Hali ni mbaya, waziri Bashe chukua hatua

Hali ni mbaya, waziri Bashe chukua hatua

Kama huwezi kununua mchele kwa Tsh 4,000 kwa kilo jua kuwa wewe si mlengwa. Usilazimishe kununua mchele wakati kipato chako ni kidogo. Vyakula vyenu vipo vingi tu kama magimbi, viazi utamu, choroko, unga wa mahindi nk.

Hatuwezi wote kuendesha Mercedes, ndiyo maana na Toyota zipo, na yote ni magari.

Usiige kunya kwa tembo utapasuka msamba. Mchele siyo saizi yako
Eti na wewe unajiita great thinker.........kwa hizi akili wewe utakuwa great sinker.
 
Huu ni mwezi May kuna baadhi ya maeneo yanafanya uvunaji wa mazao tayari, kanda ya ziwa wameshavuna mahindi 80% ya mashamba yao sasa hivi wapo wanaendelea na uvunaji wa mpunga ambao upo 40%

70% ya mazao yanayotumika sana nchini kwetu ni mahindi, mchele na maharage haipiti siku waTanzania 7 kati ya 10 wasitumie moja wapo ya haya mazao, Maeneo yanayolima sana ndio yapo kwenye uvunaji mda huu

Mikoa ya kiuzalishaji kama Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Morogoro pia imeanza kuvuna mda huu lakini hatuoni bei ikishuka kwa asilimia kubwa, ikumbukwe nchi yetu inapata mvua vipindi viwili tu kwa mwaka (vuli na masika) vuli hutangulia kuanzia september mpaka disember (maanaake vuli imeshapita) sasa tupo mwishoni mwa mvua za masika mvua hizi zilianza mwezi february na zitaisha rasmi mwishoni mwa mwezi huu

Asilimia kubwa ya wakulima tulokuwa nao nchini wanategemea mvua na hapa tukubaliane kwamba hatutapata tena mda wa kuzalisha mazao mengine mpaka mwishoni mwa mwaka, maanaake mazao haya yaliyopo yanatakiwa yatupeleke mpaka mwaka kesho mwezi kama huu

Kama wakulima wapo wanavuna shambani lakini bei hazishuki na hii inatoa picha kabisa kuwa mazao yaliyopatikana msimu huu bado ni kidogo na bahati mbaya wakulima walokuwa wengi wanauzia mazao shambani maanake tayari wafanyabiashara wa mazao mameshajimilikisha mazao ya msimu huu

Nimepita baadhi ya maeneo haswa kanda ya ziwa mkoani Geita halmashauri ya Geita DC mpunga unavunwa bei ya mchele imepungua lkn sio kwa ukubwa huo huko kg 1 ya mchele wanauza kwa Tsh 2000- Tsh 2500 hii ni bei ya mchele mpya kutoka shamba tuna mwezi mmoja na nusu tu wa uvunaji hali ni mbaya

Hapa serikali inatakiwa izuie moja kwa moja soko la nje, tusijidanganye kuwa tunamsaidia mkulima tutaua watu kwa njaa, kama mwezi may bei ni hii vipi mwezi disember? Soko la ndani bado ni kubwa sana linatosha kuuza mazao ikiruhusiwa mazao kwenda nje trust me mazao hayatashikika

Inawezekana serikali inataka kuvutia watu waingie kwenye kilimo sawa lkn lazima tuwe na mgawanyo wa kazi, watu walime mazao tupate chakula, watu wasome tupate wataalamu, watu wafanye michezo tupate wacheza mpira, riadha ndodi nk

Kuna watu wengine hawawezi kujikita kwenye kilimo ila wanachangia ukuaji wa uchumi wa nchi kwa mambo mengine, hebu tuwawazie vijana wanaojenga majengo (mafundi) wanajitoa sana kuijenga nchi yetu tumeona kilichofanyika Dodoma mji unajengwa kweli kweli, vijana hawa kipato chao kipo pale pale hata mh Rais hajagusia masilahi yao leo hii pale Morogoro ataweza kununua chakula kikipanda bei ikiwa pesa anayolipwa ni ile ile miaka yote

Tusichukulie poa hali itakuwa mbaya sana kuanzia mwezi september mwaka huu
Bashe ana machawa wa uvccm, watakuwa kukutukana Bure,
Ila ulicho kisema ni ukweli mtupu, raisi Samia abadilishe Baraza la mawaziri, Kwan Hawa walio kuwapo wanekula mapaka wanapandisha mabega
 
Kama huwezi kununua mchele kwa Tsh 4,000 kwa kilo jua kuwa wewe si mlengwa. Usilazimishe kununua mchele wakati kipato chako ni kidogo. Vyakula vyenu vipo vingi tu kama magimbi, viazi utamu, choroko, unga wa mahindi nk.

Hatuwezi wote kuendesha Mercedes, ndiyo maana na Toyota zipo, na yote ni magari.

Usiige kunya kwa tembo utapasuka msamba. Mchele siyo saizi yako
Unaijua bei ya magimbi ww ,apo sokoni kwako
 
Eti na wewe unajiita great thinker.........kwa hizi akili wewe utakuwa great sinker.
It doesn't matter, I know you got hit by a stone in the dark. If you can't afford a kilogram of rice at Tsh 4,000 and you stay in Mbezi Dar es Slaam, count yourself you are in a wrong city.
 
Unaijua bei ya magimbi ww ,apo sokoni kwako
Kama na magimbi huwezi kununua toka mjini nenda kwenye maisha mepesi. Nyinyi mnawanyonya wakulima na kutaka ku influence Serikali idhibiti bei.
 
It doesn't matter, I know you got hit by a stone in the dark. If you can't afford a kilogram of rice at Tsh 4,000 and you stay in Mbezi Dar es Slaam, count yourself you are in a wrong city.
Unaijua composition ya wananchi waliopo Dar es Salaam na vipato vyao? unaijua hali ya vipato vya wananchi wa kawaida hapa nchini, achilia mbali Dar........au ukishajiona wewe unaweza kununua kilo 4000/- basi huna habari na maisha ya wananchi walio wengi.........

You are too senseless my friend, hata huko ulaya kwenye majiji yaliyoendelea kuna regulatory bodies kuangalia bei za bidhaa muhimu kama vyakula viwe affordable kwa watu wengi hata kama kuna matajiri wenye uwezo wa kununua vyakula vyote kwa bei yoyote ile.
 
Kama na magimbi huwezi kununua toka mjini nenda kwenye maisha mepesi. Nyinyi mnawanyonya wakulima na kutaka ku influence Serikali idhibiti bei.
We chawa aliye kuambia Kuna maisha mepesi ni Bashe?
 
It doesn't matter, I know you got hit by a stone in the dark. If you can't afford a kilogram of rice at Tsh 4,000 and you stay in Mbezi Dar es Slaam, count yourself you are in a wrong city.

Mkuu hapo uliposema "count yourself" ndo kumaanisha "jihesabu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bashe ana machawa wa uvccm, watakuwa kukutukana Bure,
Ila ulicho kisema ni ukweli mtupu, raisi Samia abadilishe Baraza la mawaziri, Kwan Hawa walio kuwapo wanekula mapaka wanapandisha mabega
Sidhani kama ni suala la machawa, it is rather objectivity kwenye argument. Mtoa mada anangalia demand side tu kwa mlaji. Lakini kwenye mada yake hajagusa kabisa issues ambazo mkulima anapata. Bei za pembejeo, mbolea, majanga ya hali ya hewa nk.

Basic economics inasema bei inapangwa wakati demand na supply zinapo cross. Enzi za JK Nyerere kulikuwa na Price Commission ambayo ilikuwa na jukumu la kupanga bei za bidhaa mnalimbali. Lakini mwaka 1987/8 Serikali ilifuta price commission na ku Liberalize soko.

Tool pekee ambayo Serikali imeweka kwenye mazao ni sera ya Crop Stabilisation Fund through NFRA (National Food Reserve Agency). Serikali kupitia wizara ya kilimo inao wataalamu ambao wanayo mechanism ya kujua mwaka ujao kwa hali ya mazingira na mvua uzalishaji utakuwa kiasi gani. Hivyo basi kama kutakuwa mazao mengi ndipo huiagiza NFRA kununua yale ya ziada ili wakulima wasiuze kwa bei ya chini sana.
Vivyo hivyo wakati wa ukame NFRA huagizwa kutoa chakula walichohifadhi na kukiuza kwenye soko ili kudhibiti bei kupanda sana.

