hali ya hewa hapa MMU


GUILTY kwani wewe ndio umewaumba na hivyo vibamia vyao. Mtu kama ana kibamia abakie na kibamia chake na ndio uumbaji. Kila nyanja ya maisha watu wanazidiana, kwenye hela watu wanazidiana, vyeo wanazidiana na hata dushelele kuna wenye vibamia, wenye ndizi hadi wenye mkono wa mtu mkubwa a.k.a FC Libolo la punda.

Jamani wenye vibamia, msiwe na inferiority complex, kibamia kikitajwa tu mnakuja juu,,, au kuna wadada humu wameona vibamia vyenu kwa hiyo mnawaonea noma. Ha haaaah, mitalimbo oyeeeee
 

oyee mkuu
 
Teja utalijua tuu! Kapate dawa kwa mzizimkavu wewe! Katibu KIBAMIA hicho! Acha kudhalilisha mama zetu! pambaff!

ninawas was na ww lazma utakuwa sh o g a unahemewa mgongon ww ndo maana unawaka........
 
ninawas was na ww lazma utakuwa sh o g a unahemewa mgongon ww ndo maana unawaka........

Mi shoga kama babako mzazi!! Tiba ya VIBAMIA ipo wasiliana na Mzizimkavu! Acha kudhalilisha mama zetu mtoto wa kufikia wewe
 
Mi shoga kama babako mzazi!! Tiba ya VIBAMIA ipo wasiliana na Mzizimkavu! Acha kudhalilisha mama zetu mtoto wa kufikia wewe

halafu ---- ww nakutafuta kwa ham sana chunga domo lako hanis ww unaonekana ka dume kumbe sio rizik.....ntakucastrate nguruwe pori ww
 
Mmmh! Makubwa.......hii JF ya siku hizi imechange sana, na wengi wanaoharibu hili jukwaa wanatoka uso wa kitabu.
Kazi kwelikweli tutashuhudia mengi
 
Mmmh! Makubwa.......hii JF ya siku hizi imechange sana, na wengi wanaoharibu hili jukwaa wanatoka uso wa kitabu.
Kazi kwelikweli tutashuhudia mengi

Avatar yako hii usiitoe...
 
Umeona eeh.....
Ni kweli kabisa miaka ya nyuma JF-MMU ilikuwa ni darasa tosha kuhusu mahusiano lakini sio leo, nowdays watu wanakashifiana tu, mzaha umezidi, mtu analeta thread ya maana na ana shida kweli but watu wanamjibu kwa kejeli na utani mwingi, MMU hii sio ile ya 2006-2010



anachosema gfsonwin ni kweli kabisa na hasa wadada wa kutoka kule Kaskazini ndio wanaongoza kwa kuwa offended.
Nakumbuka miaka ile MMU ilikuwa ni sehemu ya kujifunza mengi sana kuhusu mahusiano, lakini siku hizi elimu inayopatikana sio kama zamani.
 
Tatizo humu ndani utoto mwingi siku hizi.wengine tunaamua kukaa kimya tu wakati mwingine, na ladha imepotea sana, kila mtu anajifanya mjuaji, wakikua wataacha
 
Last edited by a moderator:
Binafsi hua sinaga msalie mtume na --------,ukizingua naku PM,ukiendelea nakuchana laivu,ila sikutukani,jandoni hatukufundishwa ivyo...

Mtoa mada nadhani angeanza kwanza kuchunguza kundi lake, niukweli usio pingika kua,nyuzi zenye maneno makili zilianza kutoka baada ya Zahra White kuweka povu lake, wanaume wajitahid kujitetea wee wapi.,ikabidi wanaume nao wakubaliane kuto kukubaliana ndo mana leo mleta mada kaamua kutafuta suruhu humu ndani, lara 1 naamini alitupia uzi ule baada ya kuona maneno kuhusu wanawake yanazidi...heshima ni kutu ya bure sana,ukimueshimu mwanaume nae atakueshimu tu.
 
Last edited by a moderator:
halafu ---- ww nakutafuta kwa ham sana chunga domo lako hanis ww unaonekana ka dume kumbe sio rizik.....ntakucastrate nguruwe pori ww

Shukrani mkuu! Ukipona KIBAMIA ntafute mkuu
 

izo ni imani potofu tu,alietuumba alifikilia mengi,ndo mana akaamua kumuumba adam kwanza mengne yakafuata.
 
Cc Zahra white ndo aliyeanzisha!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

huyo dada alikutana na wanaume fake,kosa alilofanya akawakusanya wanaume wote wenye age ile na kuwapa makavu,tena huku akitumia data fake {wanaume 3.} alipo ona pamechafuka hata kutia mguu akawa akanyagi ktk uzi ule,uzi ulikua unatembe na wachangiaji tu...kama matokeo yamesha tokea,chamuhimu kua na busara unapo anzisha uzi,jua kwanamna moja ama nyingne utawagusa watu,hivyo tumia polite language...utaeleweka tu,ila ukileta ukauzu watu watakuzingua tena sana,kumbuka humu kuna makundi ya watu wenye umri tofauti,mitazamo tofauti na misimamo pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…