Hali ni mbaya, waziri Bashe chukua hatua

Hali ni mbaya, waziri Bashe chukua hatua

Huu ni mwezi May kuna baadhi ya maeneo yanafanya uvunaji wa mazao tayari, kanda ya ziwa wameshavuna mahindi 80% ya mashamba yao sasa hivi wapo wanaendelea na uvunaji wa mpunga ambao upo 40%

70% ya mazao yanayotumika sana nchini kwetu ni mahindi, mchele na maharage haipiti siku waTanzania 7 kati ya 10 wasitumie moja wapo ya haya mazao, Maeneo yanayolima sana ndio yapo kwenye uvunaji mda huu

Mikoa ya kiuzalishaji kama Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Morogoro pia imeanza kuvuna mda huu lakini hatuoni bei ikishuka kwa asilimia kubwa, ikumbukwe nchi yetu inapata mvua vipindi viwili tu kwa mwaka (vuli na masika) vuli hutangulia kuanzia september mpaka disember (maanaake vuli imeshapita) sasa tupo mwishoni mwa mvua za masika mvua hizi zilianza mwezi february na zitaisha rasmi mwishoni mwa mwezi huu

Asilimia kubwa ya wakulima tulokuwa nao nchini wanategemea mvua na hapa tukubaliane kwamba hatutapata tena mda wa kuzalisha mazao mengine mpaka mwishoni mwa mwaka, maanaake mazao haya yaliyopo yanatakiwa yatupeleke mpaka mwaka kesho mwezi kama huu

Kama wakulima wapo wanavuna shambani lakini bei hazishuki na hii inatoa picha kabisa kuwa mazao yaliyopatikana msimu huu bado ni kidogo na bahati mbaya wakulima walokuwa wengi wanauzia mazao shambani maanake tayari wafanyabiashara wa mazao mameshajimilikisha mazao ya msimu huu

Nimepita baadhi ya maeneo haswa kanda ya ziwa mkoani Geita halmashauri ya Geita DC mpunga unavunwa bei ya mchele imepungua lkn sio kwa ukubwa huo huko kg 1 ya mchele wanauza kwa Tsh 2000- Tsh 2500 hii ni bei ya mchele mpya kutoka shamba tuna mwezi mmoja na nusu tu wa uvunaji hali ni mbaya

Hapa serikali inatakiwa izuie moja kwa moja soko la nje, tusijidanganye kuwa tunamsaidia mkulima tutaua watu kwa njaa, kama mwezi may bei ni hii vipi mwezi disember? Soko la ndani bado ni kubwa sana linatosha kuuza mazao ikiruhusiwa mazao kwenda nje trust me mazao hayatashikika

Inawezekana serikali inataka kuvutia watu waingie kwenye kilimo sawa lkn lazima tuwe na mgawanyo wa kazi, watu walime mazao tupate chakula, watu wasome tupate wataalamu, watu wafanye michezo tupate wacheza mpira, riadha ndodi nk

Kuna watu wengine hawawezi kujikita kwenye kilimo ila wanachangia ukuaji wa uchumi wa nchi kwa mambo mengine, hebu tuwawazie vijana wanaojenga majengo (mafundi) wanajitoa sana kuijenga nchi yetu tumeona kilichofanyika Dodoma mji unajengwa kweli kweli, vijana hawa kipato chao kipo pale pale hata mh Rais hajagusia masilahi yao leo hii pale Morogoro ataweza kununua chakula kikipanda bei ikiwa pesa anayolipwa ni ile ile miaka yote

Tusichukulie poa hali itakuwa mbaya sana kuanzia mwezi september mwaka huu
Hivi mleta maada unakaa mjini au kijijini, unafahamu bei ya pembejeo na mbolea? Au kazi yako kukalili bei ya kilo za vyakula vinavyokuja mjini?

