Hali ya Mtwara mchana huu

Hali ya Mtwara mchana huu

Ccm itajibeba mwaka huu
Yaani hata kwa Bereko ya Chuma
haibebeki nguvu ya Umma ni Jeshi
lisilo shindwa.
 
Tunaomba amani izidi kutawala Mtwara kwani machafuko yakitokea waathirika wakubwa ni akina mama na watoto.
 
NAUNGA MKONO MSIMAMO HUO JAPO MIMI NATOKEA KULE KWENYE WALIOZIKWA HAI MIAKA YA 90. KISA WAWEKEZAJI WA BULYANG'HULU.

1.hatuwezi kukubali kuendele kuitwa nchi masikini
2.hatuwezi kukubali kuendelea kuitwa watu masikini pamoja na mali zote za nchi.
TUNATAKIWA KWENDA HATUA MBELE ZAIDI YA HII YA WATU WA MTWARA KWA KUZUIA WIZI WA MATAIFA YA NJE.
tushinikize serikali yenyewe kuanzisha uchimbaji wa gesi itakayouzwa tanzania tu kwa manufaa ya watanzania.MANA HATUWEZI KUENDELEA KUUZA HATA VITU TUNAVYOVIHITAJI WENYEWE KWA MATUMIZI MAKUBWA NA YA KAWAIDA YA NYUMBANI, ILI TUACHE NA KUHARIBU MISITU KWA KUKATA MITI(kuni na mkaa)
MADINI NAYO TUGAWANE PASU KWA PASU NA 3% YAO.
 
Siamini kama ndugu zangu wa Mtwara mmekuwa wakorofi kiasi hiki nadhani ni wakati wa serikali kuhakikisha usalama wa nchi unaangaliwa kwanza na kuwashughulikia wachonganishi wote wakiongozwa na hawa chadema laana ya mungu iwe juu lao kwa kuhatarisha amani ya nchi yetu.
 
Ndugu zangu wanantwara kazi ni moja tu, ni kuwanyima maccm nafasi ya kutuwakilisha kupitia udiwani na hata ubunge mwaka 2015! Ccm ni janga kwa wanakusini wote! Tuikatae kwa nguvu zote!
 
Siamini kama ndugu zangu wa Mtwara mmekuwa wakorofi kiasi hiki nadhani ni wakati wa serikali kuhakikisha usalama wa nchi unaangaliwa kwanza na kuwashughulikia wachonganishi wote wakiongozwa na hawa chadema laana ya mungu iwe juu lao kwa kuhatarisha amani ya nchi yetu.

.......acha unafiki wewe kudai haki yao imekua ukorofi siku hizi? unaposema cdm wanachonganisha una uhakika au ndo unatimiza wajibu wa lumumba ukale hako ka buku 7? nawachukia sna masnitch kama nyie mnaotetea ujinga wa serikali kuwanyonya wananchi na kuwaacha maskin wakat rasilimali wanazo pu&*%#vu sna wewe....4 ze lack of a better word u r pathetic snitch.
 
1.hatuwezi kukubali kuendele kuitwa nchi masikini
2.hatuwezi kukubali kuendelea kuitwa watu masikini pamoja na mali zote za nchi.

TUNATAKIWA KWENDA HATUA MBELE ZAIDI YA HII YA WATU WA MTWARA KWA KUZUIA WIZI WA MATAIFA YA NJE.
pale unapomuona ofisa wa serikali au mwanasiasa amepanda VX alafua anawaeleza wananchi ambao hata nguo walizovaa ziaonyesha wazi kuwa wana hiki kuwa
"sisi serikali tunajitahidi kuwatetea nyie wanyonge na masikini...."
Sasa wanamtwara wameshaanza na wanaendelea kuonyesha umma wa watanzania kuwa
1. wao sio wanyonge
2. kwamba wao sio masikini

Juu ya vyote ni kuwa wanaweza kufanya kitu hata kwa kukaa kimya!
 
Tunaomba amani izidi kutawala Mtwara kwani machafuko yakitokea waathirika wakubwa ni akina mama na watoto.
Mbona wakina mama na watoto wako mstari wa mbele.Wanapokaa nyuma shida na matatizo ni juuu yao.ukisikia mauajia huko mtwara kafa mtoto au mwanake
 
acha kuwa coward we dawa ya jiko...be reasonable ..hawa raia wapo macho hawajasinzia kama wewe!

