Hali mbaya ya barabara Kariakoo Dar

Hali mbaya ya barabara Kariakoo Dar

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,745
Reaction score
2,619
Kama hali ya barabara katika eneo lenye soko la kimataifa la Kariakoo ndio hii, basi ni hatari.

Hali ikoje maeneo mengine ya ndani ndani Dar es Salaam na mikoani?
 
Hapo tumezoea chini y ccm na mafisadi na majizi
Kazi ni kipimo cha utu
 
Yaani hii nilipost tiktok Dawasa wakajifanya kuziba maji

Juzi wamekuja kukwangua barabara wameacha hivyo na maji yake🙌
 
Back
Top Bottom