ni chanzo cha uvunjifu wa amani,na hakuna serikali yoyote duniani inayoridhia maandamano na ukiona imekuwa hivyo imelazimu tu lakini maandamano hayapendeki ni kama mtu anakula chakula na pilipili japo anawashwa lakini anakula tu apate ili chakula kipite,hivyo polisi wala serikali wasilaumiwe ni hali halisi tu tukubali matokeo.

Walitakiwa wamkamate kwa utaarabu na siyo kumpiga
 
Kitendo cha polisi kuwapiga wanawake, hasa Halima mdee, ni kitendo cha aibu na kinatakiwa kilaaniwe na Watanzania wote wenye akili timamu. Wanawake wote bila kujali wewe ni CCM, CUF, NSSR mageuzi ni lazima mtoe tamko kwa wanawake wenzenu kudhalilishwa kiasi hiki. Wanawake kwa asili yao kimaumbile si watu wenye nguvu sana, inasikitisha kuona polisi wanaume wanampiga Halima Mdee kwa virungu utadhani wanakamata jambazi. Kitendo hiki kimenipa huzuni sana, ingawa kuandamana ni haki ya watanzania lakini kuwapiga wanawake virungu ni aibu. Nchi zingine watu wanaandamana lakini polisi wanawakamata kwa kwa ustaarabu, si kama ilivyotokea leo. Wito wangu, wanawake wote, watanzania wote bila kujali tofauti zetu tulaani kitendo hiki cha kihuni.

wanawake au mashangingi mdee ni mke wa nani msagaji yule na mvuta bang
 
Back
Top Bottom