Parabolic JF-Expert Member Joined Dec 3, 2013 Posts 2,834 Reaction score 3,021 Jul 20, 2025 #1 Kama hali ya barabara katika eneo lenye soko la kimataifa la Kariakoo ndio hii, basi ni hatari. Hali ikoje maeneo mengine ya ndani ndani Dar es Salaam na mikoani? Your browser is not able to display this video.
Kama hali ya barabara katika eneo lenye soko la kimataifa la Kariakoo ndio hii, basi ni hatari. Hali ikoje maeneo mengine ya ndani ndani Dar es Salaam na mikoani? Your browser is not able to display this video.
Nkuba25 JF-Expert Member Joined Nov 18, 2015 Posts 2,386 Reaction score 13,133 Jul 20, 2025 #2 Mi 5 tena kwa mama.
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,800 Reaction score 113,358 Jul 20, 2025 #3 hiyo sehemu ni kero kwa muda sasa.
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 17,563 Reaction score 21,208 Jul 24, 2025 #4 Hapo tumezoea chini y ccm na mafisadi na majizi Kazi ni kipimo cha utu
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,894 Reaction score 52,484 Jul 24, 2025 #5 Yaani hii nilipost tiktok Dawasa wakajifanya kuziba maji Juzi wamekuja kukwangua barabara wameacha hivyo na maji yake🙌
Yaani hii nilipost tiktok Dawasa wakajifanya kuziba maji Juzi wamekuja kukwangua barabara wameacha hivyo na maji yake🙌
Drone Camera JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 14,154 Reaction score 14,114 Jul 24, 2025 #6 Kariakoo ni moja ya sehemu za hovyo Tanzania hii