Kama unatuonea huruma basi njoo tushilikiane kuanzia kuaandaa mashamba kulima mpaka kuvuna, halafu uje na mkakati wako wa kumsema Waziri bashe, Yaani miaka yote mnatuona mafara, kazi kupiga siasa huko mjini huku mnategemea tuwalimie
 
Tanzania wakati mkoloni anaondoka mwaka 1961 ilikuwa ni.moja ya nchi inayoongoza Africa kwa kuzalisha mazao ya chakula na cash crops nyingine ,mkoloni kapandikiza hapa mazao mengi ambayo hata asili yake si hapa , kuna sababu na sababu mi kwamba mazao mengi yanakubali kwenye hii ardhi ,mkoloni alijenga reli , barabara nk ambavyo vingine vinatumika mpaka leo , mtu mweusi kaingia kushika nchi hata kujilisha ni shida , hii ni akili au tope ?
Sisi watu weusi tuna matatizo ya akili sana
 
Leo hii tumebaki tu na blaa blaa ,wakati kama tungekuwa tumeijenga hii sekta na kuikuza kwa dhati na maarifa tangia uhuru leo hii tungekuwa mbali kiuchumi na tungejiposition katika nafasi nzuri ya kubenefit zaidi ,hasa ukizingatia inflation au mfumuko wa bei ya chakula uliopo dunia nzima kwa sasa , kuna nchi za uarabuni ,china huko ,India nk soko ni kubwa mno la mazao za kilimo na chakula.
Angalia mfano mfumuko wa bei ya chakula pale Uk , hasa matunda,mayai ,nyama ,maziwa na mboga mboga .
Why tusingekuwa sisi tuna una pesa zao muda huu ? Kwa kuwauzia bidhaa kama hizo ?
Kenya wanauza hizo products ulaya why sisi tunashindwa ?

Botswana wanaingiza pesa ndefu sana kuliko sisi kwa kuuza nyama ,ngozi na kwato nje ya nchi yao ,na wako vizuri kiuchumi, hata pato la mwananchi mmoja wako poa mara dufu kutuzudi , na wanategemea utalii ,diamonds na hiyo mifugo hasa ng'ombe .
Tanzania ina reserve kubwa ya wanyama ,hizo diamonds , hata utalii nadhani ni ya pili Africa Kwa wingi wa mifugo hiyo ,sasa ona utofauti wa akili kubwa na akili ndogo hapo mwenyewe
 
  • Maji bwerere yapo Ziwa Nyasa, Tanganyika n.k watu wanaongezeka kama samaki. Wenye mitaju wanakimbia kilimo kama ukoma.
  • Wananchi wa kawaida wanaotegemea mvua, ng'ombe waliokondeana, jembe la mkono, n.k ndio wanaolisha nchi.
  • Mambo ya kipuuzupuuzi ndio yanapata air time kwenye media.
  • Nchi imegeuzwa gulio la mchina.
 
Mkuu Kimbukiko tulifeli kwenye misingi ni ukweli kabisa japo miaka ya hivi karibuni kuanzia awamu ya nne ya Jakaya Kikwete tulianza jitihada tukaona kilimo kwanza nk

Hapa tujadili hali tulonayodada huu ya uhaba wa mazao tunatokaje,, tuendelee kuuza nje na wakati sisi wenyewe ndani chakula hakitoshi?
Ndio hizo hizo consequences zake sasa ,kama ukifeli kwenye misingi usitegemee chochote , suala ni kwamba uzalishaji ni mdogo na uzalishaji ni mdogo sababu kubwa watu wamekimbia kilimo ukiachana na suala la ukame ,ila watu wengi wameachana na kilimo tokana na hayo matatizo nikiiridhosha hapo huyu
Ndio hiyo sasa bei juu ya chakula na bado itapanda zaidi mpaka akili zirudi
 
  • Maji bwerere yapo Ziwa Nyasa, Tanganyika n.k watu wanaongezeka kama samaki. Wenye mitaju wanakimbia kilimo kama ukoma.
  • Wananchi wa kawaida wanaotegemea mvua, ng'ombe waliokondeana, jembe la mkono, n.k ndio wanaolisha nchi.
  • Mambo ya kipuuzupuuzi ndio yanapata air time kwenye media.
  • Nchi imegeuzwa gulio la mchina.
Ni mambo ya aibu kabisa
 
ilikuaje akawa Waziri huyu, Mtu ana asili ya Somalia ameoa mwenye asili ya Rwanda na anaingia baraza letu la Mawaziri akishikilia wizara uti wa mgongo wa Taifa
wewe mwenye asili ya Cameroon kwa nini hurudi kwenu?
 
