Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
baada ya kutoridhishwa na bajeti ya nishati na madini vurugu zimeshaanza mitaa ya Magomeni, Soko kuu na Coco beach Pande za mtwara ....
nimetulia ndani naskizia mabomu yanavurumishwa ...
for more updates stay tuned ....
Kwenye red hapo kama uko ndani tutapate updates????????????????????????????
kama sio za kutunga!:kev: