Hali ya juu sana ya hamu ya ngono

Hali ya juu sana ya hamu ya ngono

Ila mwili hapana umeshindikana kwenye hayo mambo

yAan unakusukuma mpaka mwsho wa siku lazima ukubal tu
 
Wapendwa kwanza poleni na msiba!
Mwenzenu naona kabisa nikiingia dhambini
Nishajaliwa watoto wangu wawili nikaona wananitosha kabisaa
Nikaweka kipandikizi mkononi….
Fast forward mwaka mmoja baadae kikaaanza kuniletea maudhi nimekitoa 3 month ago.

Miongoni mwa maudhi ni kutokua na hamu kabisa ya jambo letu…
So baada ya kutoa mwezi wa kwanza sikusikia chochote
Mwezi wa pili eeeeh nikaanza kupata hisia kali sana at the peak of ovulation
Jamani mwezi huu nusu ni bake mtoto wa mtu…
Na nimekuja kutafakari hili jambo leo kwamba chanzo ni nini cha hii hamu ndo nikapata jibu hilo…
Aisee ndugu zanguni mpaka nimeongea na Mungu leo…nitafanyaje?
Najiskia vibaya sana….maaana nilishafunganga huo mlango wa mambo ya wakubwa…kwa kifupi nina abstain
Baba mtu tumetengana kimkoa sababu ya kazi but we raise our kids together(sitaongela sana hili)
So most of the time nakua dry sell
Guys sihitaji dhambi hiyo lakini mambo yananizidia kweli kweli
Naomba ushauri
Ninategemea kuanza gym mapema sana mwakani ili niwe nachoka sanaaa
Kias kwamba nisiwaze kabisa huo ulimwengu ila at the moment nakua busy sana…. Ila nikipumzika kidogo tu aiseee ni moto moto
Hii hali sikua nayo before implants
So nahisi hormones bado hazijajibalance
Naombeni ushauri jamani nitabaka huku
Sasa mke wangu mbona umemwaga mchele mbele ya kuku wengi?
 
Ukitumia njia za uzazi wa mpango iwe ni sindano au vidonge vyao vile lazima hamu ya tendo ipungue barabara na siku ukiacha kwa muda kuanzia mwezi hivi ni lazima utaona matamanio (hamu) maradufu. Yale makitu siyo kabisa ni basi tu...

Mwanaume ukijizuia na kufanya tendo bila sababu za msingi ni lazima utaingia kwenye mkumbo wa mashoga na mwanamke ukijizuia na tendo bila sababu za msingi ni lazima utaingia kwenye mkumbo wa wasagaji.

Huwezi kushindana na nature
 
Wapendwa kwanza poleni na msiba!
Mwenzenu naona kabisa nikiingia dhambini
Nishajaliwa watoto wangu wawili nikaona wananitosha kabisaa
Nikaweka kipandikizi mkononi….
Fast forward mwaka mmoja baadae kikaaanza kuniletea maudhi nimekitoa 3 month ago.

Miongoni mwa maudhi ni kutokua na hamu kabisa ya jambo letu…
So baada ya kutoa mwezi wa kwanza sikusikia chochote
Mwezi wa pili eeeeh nikaanza kupata hisia kali sana at the peak of ovulation
Jamani mwezi huu nusu ni bake mtoto wa mtu…
Na nimekuja kutafakari hili jambo leo kwamba chanzo ni nini cha hii hamu ndo nikapata jibu hilo…
Aisee ndugu zanguni mpaka nimeongea na Mungu leo…nitafanyaje?
Najiskia vibaya sana….maaana nilishafunganga huo mlango wa mambo ya wakubwa…kwa kifupi nina abstain
Baba mtu tumetengana kimkoa sababu ya kazi but we raise our kids together(sitaongela sana hili)
So most of the time nakua dry sell
Guys sihitaji dhambi hiyo lakini mambo yananizidia kweli kweli
Naomba ushauri
Ninategemea kuanza gym mapema sana mwakani ili niwe nachoka sanaaa
Kias kwamba nisiwaze kabisa huo ulimwengu ila at the moment nakua busy sana…. Ila nikipumzika kidogo tu aiseee ni moto moto
Hii hali sikua nayo before implants
So nahisi hormones bado hazijajibalance
Naombeni ushauri jamani nitabaka huku
Ukienda gym kwa nyege zako izo ili uchoke ndyo ume kwishaa
 
Dawa zipo side effect yake ni hiyo hiyo uzeeni utajikuta zinarudi ili zimalizwe.
Hujawahi ona/sikia wazee ukubwani ndo wanaitafuta mpaka watu wanawasema..

Njia nzuri ni moja tu unguza/punguza mafuta mwilini...
 
CCM na usalama wa kijinga, Afisa usalama wanaume kujifanya wanawake kuwachota wajinga, mbinu za kale hizi. In short tuko busy na D9, this time tunachoma BOT.
 
Baada 9dec kama tukiwa hai ntakutafuta da masai nikupe show ya kibabe

yelow subai!
9dec tukutane...
 
Back
Top Bottom