Huu ni mwezi May kuna baadhi ya maeneo yanafanya uvunaji wa mazao tayari, kanda ya ziwa wameshavuna mahindi 80% ya mashamba yao sasa hivi wapo wanaendelea na uvunaji wa mpunga ambao upo 40%

70% ya mazao yanayotumika sana nchini kwetu ni mahindi, mchele na maharage haipiti siku waTanzania 7 kati ya 10 wasitumie moja wapo ya haya mazao, Maeneo yanayolima sana ndio yapo kwenye uvunaji mda huu

Mikoa ya kiuzalishaji kama Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Morogoro pia imeanza kuvuna mda huu lakini hatuoni bei ikishuka kwa asilimia kubwa, ikumbukwe nchi yetu inapata mvua vipindi viwili tu kwa mwaka (vuli na masika) vuli hutangulia kuanzia september mpaka disember (maanaake vuli imeshapita) sasa tupo mwishoni mwa mvua za masika mvua hizi zilianza mwezi february na zitaisha rasmi mwishoni mwa mwezi huu

Asilimia kubwa ya wakulima tulokuwa nao nchini wanategemea mvua na hapa tukubaliane kwamba hatutapata tena mda wa kuzalisha mazao mengine mpaka mwishoni mwa mwaka, maanaake mazao haya yaliyopo yanatakiwa yatupeleke mpaka mwaka kesho mwezi kama huu

Kama wakulima wapo wanavuna shambani lakini bei hazishuki na hii inatoa picha kabisa kuwa mazao yaliyopatikana msimu huu bado ni kidogo na bahati mbaya wakulima walokuwa wengi wanauzia mazao shambani maanake tayari wafanyabiashara wa mazao mameshajimilikisha mazao ya msimu huu

Nimepita baadhi ya maeneo haswa kanda ya ziwa mkoani Geita halmashauri ya Geita DC mpunga unavunwa bei ya mchele imepungua lkn sio kwa ukubwa huo huko kg 1 ya mchele wanauza kwa Tsh 2000- Tsh 2500 hii ni bei ya mchele mpya kutoka shamba tuna mwezi mmoja na nusu tu wa uvunaji hali ni mbaya

Hapa serikali inatakiwa izuie moja kwa moja soko la nje, tusijidanganye kuwa tunamsaidia mkulima tutaua watu kwa njaa, kama mwezi may bei ni hii vipi mwezi disember? Soko la ndani bado ni kubwa sana linatosha kuuza mazao ikiruhusiwa mazao kwenda nje trust me mazao hayatashikika

Inawezekana serikali inataka kuvutia watu waingie kwenye kilimo sawa lkn lazima tuwe na mgawanyo wa kazi, watu walime mazao tupate chakula, watu wasome tupate wataalamu, watu wafanye michezo tupate wacheza mpira, riadha ndodi nk

Kuna watu wengine hawawezi kujikita kwenye kilimo ila wanachangia ukuaji wa uchumi wa nchi kwa mambo mengine, hebu tuwawazie vijana wanaojenga majengo (mafundi) wanajitoa sana kuijenga nchi yetu tumeona kilichofanyika Dodoma mji unajengwa kweli kweli, vijana hawa kipato chao kipo pale pale hata mh Rais hajagusia masilahi yao leo hii pale Morogoro ataweza kununua chakula kikipanda bei ikiwa pesa anayolipwa ni ile ile miaka yote

Tusichukulie poa hali itakuwa mbaya sana kuanzia mwezi september mwaka huu
Umeandika hadithi nyingi sana zisizo na msingi.

