Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 333
Kama taarifa ya awali ilivyobainisha kuwa HOE alipata matatizo baada ya kuvamiwa na vibaka usiku, pia tukaambiwa amelazwa hospitali, hivyo kwa anaefahamu hali yake atujuze wengne, au kama yupo humu atuambie anaendeleaje kwa sasa.