Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
- Well, again ahsante sana kwa wote, leo nilikuwa ninamsomea hii thread amekufa sana na mbaavu maana kwa heshima ya kila mchangiaji nimemsoema mchango wa kila mchangiaji, michango ya Ecoli imemvunja sana mbaavu, infact amesema akiwa fit kabisa ataanza kuingia hapa mwenyewe! ha! ha! ha!
Willie @ NYC, USA.
Mzee wetu anapenda sana ukweli ukisemwa, mwambie iam delighted na nina simamia ile kanuni ya mwana TANU '' Nitasema kweli Daima, Fitina kwangu mwiko''