Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,402
- 3,331
Hali ni tete uko kwenu na Kina Maria Sarungi,ila Watanzania wapo salama na wanafanya kazi kama kawaidaa mkuu!
Yes,Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!
Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali halisi... Ni lazima lifanyike jambo la maamuzi magumu sana kwa upande wao ili kuweza kutamatisha hii hali
Kamatakamata na utekaji unaoendelea havina afya kwa taifa bali vinazidisha uchungu na maumivu kwa yaliyokwisha tokea
Haya mambo yanazidisha usugu na kuzalisha uasi... Haitakaa itokee watu wanyamaze mazima kama matakwa yao ya kikatiba hayatatekelezwa
Kiasili binadamu amezaliwa kuongea, ni vigumu sana kumziba mdomo asiongee! Kwa kufanya hivyo unazalisha kitu kingine hatari zaidi
Wakosoaji waachiwe waongee ndio njia pekee iliyobaki ya kuwapunguzia maumivu na fukuto mioyoni mwao! Haitakaa itokee kuwanyamazisha wote kwa kuwateka, kuwapoteza, kuwatesa, kuwabambikia kesi kubwa zisizo na dhamana ama kuwaweka kizuizini kwa kesi ghushi
Kufanya hivyo hakuleti suluhu bali kunaongeza tatizo ambalo siku likikomaa tufani yake itakuwa na mshindo mkubwa sana!
Ukiwabufaza waliopo kwa mbinu mbalimbali kuna kundi lingine kubwa nyuma yao litaibuka. Ambalo ni
Kubwa zaidi
Baya zaidi
Kwaweli tumechoka kuzika, tumechoka kupoteza ndugu jamaa na marafiki,
Tumechoka kuhudhuria kesi za michongo
Kutibu majeraha na majeruhi wa ukatili vituo vya police
Wahanga ni wengi sana na kila mhanga ana chain ya watu wasiopungua 20! Mnadhani tunalipeleka wapi taifa
Taifa linaingia kwenye mdororo mkubwa wa kiuchumi.. Madhara yake yataonekana mwakani.. Badala ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa ili nguvu kazi iliyopo itumike kwenye uzalishaji.. Tumewekeza kwa machawa na kutaka kufubaza nguvu kazi hiyo! Je mnadhani tutafika?
Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwinda watu
Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwateka
Tunatumia muda mwingi kuwatesa na kuwadhalilidha
Tunawaumiza kwa kuwasababidshia majeraha na ulemavu
Nao wanatumia muda mwingi kujitibu, kujiuguza na kuhudhuria kesi za mchongo.. Huu ni uhujumu uchumi
Tunazalisha yatima wajane na wagame bila kujua.. Familia zinasambaratika.. Breadwinners wengi katika familia ndio hao walioko kwenye madhila ya kila aina!
Je wenye hekima na uthubutu wameisha Tanganyika!?View attachment 3518334

Mlitegemea muachwe tu baada ya ule ujinga!?Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!
Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali halisi... Ni lazima lifanyike jambo la maamuzi magumu sana kwa upande wao ili kuweza kutamatisha hii hali
Kamatakamata na utekaji unaoendelea havina afya kwa taifa bali vinazidisha uchungu na maumivu kwa yaliyokwisha tokea
Haya mambo yanazidisha usugu na kuzalisha uasi... Haitakaa itokee watu wanyamaze mazima kama matakwa yao ya kikatiba hayatatekelezwa
Kiasili binadamu amezaliwa kuongea, ni vigumu sana kumziba mdomo asiongee! Kwa kufanya hivyo unazalisha kitu kingine hatari zaidi
Wakosoaji waachiwe waongee ndio njia pekee iliyobaki ya kuwapunguzia maumivu na fukuto mioyoni mwao! Haitakaa itokee kuwanyamazisha wote kwa kuwateka, kuwapoteza, kuwatesa, kuwabambikia kesi kubwa zisizo na dhamana ama kuwaweka kizuizini kwa kesi ghushi
Kufanya hivyo hakuleti suluhu bali kunaongeza tatizo ambalo siku likikomaa tufani yake itakuwa na mshindo mkubwa sana!
Ukiwabufaza waliopo kwa mbinu mbalimbali kuna kundi lingine kubwa nyuma yao litaibuka. Ambalo ni
Kubwa zaidi
Baya zaidi
Kwaweli tumechoka kuzika, tumechoka kupoteza ndugu jamaa na marafiki,
Tumechoka kuhudhuria kesi za michongo
Kutibu majeraha na majeruhi wa ukatili vituo vya police
Wahanga ni wengi sana na kila mhanga ana chain ya watu wasiopungua 20! Mnadhani tunalipeleka wapi taifa
Taifa linaingia kwenye mdororo mkubwa wa kiuchumi.. Madhara yake yataonekana mwakani.. Badala ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa ili nguvu kazi iliyopo itumike kwenye uzalishaji.. Tumewekeza kwa machawa na kutaka kufubaza nguvu kazi hiyo! Je mnadhani tutafika?
Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwinda watu
Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwateka
Tunatumia muda mwingi kuwatesa na kuwadhalilidha
Tunawaumiza kwa kuwasababidshia majeraha na ulemavu
Nao wanatumia muda mwingi kujitibu, kujiuguza na kuhudhuria kesi za mchongo.. Huu ni uhujumu uchumi
Tunazalisha yatima wajane na wagame bila kujua.. Familia zinasambaratika.. Breadwinners wengi katika familia ndio hao walioko kwenye madhila ya kila aina!
Je wenye hekima na uthubutu wameisha Tanganyika!?View attachment 3518334
Exactly💯Adhabu sio lazima mtu akutandike na marungu, ila kuzaliwa tu na kuwa mtanzania ni adhabu tosha kabisa!.
Akina Dr. Shika ndo nyie ...we ni dokta wa nini bosi?uzuri ni matishio madogomadogo yanayotolewa mitandaoni na wanaojita wanaharakati ambao kimsingi huwawezi wakuta kwenye jamii ambazo wazalendo walio wengi wanaendelea na majukumu yao ya kila siku
Dah!Hofu ni nyingiView attachment 3518341
kuna pia sehem ya una ignore ,tangu nianza kuitumia imeniepusha na mengiNaunga mkono hoja. Wakipuuzwa wataacha ujinga wao.
Waambie basi hao wananchi wasapoti na wasanii wasife njaa kama wanavyoiunga mkono serikali na Samia.Acheni maneno ya uzushi ,uongo, uchonganishi na fitina. Najua mnaumia sanaa baada ya maombi yenu mabaya na nia zenu ovu kwa Taifa letu kushindwa vibaya sana. Najua mlikuwa mnatamani na Kuwa na kiu kubwa sana ya kutaka kuona machafuko yakitokea hapa Nchini na Amani na usalama vikitoweka kama ukungu.
Lakini baada ya kushindwa na watanzania kuwashitukieni na kugoma kuendelea kuwaungeni mkono mmebakia na maumivu sana. Mnaumia na kuchanganya kabisa mnapoona watanzania wakiendelea kuwa wamoja,kuiunga mkono serikali na Rais wetu Mpendwa.
Mnateseka sana mioyo yenu na kujaribu kuendelea kuleta vijimaneno vya uzushi ,uongo na uchonganishi kila uchao. Hata hivyo hamtafanikiwa hata kidogo.mtaendelea kushindwa vibaya sana. Tena kama wewe ulipiga sana malamli yako . Sasa aibu imekushika na unaanza kuja kujibaraguza hapa ukifikiri wote ni wajinga kama wewe.
uzuri ni matishio madogomadogo yanayotolewa mitandaoni na wanaojita wanaharakati ambao kimsingi huwawezi wakuta kwenye jamii ambazo wazalendo walio wengi wanaendelea na majukumu yao ya kila siku
Itakuwa mbaya gani mkuu.Huyu mwamba wamuachie tu wakimdhuru itakuwa mbaya sana.
Sasa hivi naona umeyazoea Madole unayopigwa hapo katikati ya makalioAcheni maneno ya uzushi ,uongo, uchonganishi na fitina. Najua mnaumia sanaa baada ya maombi yenu mabaya na nia zenu ovu kwa Taifa letu kushindwa vibaya sana. Najua mlikuwa mnatamani na Kuwa na kiu kubwa sana ya kutaka kuona machafuko yakitokea hapa Nchini na Amani na usalama vikitoweka kama ukungu.
Lakini baada ya kushindwa na watanzania kuwashitukieni na kugoma kuendelea kuwaungeni mkono mmebakia na maumivu sana. Mnaumia na kuchanganya kabisa mnapoona watanzania wakiendelea kuwa wamoja,kuiunga mkono serikali na Rais wetu Mpendwa.
Mnateseka sana mioyo yenu na kujaribu kuendelea kuleta vijimaneno vya uzushi ,uongo na uchonganishi kila uchao. Hata hivyo hamtafanikiwa hata kidogo.mtaendelea kushindwa vibaya sana. Tena kama wewe ulipiga sana malamli yako . Sasa aibu imekushika na unaanza kuja kujibaraguza hapa ukifikiri wote ni wajinga kama wewe.
Ee Mungu Saidia iwe hivyo.....AmenHuyu bibi simuoni akifika pasaka