Hizi bei zilizolalamikiwa kwa mtazamo wangu zilikuwa within range.
 
Huu ni mwezi May kuna baadhi ya maeneo yanafanya uvunaji wa mazao tayari, kanda ya ziwa wameshavuna mahindi 80% ya mashamba yao sasa hivi wapo wanaendelea na uvunaji wa mpunga ambao upo 40%

70% ya mazao yanayotumika sana nchini kwetu ni mahindi, mchele na maharage haipiti siku waTanzania 7 kati ya 10 wasitumie moja wapo ya haya mazao, Maeneo yanayolima sana ndio yapo kwenye uvunaji mda huu

Mikoa ya kiuzalishaji kama Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Morogoro pia imeanza kuvuna mda huu lakini hatuoni bei ikishuka kwa asilimia kubwa, ikumbukwe nchi yetu inapata mvua vipindi viwili tu kwa mwaka (vuli na masika) vuli hutangulia kuanzia september mpaka disember (maanaake vuli imeshapita) sasa tupo mwishoni mwa mvua za masika mvua hizi zilianza mwezi february na zitaisha rasmi mwishoni mwa mwezi huu

Asilimia kubwa ya wakulima tulokuwa nao nchini wanategemea mvua na hapa tukubaliane kwamba hatutapata tena mda wa kuzalisha mazao mengine mpaka mwishoni mwa mwaka, maanaake mazao haya yaliyopo yanatakiwa yatupeleke mpaka mwaka kesho mwezi kama huu

Kama wakulima wapo wanavuna shambani lakini bei hazishuki na hii inatoa picha kabisa kuwa mazao yaliyopatikana msimu huu bado ni kidogo na bahati mbaya wakulima walokuwa wengi wanauzia mazao shambani maanake tayari wafanyabiashara wa mazao mameshajimilikisha mazao ya msimu huu

Nimepita baadhi ya maeneo haswa kanda ya ziwa mkoani Geita halmashauri ya Geita DC mpunga unavunwa bei ya mchele imepungua lkn sio kwa ukubwa huo huko kg 1 ya mchele wanauza kwa Tsh 2000- Tsh 2500 hii ni bei ya mchele mpya kutoka shamba tuna mwezi mmoja na nusu tu wa uvunaji hali ni mbaya

Hapa serikali inatakiwa izuie moja kwa moja soko la nje, tusijidanganye kuwa tunamsaidia mkulima tutaua watu kwa njaa, kama mwezi may bei ni hii vipi mwezi disember? Soko la ndani bado ni kubwa sana linatosha kuuza mazao ikiruhusiwa mazao kwenda nje trust me mazao hayatashikika

Inawezekana serikali inataka kuvutia watu waingie kwenye kilimo sawa lkn lazima tuwe na mgawanyo wa kazi, watu walime mazao tupate chakula, watu wasome tupate wataalamu, watu wafanye michezo tupate wacheza mpira, riadha ndodi nk

Kuna watu wengine hawawezi kujikita kwenye kilimo ila wanachangia ukuaji wa uchumi wa nchi kwa mambo mengine, hebu tuwawazie vijana wanaojenga majengo (mafundi) wanajitoa sana kuijenga nchi yetu tumeona kilichofanyika Dodoma mji unajengwa kweli kweli, vijana hawa kipato chao kipo pale pale hata mh Rais hajagusia masilahi yao leo hii pale Morogoro ataweza kununua chakula kikipanda bei ikiwa pesa anayolipwa ni ile ile miaka yote

Tusichukulie poa hali itakuwa mbaya sana kuanzia mwezi september mwaka huu
Watanzania nani alituloga. Badala ya kufikiria kuongeza uzalishaji mna shauri kuzuia soko. Ujinga gani huu? Zoko lizuiwe, wakulima wapate hasara halafu msimu ujao nani atalima.
 
