KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,883
- 40,053
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kutokea upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa baharini katika maeneo yote ya Pwani kuanzia kesho na kesho kutwa.
Bora sikukuu mtulie majumbani
hao wakikosa kazi huwa ni kutia watu hofu.Mwaka jana walisema itanyesha mvua ya mafuriko dsm,kilichotokea jua la kufa mtu hata manyunyu hatukuona
wabongo na ubishi wao watajimwaga bila woga,..
dah xmass imeshaharibika tena hivyo, no kujirusha beach
!
!
hao TMA wameshaangalia CNN au katika viandroid vyao wanasema wametabiri......teh teh teh teh, tunazo na sie hizi android jamani
waongo wakubwa hawa..wanataka tusiende coco kugegeda milupo ...mxxxxxxx..upepo ndo mzuri acha uje maana ndo unatupa nyege vibaya sana