johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,148
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu anesema Ubunge wa kupewa kwa makubaliano fulani siyo Ubunge wa Wananchi.
Mbunge wa Wananchi ni yule aliyeshindana na kushinda kwa kura halali ambaye Waliompigia kura na Wasiompigia kura Watamuheshimu kwa sababu ya Uhalali wake, amesema TAL.
Lissu amewataka wenzake waache kucheka cheka kwa kuachiwa Majimbo kwani mbele ya Wanaccm wanaonekana hawana akili.
Mungu ni mwema wakati wote!
Mbunge wa Wananchi ni yule aliyeshindana na kushinda kwa kura halali ambaye Waliompigia kura na Wasiompigia kura Watamuheshimu kwa sababu ya Uhalali wake, amesema TAL.
Lissu amewataka wenzake waache kucheka cheka kwa kuachiwa Majimbo kwani mbele ya Wanaccm wanaonekana hawana akili.
Mungu ni mwema wakati wote!