Huu ni mwezi May kuna baadhi ya maeneo yanafanya uvunaji wa mazao tayari, kanda ya ziwa wameshavuna mahindi 80% ya mashamba yao sasa hivi wapo wanaendelea na uvunaji wa mpunga ambao upo 40%

70% ya mazao yanayotumika sana nchini kwetu ni mahindi, mchele na maharage haipiti siku waTanzania 7 kati ya 10 wasitumie moja wapo ya haya mazao, Maeneo yanayolima sana ndio yapo kwenye uvunaji mda huu

Mikoa ya kiuzalishaji kama Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Morogoro pia imeanza kuvuna mda huu lakini hatuoni bei ikishuka kwa asilimia kubwa, ikumbukwe nchi yetu inapata mvua vipindi viwili tu kwa mwaka (vuli na masika) vuli hutangulia kuanzia september mpaka disember (maanaake vuli imeshapita) sasa tupo mwishoni mwa mvua za masika mvua hizi zilianza mwezi february na zitaisha rasmi mwishoni mwa mwezi huu

Asilimia kubwa ya wakulima tulokuwa nao nchini wanategemea mvua na hapa tukubaliane kwamba hatutapata tena mda wa kuzalisha mazao mengine mpaka mwishoni mwa mwaka, maanaake mazao haya yaliyopo yanatakiwa yatupeleke mpaka mwaka kesho mwezi kama huu

Kama wakulima wapo wanavuna shambani lakini bei hazishuki na hii inatoa picha kabisa kuwa mazao yaliyopatikana msimu huu bado ni kidogo na bahati mbaya wakulima walokuwa wengi wanauzia mazao shambani maanake tayari wafanyabiashara wa mazao mameshajimilikisha mazao ya msimu huu

Nimepita baadhi ya maeneo haswa kanda ya ziwa mkoani Geita halmashauri ya Geita DC mpunga unavunwa bei ya mchele imepungua lkn sio kwa ukubwa huo huko kg 1 ya mchele wanauza kwa Tsh 2000- Tsh 2500 hii ni bei ya mchele mpya kutoka shamba tuna mwezi mmoja na nusu tu wa uvunaji hali ni mbaya

Hapa serikali inatakiwa izuie moja kwa moja soko la nje, tusijidanganye kuwa tunamsaidia mkulima tutaua watu kwa njaa, kama mwezi may bei ni hii vipi mwezi disember? Soko la ndani bado ni kubwa sana linatosha kuuza mazao ikiruhusiwa mazao kwenda nje trust me mazao hayatashikika

Inawezekana serikali inataka kuvutia watu waingie kwenye kilimo sawa lkn lazima tuwe na mgawanyo wa kazi, watu walime mazao tupate chakula, watu wasome tupate wataalamu, watu wafanye michezo tupate wacheza mpira, riadha ndodi nk

Kuna watu wengine hawawezi kujikita kwenye kilimo ila wanachangia ukuaji wa uchumi wa nchi kwa mambo mengine, hebu tuwawazie vijana wanaojenga majengo (mafundi) wanajitoa sana kuijenga nchi yetu tumeona kilichofanyika Dodoma mji unajengwa kweli kweli, vijana hawa kipato chao kipo pale pale hata mh Rais hajagusia masilahi yao leo hii pale Morogoro ataweza kununua chakula kikipanda bei ikiwa pesa anayolipwa ni ile ile miaka yote

Tusichukulie poa hali itakuwa mbaya sana kuanzia mwezi september mwaka huu
yaani kweli umepoteza muda wako kuandika huu upupu? Kajilime hakuna mtu wa kukulimia, pili jiwekee akiba acha kila mtu atumie mshahara wake anavyotaka. Hivi mnawaonaje wakulima? mlilima pamoja? we kenge kweli, mshahara wako au mapato yako ya biashara kuna mtu anakupangia namna ya kutumia?
 
ilikuaje akawa Waziri huyu, Mtu ana asili ya Somalia ameoa mwenye asili ya Rwanda na anaingia baraza letu la Mawaziri akishikilia wizara uti wa mgongo wa Taifa
jiulize kwanini ndugu yako hajapewa? ni kwamba uko wenu wote wapumbavu
 
Ameteuliwa na mtu asiye na sifa za kuwa namba moja kwa mujibu wa protokali, unategemea kupata dodo chini ya mwarobaini?
mlaumu mamako kuzaa lipuuzi km wewe. mamako amewahi kuwa hata balozi. uwezo wenu km uchi wa mjusi
 
