masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,827
- 16,911
- Thread starter
- #141
NilionaKabisa ,kuna ndugu yako masai Baraka amekatwa "Kitu Lake" na mama yeyoooo!!
Dah kampa adhabu kubwa sana hata kama kosa lilikua lipi
NilionaKabisa ,kuna ndugu yako masai Baraka amekatwa "Kitu Lake" na mama yeyoooo!!
Mi nipo hapa muongo mmoja ulioita na nina marafiki wengi tuHapa wajinga washajazana pm, ukute kuna ID zilizokomenti uhaini kule kwenye jukwaa la siasa ndo zinazowindwaa, hamna mdada mwenye upwiru atakuja JF kuanzisha uzi kuwa ana upwiru, wakati mtaani kina mzabzab wako kibao
Unaeza kuta ni fwele boy anatumia ID ya masai dada BICHWA KOMWE -
Kwani wanaume hakuna hadi maji baridi seran?Hapo ni ku_bate au kutumia maji baridiiii🤭
Inasikitisha sana ,amemfanyia ukatili wa kiwango cha juu kabisa...Naona kabisa Baraka huko mbele akienda kujitoa uhai.Niliona
Dah kampa adhabu kubwa sana hata kama kosa lilikua lipi
Atajiua hakikaInasikitisha sana ,amemfanyia ukatili wa kiwango cha juu kabisa...Naona kabisa Baraka huko mbele akienda kujitoa uhai.
Ww n single mother bhana acha kupindisha pointBaba mtu tumetengana kimkoa sababu ya kazi but we raise our kids together(sitaongela sana hili)
We umeona wapi hao wanaume? Hawapo bana..Kwani wanaume hakuna hadi maji baridi seran?
Mbona tumejaa tele mtu wangu!!We umeona wapi hao wanaume? Hawapo bana..
Nyie mna ndoa zenu banaMbona tumejaa tele mtu wangu!!
Hiyo notion unatakiwa uondokane nayo, sisi tukikupenda tunalianzisha.Nyie mna ndoa zenu bana
Heh! Kwaio chaka ni popote sio?Hiyo notion unatakiwa uondokane nayo, sisi tukikupenda tunalianzisha.
Sio kweli kwamba mwanaume akiacha kumbato atajihusisha na ushogaUkitumia njia za uzazi wa mpango iwe ni sindano au vidonge vyao vile lazima hamu ya tendo ipungue barabara na siku ukiacha kwa muda kuanzia mwezi hivi ni lazima utaona matamanio (hamu) maradufu. Yale makitu siyo kabisa ni basi tu...
Mwanaume ukijizuia na kufanya tendo bila sababu za msingi ni lazima utaingia kwenye mkumbo wa mashoga na mwanamke ukijizuia na tendo bila sababu za msingi ni lazima utaingia kwenye mkumbo wa wasagaji.
Huwezi kushindana na nature
Ungekua mtaani ni nakutana kwenye mechi tuu Siyo kudateMchakato mzima wa kudate siuwezi kwa sasa
Naona ni process ndefu sana aisee
Hapana, ila dhana ya kuwa na ndoa hutakiwi kuwa nayo. Mwanaume hawi na mwanamke mmoja.Heh! Kwaio chaka ni popote sio?
Duhh! Kumbe.. kwahiyo haina haja ya ndoa basi!Hapana, ila dhana ya kuwa na ndoa hutakiwi kuwa nayo. Mwanaume hawi na mwanamke mmoja.
😁😁Kwamba na wewe ushawahi kupitia humo?
Binafsi simuelewi, tumeumbwa sijui billion ngapi duniani, kusubiri mmoja akupe furaha ni kuikosea nafsi yako🤪🤪