Hali ilivyo utekelezaji ujenzi wa Daraja la Kigongo - Busisi

kalacha mateo

Senior Member
Sep 27, 2021
118
237
Waziri Makame Mbarawa amekagua maendeleo ya Ujenzi wa Daraja la Kigongo-Busisi (Daraja la JPM) lenye urefu wa Mita 3000 na Barabara Unganishi (KM 1.66) ambapo Utekelezaji wa Mradi huo kwa Sasa umefikia asilimia 63. Mradi huo ulianza kutekelezwa mwaka 2019.

Machi 2021 Wakati Rais Samia Suluhu anaingia madarakani ujenzi wa mradi huo ulikua ni 20%. ndani ya Mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia ujenzi ulifika 33.68% hadi leo hii January 23,2023 ujenzi wa daraja hilo umefikia 63%.

FmrduBiakAAZ4Ti
FmlOB0SWAAU2NU-
 
JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.

Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
 
JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.

Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....

Pamoja na kwamba wewe ni kiazi lakini hapa umeongea ukweli. Zile sifa zake za kijinga ndio hapo watu walimuona anafanya maendeleo ya hatari. Ungesikia huo miradi umefikia 95%. Ole wako ufike uwe unapiga picha, lazima uishie kutekwa.
 
JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.

Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
raha sio raha ndugu zangu
 
JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.

Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Hata Samia ni legacy ya Magufuli
 
JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.

Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Huna akili wew kichwa sijui cha kazi gani
 
JPM aliacha miradi mingi iko kama misingi tu, Sasa hivi inaonekana vizuri, halafu mjenzi mama Samia hata hana kelele jamani.

Hapo JPM angeenda na maaskofu saba, wachungaji nane, wazee wa kanisa kumi, mashehe 40, waandishi wa habari 60, Jaji Mkuu, Spika, Mkuu wa Majeshi, Mkurugenzi wa Usalama, mkuu wa Jeshi la polisi, magereza, uhamiaji.....
Huna akili wew kichwa sijui cha kazi gani
 
2025 ndo inaanza kazi.
Itafungua hiyo mikoa ila hilo daraja kurudisha pesa ni miaka 100
 
Nimeona mkuu, lkn sina hakika na hizi % usijje kushangaa zikabadilika akienda mkuu TANROAD ama naibu waziri.

Nadhani unafahamu mkanganyiko uliopo kwenye % za utekelezaji wa mradi wa JNHPP.

Kabisa, yaani hawa jamaa wamekuwa matapeli hadi ni aibu. Nenda sehemu ya ujenzi hapo ndio utajua jamaa wanaendekeza propaganda za kitoto. Nilikuwa mwanza siku moja kabla ya Magufuli kuzikwa Chato. Nilichokiona kwenye hilo daraja, na kilichokuwa kinahubiriwa ni vitu tofauti kabisa. Hadi nikahisi sio hilo daraja nini?
 
Back
Top Bottom