.......alaaah Acha kukurupuka wewe soma vizuri nilichokua namjibu huyo Maundumula,halaf siwezi kuwa coward hata siku 1 kwa taarifa yako mimi kwetu ni mtwara nimesoma ligula primar xul 92-98.sabasaba sec 99-2002 ingawa kwa sasa naish northern zone...na maandamano ya tarehe 27 december i was there,sina sababu ya kuwa coward hata kidogo na sina spirit ya kuwa traitor NEVER NEVER NEVER!!
 
Kama ulikuwepo baba, huku kwetu Tabora maeneo ya Cheyo A umeme wameshakata lakini hata hivyo nimesikia bado naleo wanaendelea kujadili bajeti ya Dr. Mwakyembe na siyo hayo mambo ya hao akina chamaki nchanga.

Pole ndugu, nimepita barabara ya vumbi tokea Bomani kwenda Ipuli hapa Tabora mafundi wa TANESCO wanaweka nyaya mpya. Nadhani ni line ya Cheyo tu.
 
Mimi nipo Mtwara mjini,issue ni kwamba wanaharakati toka juzi walikuwa wanagawa vipeperushi vinavyo wataka wana MTWARA wote kwa umoja wao siku ya ijumaa tarehe 17.5.2013 wasifungue maduka wala hotel, magenge ya biashara, shughuli za bodaboda,bajaji daladala,salon, na kila aina shughuli za namna hiyo ili wakae nyumbani kusikiliza kilichomo kwenye BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI.lengo ni kuona kama serikali bado ina mpango wa kulazimisha gesi kwenda DAR na hatimae BAGAMOYO. kwa ujumla hilo limeitikiwa kwa asilimia zaidi ya 90!! MJINI KUMETULIA, WENYEWE WANASEMA NI MWANZO WA KUIRUDISHA SERIKALI MIKONONI MWA WANANCHI.WATOTO WADODO WANAWAAMBIA POLISI GESI HAITOKIIIII.
 
bandugu hii kitu kutoka jamba leo imeonekana na wanantwara?????
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1368793279070.jpg
    uploadfromtaptalk1368793279070.jpg
    61.5 KB · Views: 114
mbona leo ni kuna muendelezo wa mjadala wa bajeti ya uchukuzi ya dr.mwakyembe..nani kawaambia leobajeti ya wizara ya nishati na madini...ukweli hili jambo la gas kuna watu wako nyuma ndio wanahamamsisisha wananchi vyema serikali ikawa makini na hawa watu wachache wanao chochea vurugu baada ya mshakamano na kuwaeleza wananchi ukweli.....

Ni lini Serikali imesema ukweli kwa wananchi wake?,hivi mikataba ya wawekezaji inafaa kuwa siri au inawekwa hadharani kwa wenye nchi(wananchi)wajue wanaibiwa au wanapata?
 
pale unapomuona ofisa wa serikali au mwanasiasa amepanda VX alafua anawaeleza wananchi ambao hata nguo walizovaa ziaonyesha wazi kuwa wana hiki kuwa
"sisi serikali tunajitahidi kuwatetea nyie wanyonge na masikini...."
Sasa wanamtwara wameshaanza na wanaendelea kuonyesha umma wa watanzania kuwa
1. wao sio wanyonge
2. kwamba wao sio masikini

Juu ya vyote ni kuwa wanaweza kufanya kitu hata kwa kukaa kimya!

mtwara anzisheni sisi tunafuata watu wa mtwara wanahitaji kuungwa mkono nchi nzima kama nchi hii tunaibiwa sana na hakuna mtu yeyote kutoka nje ya tanzania atakayekuja kutukamatia wezi wetu na kuwatia adabu isipokuwa sisi wenyewe kuamua kuachana na unyonge, unyanyaswaji na kuonewa ndio tukichoma moto wezi hata wawili wengine wataacha nchi hii tunawezi wengi sana

1:wezi wa tembo
2:wezi wa epa
3:wezi wa richmond
4:wezi wa halmashauri zetu
5:wezi wa mishahara hewa
6:wezi wa fedha za rada
7:wezi wa mikataba ya hovyo
8:wezi wa twiga
9:wezi wa madini yetu
10:wezi walioficha fedha nje ya nchi

yaani wezi tunao wengi sana na kila siku wanazidi kutuibia hivi jamani wizi huu mpaka lini?
 
Naunga mkono hoja mia kwa miaa,wamezoea sana kudhulumu wananchi,nguvu ya umma ni suluhisho komaeni raia kudai HAKI.
 
Back
Top Bottom