Huyo mgonjwa alikuwa afe kabisa, alikata kauli Nov. 2015, ugonjwa wa mamvi ulimshika, akakata kauli, alikaa wiki bila kuongea, ghafla akazinduka, sindano ya Pombe kali aina ya Magufuli alichomwa... si akasimama... anadunda..!! na Alipozinduka, aliimba sana, Sisi mbele kwa mbeleee, mtaisoma namba eeehh... sisi mbele kwa mbeleeee...!!
Mgonjwa sasa hv hafi tena, anatembea na HAPA KAZI TU...!!
Na juzi kati, sauti ilisikika ktk kikao huko Dodoma cha huyo mgonjwa, kwambaaaa... kama Nov. 2015 hajafa, hatakufa tenaaaaa....!!! ataishi mileleee...!! Hapa Kazi tu..!!
🙄😛😀😀😀