Ni aidha ukalime maana mvua Bado zinanyesha au ukubaliane na bei ya soko,ujiumia wewe wakulima wakafaidi Kuna shida gani?

Kwa Mujibu wa sensa karibu 70% ya watu wako Vijijini na hao wengi wao ni wakulima nyie wapiga kelele mlioko kwenye 30% hamna Cha maana mnachangia Hadi kustahili kunyonya jasho la mkulima.
 
Umeandika vema lakini USHAURI KWA SERIKALI HAPA NI KUIWEZESHA NFRA KUNUNUA NAFAKA YA KUTOSHA LAKINI WAKULIMA WAENDELEE kufaidika NA FURSA ZA KIBIASHARA.

Tahadhari itolewe kwa wakulima wasiuzie Mazao SHAMBANI.

Huko ni Kunyonywa!

KAZI YA HIFADHI NA USALAMA WA CHAKULA NI YA SERIKALI.

MKULIMA ANAFANYA BIASHARA.

NFRA WAKICHELEWA KUFUNGUA MSIMU Watakosa NAFAKA!!!
We Jamaa bwana,usiuze mazao shambani Ili ukauze wapi? 🤣🤣

Kwa taarifa Yako nani anataka kusafirisha mjini akakumbane na Ushauri wa Halmashauri na TRA?

Tunavuna tunauza shambani sana sana labda Ukiwa na ghala unatunza shambani mjini watawaletea wafanyabiashara Ili wawagonge bei vizuri.
 
Tanzania wakati mkoloni anaondoka mwaka 1961 ilikuwa ni.moja ya nchi inayoongoza Africa kwa kuzalisha mazao ya chakula na cash crops nyingine ,mkoloni kapandikiza hapa mazao mengi ambayo hata asili yake si hapa , kuna sababu na sababu mi kwamba mazao mengi yanakubali kwenye hii ardhi ,mkoloni alijenga reli , barabara nk ambavyo vingine vinatumika mpaka leo , mtu mweusi kaingia kushika nchi hata kujilisha ni shida , hii ni akili au tope ?
Sisi watu weusi tuna matatizo ya akili sana
Sasa kama watu wa Mjini wanalazimisha bei iwe mbaya nani avuje jasho kuwalisha Wavivu wamwrundikana huko Mjini?
 
Hatutaki mazao yashuke zaidi bei,, ila hebu tufikirie kwa kina kama sasa hivi mwezi may kilo ya mchele bado inauzwa Tsh 2000 maeneo mengine ni mpaka Tsh 2900

Vipi kilo hiyo ya mchele itauzwa mwezi disember?
Bei ni Ile Ile kama ya mwaka uliopita Wala hakuna mabadiliko,kwanza ni mbaya sana jushuka saizi,kilele Cha mavuno ndio bei zinatakiwa kushuka sio saizi manake zitaporomoka ikifika mwezi june-August
 
Umeandika hadithi nyingi sana zisizo na msingi.

Ni aidha ukalime maana mvua Bado zinanyesha au ukubaliane na bei ya soko,ujiumia wewe wakulima wakafaidi Kuna shida gani?

Kwa Mujibu wa sensa karibu 70% ya watu wako Vijijini na hao wengi wao ni wakulima nyie wapiga kelele mlioko kwenye 30% hamna Cha maana mnachangia Hadi kustahili kunyonya jasho la mkulima.
Sensa ipi hiyo? Kuna sehemu kuna idadi kubwa ya watu waliokaa sehemu moja kama Dar? Arusha CBD, Dodoma CBD, Mwanza CBD

Any way mvua zipo mwishoni kabisa mda huu hii ni masika na itatamatika mwishoni mwa mwezi huu,, mazao ambayo yanahitajika sana mchele, mahindi na maharage yote kwa wastani yana komaa kuanzia mda wa miezi mitatu nitafte shamba niliandae, nilime kisha nipande hapa mwezi umeshaisha na mvua hakuna tena