Mkuu nadhan ww utakuwa ni motivation speaker unaongea lugha laini sana, hiyo laki 2 ongea na mtu ambaye ana eneo tayari sio huyu ambae hana lazima akodi kutoka kwa mmiliki, watu wanakwepa kufanya vitu vinavyohitaji uwekezaji mkubwa,, kilimo sio kigumu wala kama unavyosema mm naamini ugumu upo kwenye mtaji

Mjini kazi ni ngumu kupita maelezo, mji kama Dar watu wanaamka saa 11 alfajiri na kulala saa 7 usiku mwaka mzima,, niambie ni kijiji gani watu wanaishi hivii? Mtu anapandisha juu ghorofa ya tano kifusi cha mchanga kilichomwagwa na lori (mende), hesabu kilometa anazotembea machinga kwa siku hawa hawashindwi kufanya kilimo bali hawana mitaji

Lkn jambo la msingi na ndio lengo la uzi huu serikali iangalie ni namna gani ya ku-balance bei za mazao bila kuathiri soko (walaji) na pia mkulima,, hatuwezi kulima wote na hata tukilima wote tutamuuzia nani ikiwa kila mtu ana mazao?
Sekta zote zinatakiwa zifanye kazi,, mda huo ww unalima kuna utalii, uchimbaji madini, uvuvi nk
pambana na hali yako unataka nani akulimie. Hizo kazi unazofanya umechagua mwenyewe.
 
ilikuaje akawa Waziri huyu, Mtu ana asili ya Somalia ameoa mwenye asili ya Rwanda na anaingia baraza letu la Mawaziri akishikilia wizara uti wa mgongo wa Taifa
Bashe Ni waziri wa ovyo Toka nnchi hi imepeta Uhuru
 
yaani kweli umepoteza muda wako kuandika huu upupu? Kajilime hakuna mtu wa kukulimia, pili jiwekee akiba acha kila mtu atumie mshahara wake anavyotaka. Hivi mnawaonaje wakulima? mlilima pamoja? we kenge kweli, mshahara wako au mapato yako ya biashara kuna mtu anakupangia namna ya kutumia?
Ni kipi nilichoandika kimeuudhi mpaka unatukana? najifunza kitu hapa Afrika tunashindwa kujenga hoja kwa hoja inawezekana miaka na miaka ikapita bila kuwa na hii demokrasia tunayoitaka

Mm nimeleta hoja ijibu hoja yangu sio utukane kwanza sijakulazimisha uchangie, kitu kingine nadhan tunakoswa exposure tuliokuwa wengi hatujatembea kuona wenzetu nje wanafanya nn,, ukilima ww unataka wote tulime haya basi hayo mengine afanye nani?

Nadhani wapiga kelele wengi hapa ni wale wanaolima ekari moja kwaajili ya chakula ila mkulima wa kibiashara hawezi kusema na wewe nenda kalime, unadhani tukilima wote mtu ambae ukulima ndio kazi yake ataoata faida?

#THINK
 
Jana nimepita maduka mengi ya jumla huku maeneo ya mbezi yalikuwa hayana mchele zaidi ya wiki, wanasema huko wanakochukua umeisha wanategemea wakulima wavune kwanza. Duka nililobahatisha kupata mchele ule mzuri unauzwa 3,600/= kwa kilo, na inasemekana kuna wanaouza hadi 4000/-.Hivi mwananchi wa kawaida atamudu kweli kuishi kwa bei hizi za vyakula?

Halafu waziri anafanya siasa kwenye jambo nyeti la chakula eti anasaidia wakulima wakati kiuhalisia anawaneemesha madalali na walanguzi wa mazao ambao wana ma-godown ambayo wanayatumia kununua na kuhifadhi mazao ya wakulima kwa bei chee ili waje wayauze kwa bei ya juu nje ya nchi kwa bei wanayotaka.
Kama wewe unaona wakulima wanawauzia walanguzi kwa bei ndogo kwa nini na wewe usiende huko kijijini ukanunue kwa bei hiyo ndogo uhifadhi uache kulalamika.
Kama unadhani huku kijijini bei ya mazao kwa wakulima ni chini njoo uje ujionee.
Mfano mchele huku Rukwa ambako ndiyo unalimwa kilo moja ni 3000/
Mahindi huku kijijini yanauzwa kwa 100kg shilingi 70,000/ sasa hapo mkulima anaibiwaje
 
Back
Top Bottom