Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,668
- 96,522
Sawa sawa,agiza mzigo wa CBM kadhaa tuMm niko Mikochen sasahiv. Hakuna manyunyu. Hakuna mvua. Ila kuna dalili ya mvua.
Hali ya hewa amaizing
Sawa sawa,agiza mzigo wa CBM kadhaa tuMm niko Mikochen sasahiv. Hakuna manyunyu. Hakuna mvua. Ila kuna dalili ya mvua.
Hali ya hewa amaizing
Wahi kipindi cha Lesoni mkuu.Habari za Sabato!
Kwa kweli hali ya hewa ya jiji la Chalamila inashawishi sana.
Nawasiliana na wanasheria wananiambia hapa kuwa leo ukifanya makosa sheria zitaangalia. Sasa sijajua kama ni kweli au laa. Maana hawa Wanasheria siku hizi wa ChatGPT wanaweza kukuingiza mkenge ukabaki unabung'aa.
Hali ya hewa inashawishi. Na nimeshawishika.
Hallelujah
Ngoja tuone siku itaendaje!Unaambiwa kipindi kama hiki na vha Elnino mambo mengi yanadhorota
Inashawishi kivipi? Fafanua.Bei ya bidhaa leo imepanda
Toka magetoni uone hari ya hewa ilivyo mkuuInashawishi kivipi? Fafanua.
Pole ila hedaru sio milimani, nilienda usangi na ugweno watu wanakunywa pombe mno kuleMimi ni mpare wa Milimani na msabato pia
Mzigo gani rafiki?Hii Hali ya hewa ya kuagiza mzigo
Mzigo wa kuendana na Hali ya hewaMzigo gani rafiki?
Sasa hivi si ulitakiwa uwe kanisani?Mimi ni mpare wa Milimani na msabato pia
Sasa hivi si ulitakiwa uwe kanisani?
Mimi leo najitoa out , nikapige mitungi maporini huko😅Yani nipo hapa naiona kwa mbali dirishani naipangia mikakati nikitoka hapa nipite mahali nichanganyikiwe ndio nirudi home😆
Bila shaka itakuwa bia🤣Mzigo wa kuendana na Hali ya hewa
Eeh tukilewa tunaagiza mzigo mwingine Sasa wa kikubwa kubwaBila shaka itakuwa bia🤣
Kula vitu bamnyo!Mimi leo najitoa out , nikapige mitungi maporini huko😅
Ndio mzigo gani huo?Eeh tukilewa tunaagiza mzigo mwingine Sasa wa kikubwa kubwa
Hahahaha 🤣, mzigo wa WakubwaNdio mzigo gani huo?