kikokotoleo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 465
- 417
Mungu wa Eliya ameshainua wasaidizi wako waaminifu na waliokosa woga hata chembe. Zitto and now Nyalandu.
Ana nguvu na upako wa ajabu huyu mtu! Kila aliyeenda kumuona alibadilika na sasa itafikia hata atakayeiona picha yake kama hivi ataijua kweli nayo itamuweka huru!
Cc: ZZK, Nyalandu, VUTA-NKUVUTE etc
KWA LIPI HASA TUSIMUONGELEE TUSIYEMTAKA NI HUYU ASIYEJULIKANA NA KUROPOKA HOVYOHOVYO KM MWEHUYaani huwa nashangaa kuwaona wananchi wa Tanzania munakataa kutii sheria bila shuruti.
Weeks kadhaa zilizopita ilitoka amri ya kutokumzungumzia huyu Msomi Ndutu Suli,na watu bila kujali munaendelea kumuandika huku....au hiyo sheria imekwisha futwa au ilikuwa haina uhalali...mimi napenda saana kufuata sheria na kufanya Ibada.
He is a real man in the real sense, we the rest, are coward. Get well soon, Tanzania adores you more than you would imagine. Your resemblance, is truth. Ukweli humweka huru kila mtu aaminiye.Tindu Lissu watanzania tunakupenda sana
Parakidevu hali mbaya
Wale jamaa wasiojulikana wakiona hizi picha wanapata kihoro cha ajabu