HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,268
- 103,446
wao na anayewatuma hawana hekima wala busaraInategemea na hekima yao
wao na anayewatuma hawana hekima wala busaraInategemea na hekima yao
Mzee wa kububujikwa na machozi hali sio nzuri, kama ni wale utajua kama ni sisi hutajua.Acheni maneno ya uzushi ,uongo, uchonganishi na fitina. Najua mnaumia sanaa baada ya maombi yenu mabaya na nia zenu ovu kwa Taifa letu kushindwa vibaya sana. Najua mlikuwa mnatamani na Kuwa na kiu kubwa sana ya kutaka kuona machafuko yakitokea hapa Nchini na Amani na usalama vikitoweka kama ukungu.
Lakini baada ya kushindwa na watanzania kuwashitukieni na kugoma kuendelea kuwaungeni mkono mmebakia na maumivu sana. Mnaumia na kuchanganya kabisa mnapoona watanzania wakiendelea kuwa wamoja,kuiunga mkono serikali na Rais wetu Mpendwa.
Mnateseka sana mioyo yenu na kujaribu kuendelea kuleta vijimaneno vya uzushi ,uongo na uchonganishi kila uchao. Hata hivyo hamtafanikiwa hata kidogo.mtaendelea kushindwa vibaya sana. Tena kama wewe ulipiga sana malamli yako . Sasa aibu imekushika na unaanza kuja kujibaraguza hapa ukifikiri wote ni wajinga kama wewe.
Mzee wa kububujikwa na machozi hali sio nzuri, kama ni wale utajua kama ni sisi hutajua.
Walioshiriki wote kwenye zile vurugu, ni suala la muda tu, kila mtu kwa wakati wake atafikiwa, salama yako uwe umetangulia mbele ya haki. Tulipokuwa tunawaasa kuhusu kutunza amani tuliitwa majina ya kila aina na kutukanwa matusi yote. Sasa ni wakati wa kila mtu abebe mzigo wake. Umekaa Tanzania unajazwa ujinga na mtu ambaye yuko nje ya nchi. Ni muda wa kujifunza in a hard way.
ahaa kumbe sikuhizi ni mganga unayepiga ramli chonganishi kama hawara yako Mshana Jr?Huyu bibi simuoni akifika pasaka
Hakuna ubaya wowote unaweza tokea.Huyu mwamba wamuachie tu wakimdhuru itakuwa mbaya sana.
Mungu mtenda haki yupo
Mkuu umeonge na kushauri kwa uchungu sana, hii mbinu ya kuteka ,kuumiza watu kwa kesi za kijinga imefeli na mbaya zaidi inazidi lipasua Taifa.Kilichokuwa kiwe uchaguzi mkuu Tanzania kwa mujibu wa katiba yake, kimepita na yaliyotokea sote tunayafahamu!
Bado taifa halijatulia, bado fukuto lipo, la dhuluma, la maumivu, la ukatili mkubwa uliitokea nknk
Hofu kwa upande wa pili ni kubwa zaidi.. Nadhani intelijensia inawapenyezea hali halisi... Ni lazima lifanyike jambo la maamuzi magumu sana kwa upande wao ili kuweza kutamatisha hii hali
Kamatakamata na utekaji unaoendelea havina afya kwa taifa bali vinazidisha uchungu na maumivu kwa yaliyokwisha tokea
Haya mambo yanazidisha usugu na kuzalisha uasi... Haitakaa itokee watu wanyamaze mazima kama matakwa yao ya kikatiba hayatatekelezwa
Kiasili binadamu amezaliwa kuongea, ni vigumu sana kumziba mdomo asiongee! Kwa kufanya hivyo unazalisha kitu kingine hatari zaidi
Wakosoaji waachiwe waongee ndio njia pekee iliyobaki ya kuwapunguzia maumivu na fukuto mioyoni mwao! Haitakaa itokee kuwanyamazisha wote kwa kuwateka, kuwapoteza, kuwatesa, kuwabambikia kesi kubwa zisizo na dhamana ama kuwaweka kizuizini kwa kesi ghushi
Kufanya hivyo hakuleti suluhu bali kunaongeza tatizo ambalo siku likikomaa tufani yake itakuwa na mshindo mkubwa sana!
Ukiwabufaza waliopo kwa mbinu mbalimbali kuna kundi lingine kubwa nyuma yao litaibuka. Ambalo ni
Kubwa zaidi
Baya zaidi
Kwaweli tumechoka kuzika, tumechoka kupoteza ndugu jamaa na marafiki,
Tumechoka kuhudhuria kesi za michongo
Kutibu majeraha na majeruhi wa ukatili vituo vya police
Wahanga ni wengi sana na kila mhanga ana chain ya watu wasiopungua 20! Mnadhani tunalipeleka wapi taifa
Taifa linaingia kwenye mdororo mkubwa wa kiuchumi.. Madhara yake yataonekana mwakani.. Badala ya kuwekeza kwenye umoja wa kitaifa ili nguvu kazi iliyopo itumike kwenye uzalishaji.. Tumewekeza kwa machawa na kutaka kufubaza nguvu kazi hiyo! Je mnadhani tutafika?
Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwinda watu
Tunatumia muda mwingi na rasilimali kuwateka
Tunatumia muda mwingi kuwatesa na kuwadhalilidha
Tunawaumiza kwa kuwasababidshia majeraha na ulemavu
Nao wanatumia muda mwingi kujitibu, kujiuguza na kuhudhuria kesi za mchongo.. Huu ni uhujumu uchumi
Tunazalisha yatima wajane na wagame bila kujua.. Familia zinasambaratika.. Breadwinners wengi katika familia ndio hao walioko kwenye madhila ya kila aina!
Je wenye hekima na uthubutu wameisha Tanganyika!?View attachment 3518334
Mungu tunamwongezea majukumu ambayo hayana sababu ,kuna shetani na Mungu, Mungu akamuumba binadamu kwa mfano wake ,hawa wanoteka na kuua wakengeuka na kuwa mishetani, ni lazima ikomeshwe haraka sanaMungu mtenda haki yupo
Mungu tunamwongezea majukumu ambayo hayana sababu ,kuna shetani na Mungu, Mungu akamuumba binadamu kwa mfano wake ,hawa wanoteka na kuua wakengeuka na kuwa mishetani, ni lazima ikomeshwe haraka sana
🤣🤣Kitasambaratishwa hata kabla hakijaanza
Duh!! Hii taarifa inatisha jamani watu walifanyiwa unyama wa hatariHofu ni nyingiView attachment 3518341
Haya machawa yakipewa tu buku7 na wi-fi ya bure yanaingia humu kwa kasi na fujo mapimbi kweli!Naunga mkono hoja. Wakipuuzwa wataacha ujinga wao.
Duh!! Hii taarifa inatisha jamani watu walifanyiwa unyama wa hatari