Basi ngoja tusubri hiyo disember bei ya mchele kwa kilo ikiwa elfu 5 ndio tujadili hili
 
Sensa ipi hiyo? Kuna sehemu kuna idadi kubwa ya watu waliokaa sehemu moja kama Dar? Arusha CBD, Dodoma CBD, Mwanza CBD

Any way mvua zipo mwishoni kabisa mda huu hii ni masika na itatamatika mwishoni mwa mwezi huu,, mazao ambayo yanahitajika sana mchele, mahindi na maharage yote kwa wastani yana komaa kuanzia mda wa miezi mitatu nitafte shamba niliandae, nilime kisha nipande hapa mwezi umeshaisha na mvua hakuna tena

Basi ngoja tusubri hiyo disember bei ya mchele kwa kilo ikiwa elfu 5 ndio tujadili hili
Huko mlikosongamana Kwa kukimbia kazi Vijijini bakini hivyo hivyo Ili njaa iwanyooshe kwanza akili zitawajia..

Ni ujinga kudhani chakula ni maharage,mpunga na mahindi pekee..Panda viazi na mihogo au hata mbaazi zitakomaa kabisa..

Mwisho usikariri ,siko Kila Mkoa wanalima Kwa mvua tuu,Mikoa kama ya Iringa,Njombe,Rukwa ,Mbeya,Kigoma,Ruvuma na Morogoro Kuna mahindi mwaka mzima yanalimwa kwenye mabonde oevu kuanzia mwezi wa 7 maji yakipungua Kwa hiyo chakula ni mwaka mzima..
 
Ebungoja nione kama bado ninayo...😜
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    12.7 KB · Views: 2
Huu ni mwezi May kuna baadhi ya maeneo yanafanya uvunaji wa mazao tayari, kanda ya ziwa wameshavuna mahindi 80% ya mashamba yao sasa hivi wapo wanaendelea na uvunaji wa mpunga ambao upo 40%

70% ya mazao yanayotumika sana nchini kwetu ni mahindi, mchele na maharage haipiti siku waTanzania 7 kati ya 10 wasitumie moja wapo ya haya mazao, Maeneo yanayolima sana ndio yapo kwenye uvunaji mda huu

Mikoa ya kiuzalishaji kama Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Morogoro pia imeanza kuvuna mda huu lakini hatuoni bei ikishuka kwa asilimia kubwa, ikumbukwe nchi yetu inapata mvua vipindi viwili tu kwa mwaka (vuli na masika) vuli hutangulia kuanzia september mpaka disember (maanaake vuli imeshapita) sasa tupo mwishoni mwa mvua za masika mvua hizi zilianza mwezi february na zitaisha rasmi mwishoni mwa mwezi huu

Asilimia kubwa ya wakulima tulokuwa nao nchini wanategemea mvua na hapa tukubaliane kwamba hatutapata tena mda wa kuzalisha mazao mengine mpaka mwishoni mwa mwaka, maanaake mazao haya yaliyopo yanatakiwa yatupeleke mpaka mwaka kesho mwezi kama huu

Kama wakulima wapo wanavuna shambani lakini bei hazishuki na hii inatoa picha kabisa kuwa mazao yaliyopatikana msimu huu bado ni kidogo na bahati mbaya wakulima walokuwa wengi wanauzia mazao shambani maanake tayari wafanyabiashara wa mazao mameshajimilikisha mazao ya msimu huu

Nimepita baadhi ya maeneo haswa kanda ya ziwa mkoani Geita halmashauri ya Geita DC mpunga unavunwa bei ya mchele imepungua lkn sio kwa ukubwa huo huko kg 1 ya mchele wanauza kwa Tsh 2000- Tsh 2500 hii ni bei ya mchele mpya kutoka shamba tuna mwezi mmoja na nusu tu wa uvunaji hali ni mbaya

