Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Nadhani kwenye kazi za kitaalamu tungewaachia wataalam wa fani hizo wakakomenti wenyewe mkuu Ng'wanangwa,weupe wa jengo hauna uhusiano na nondo wala cement,isitoshe,nondo huwezi kuziona jengo likishajengwa labda ufanye x-rays au destructive test.
Nilitegemea kuona hapa viashiria vilivyopelekea kuonyesha kuwa jengo litaanguka wakati wowote,ikiwemo labda kuinama(trend ya kuinama),kumomonyoka kama dalili za kuzidiwa uzito,kuonekana kuzama (settlements) na vitu vinavyoambata na hivyo.
Yericko Nyerere naomba uje utupe viashiria vya jengo hilo kudondoka kitaalamu baada ya kumjibu Tume ya Katiba kuwa ndiyo kazi yako ili Mamzalendo nae awe kajibiwa.
Last edited by a moderator: