ChekoFagia
Senior Member
- Sep 20, 2025
- 115
- 339
EATV imezunguka maeneo tofauti katika manispaa ya Musoma, Mara, hali ya usalama iko shwari na wananchi wanaendelea na shughuli zao kama kawaida licha ya maduka mengi kufungwa kwa tahadhali.
Hata hivyo, Innocent Mgube akiwawakilisha madereva wenzake anasema kwao kidogo imewaathiri kutokana na watu kutofungua biashara zao.
Hata hivyo, Innocent Mgube akiwawakilisha madereva wenzake anasema kwao kidogo imewaathiri kutokana na watu kutofungua biashara zao.