Hapa serikali inatakiwa izuie moja kwa moja soko la nje, tusijidanganye kuwa tunamsaidia mkulima tutaua watu kwa njaa, kama mwezi may bei ni hii vipi mwezi disember? Soko la ndani bado ni kubwa sana linatosha kuuza mazao ikiruhusiwa mazao kwenda nje trust me mazao hayatashikika

Inawezekana serikali inataka kuvutia watu waingie kwenye kilimo sawa lkn lazima tuwe na mgawanyo wa kazi, watu walime mazao tupate chakula, watu wasome tupate wataalamu, watu wafanye michezo tupate wacheza mpira, riadha ndodi nk

Kuna watu wengine hawawezi kujikita kwenye kilimo ila wanachangia ukuaji wa uchumi wa nchi kwa mambo mengine, hebu tuwawazie vijana wanaojenga majengo (mafundi) wanajitoa sana kuijenga nchi yetu tumeona kilichofanyika Dodoma mji unajengwa kweli kweli, vijana hawa kipato chao kipo pale pale hata mh Rais hajagusia masilahi yao leo hii pale Morogoro ataweza kununua chakula kikipanda bei ikiwa pesa anayolipwa ni ile ile miaka yote

Tusichukulie poa hali itakuwa mbaya sana kuanzia mwezi september mwaka huu
Ulichokisema Ni sahihi, hali ya bei ya chakula bado sio nzuri,na kusema kwamba mkulima anafaidika nadhani si wakulima wote,asilimia kubwa ya wakulima wa Tz ni wakulima wadogo wadogo,na hao ndio wanalisha nchi kwa kiasi kikubwa,swala la bei ya mazao kuwa nzuri si kweli kwamba wanafaidika nayo,wanaofaidika sanasana ni walanguzi na wakulima wa kubwa,mkulima mdogo akivuna anahifadhi kidogo kwa ajili ya chakula kingine anauza kwa walanguzi kwa bei ya kawaida, na mwisho wa siku mkulima huyo huyo akiishiwa chakula anakuja kununua kwa bei kubwa sana, kwahiyo ili swala liangaliwe upya, wachache sana ndio wanaofaidika wananchi wengi wanabaki wanaumia na mfumuko wa bei ya chakula
 
Kwanza mimi hakuna sehemu nimemtukana mtu hapa, naamini kwenye kujadili jambo kwa hoja haijalishi mtu kaleta hoja inayokinzana nitajibu kwa hoja na sio kutoa matusi

Pili kilimo ni sehemu ya maisha yangu, naamini kushiriki kilimo sio lazima nikalime hata nikikuletea pembejeo kuzitoa mjini kukusogezea kujijini nitakuwa nimeshiriki kilimo

Lengo la huu uzi sio kumuathiri mkulima kwenye suala la bei no, nilikuwa nawasilisha hoja kuhusu uhaba/uchache wa mavuno msimu huu serikali idhibiti soko mazao yasiuzwe yote kwa haraka soko la nje ilihali soko la ndani bado linauhitaji

Chakula kilichopo hakitoshi kwa humu humu ndani vipi tena kiende nje,, serikali ifunge mipaka kiuzwe hapa pekee

Harafu narudia tena hatuwezi kulima wote mkuu, unataka walimu, madaktari, mapolisi, wavuvi, wahandisi, wafanyabiashara watu wa madini na utalii wote waende shamba?
Ardhi ya Tanzania inayolimwa ni chini ya 15%, watu wengi wako kwenye uchuuzi, mama ntiliye, bodaboda na shughuli za kivivuvivu tu.

Lazima tuanze mahali pagumu ambapo ndipo hapa. Watanzania wanunue mazao kwa bei ya juu ili wakulima wabadilike hali zao kiuchumi na kilimo kionekane kina tija. Kililmo kikionekana kuwa kina tija, watu watatoka huko waliko watakwenda kulima.

Kama Bashe atafuata ushauri wenu potofu tutabakia kwenye "vicious circle" na mkulima atabakia duni, output ya kilimo itabaki hiyo hiyo.

Hussein Bashe kama unasoma hizi threads naomba uwapuuze hawa washauri FEKI
 
Huyo waziri ni mwizi kama wezi wengne tu.
 
Huu ni mwezi May kuna baadhi ya maeneo yanafanya uvunaji wa mazao tayari, kanda ya ziwa wameshavuna mahindi 80% ya mashamba yao sasa hivi wapo wanaendelea na uvunaji wa mpunga ambao upo 40%

70% ya mazao yanayotumika sana nchini kwetu ni mahindi, mchele na maharage haipiti siku waTanzania 7 kati ya 10 wasitumie moja wapo ya haya mazao, Maeneo yanayolima sana ndio yapo kwenye uvunaji mda huu

Mikoa ya kiuzalishaji kama Ruvuma, Rukwa, Mbeya, Morogoro pia imeanza kuvuna mda huu lakini hatuoni bei ikishuka kwa asilimia kubwa, ikumbukwe nchi yetu inapata mvua vipindi viwili tu kwa mwaka (vuli na masika) vuli hutangulia kuanzia september mpaka disember (maanaake vuli imeshapita) sasa tupo mwishoni mwa mvua za masika mvua hizi zilianza mwezi february na zitaisha rasmi mwishoni mwa mwezi huu

Asilimia kubwa ya wakulima tulokuwa nao nchini wanategemea mvua na hapa tukubaliane kwamba hatutapata tena mda wa kuzalisha mazao mengine mpaka mwishoni mwa mwaka, maanaake mazao haya yaliyopo yanatakiwa yatupeleke mpaka mwaka kesho mwezi kama huu

Kama wakulima wapo wanavuna shambani lakini bei hazishuki na hii inatoa picha kabisa kuwa mazao yaliyopatikana msimu huu bado ni kidogo na bahati mbaya wakulima walokuwa wengi wanauzia mazao shambani maanake tayari wafanyabiashara wa mazao mameshajimilikisha mazao ya msimu huu

Nimepita baadhi ya maeneo haswa kanda ya ziwa mkoani Geita halmashauri ya Geita DC mpunga unavunwa bei ya mchele imepungua lkn sio kwa ukubwa huo huko kg 1 ya mchele wanauza kwa Tsh 2000- Tsh 2500 hii ni bei ya mchele mpya kutoka shamba tuna mwezi mmoja na nusu tu wa uvunaji hali ni mbaya

Hapa serikali inatakiwa izuie moja kwa moja soko la nje, tusijidanganye kuwa tunamsaidia mkulima tutaua watu kwa njaa, kama mwezi may bei ni hii vipi mwezi disember? Soko la ndani bado ni kubwa sana linatosha kuuza mazao ikiruhusiwa mazao kwenda nje trust me mazao hayatashikika

Inawezekana serikali inataka kuvutia watu waingie kwenye kilimo sawa lkn lazima tuwe na mgawanyo wa kazi, watu walime mazao tupate chakula, watu wasome tupate wataalamu, watu wafanye michezo tupate wacheza mpira, riadha ndodi nk

Kuna watu wengine hawawezi kujikita kwenye kilimo ila wanachangia ukuaji wa uchumi wa nchi kwa mambo mengine, hebu tuwawazie vijana wanaojenga majengo (mafundi) wanajitoa sana kuijenga nchi yetu tumeona kilichofanyika Dodoma mji unajengwa kweli kweli, vijana hawa kipato chao kipo pale pale hata mh Rais hajagusia masilahi yao leo hii pale Morogoro ataweza kununua chakula kikipanda bei ikiwa pesa anayolipwa ni ile ile miaka yote

Tusichukulie poa hali itakuwa mbaya sana kuanzia mwezi september mwaka huu
Mkoani Ruvuma mahindi yameshuka.1700,2000,2500dumla.Wanunuzi wa kg hawajaanza kununuwa.Heri bei ipande mana uzalishaji unagharimu.
 
Back
Top Bottom