Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

Ina maana hamjatimiza vigezo kumbe...mbona mnajipa sifa za ki-jijijiji..


Sifa tumetimiza ila mchakato haujafikia mwisho.

Siyo kwamba mtu ana amka na kusema manispaa iwe jiji.

Mchakato lazima utimie.

Na kutokutimia mchakato haina maana kwamba Manispaa haina na au haijatimiza sifa.

Mfano, kuna mchakato wa kunyakuwa maeneo ya Halmashauri za Hai na Moshi Vijijini ili ziingizwe kwenye manispaa.
 
1. Vita ya Kagera
2. Mv Bukoba
3. Virusi vya ukimwi
4. Kuanguka kwa Bei ya kahawa
5. Wakimbizi
6. Uhalifu uliokithiri haswa pori la biharamulo
7. Mnyauko wa migomba ambacho ni chakula kikuu
8. Tetemeko la ardhi
9. Vikwazo vya kielimu na kimiundombinu

And the list is endless

Nitajie mkoa hata mmoja Tanzania ambao umepitia yote haya na bado wakazi wake wakaendelea na maisha yao pasipo utegemezi kwa serikali. Kagera is a home of survivals
Tumejitahidi kufungua vyuo vikuu viwili ila jamaa kizazi za Rwanda kavifunga aisse
 
1. Vita ya Kagera
2. Mv Bukoba
3. Virusi vya ukimwi
4. Kuanguka kwa Bei ya kahawa
5. Wakimbizi
6. Uhalifu uliokithiri haswa pori la biharamulo
7. Mnyauko wa migomba ambacho ni chakula kikuu
8. Tetemeko la ardhi
9. Vikwazo vya kielimu na kimiundombinu

And the list is endless

Nitajie mkoa hata mmoja Tanzania ambao umepitia yote haya na bado wakazi wake wakaendelea na maisha yao pasipo utegemezi kwa serikali. Kagera is a home of survivals
Sasa tumewanganya ata Mbuga ya Bugiri..subiri na Ziwa sasa
 
Tumejitahidi kufungua vyuo vikuu viwili ila jamaa kizazi za Rwanda kavifunga aisse
Hiv kwa nini alivifungia mkuu.

Sio Hilo Tu kuna rambirambi zilijenga shule wakati kuna mfuko wa maafa.



Anyway mkoa unajokongoja
Kutoka wa tatu Hadi wa kumi na moja .

Naamini few years to come utarudi kwenye nafasi yake
 
Sifa tumetimiza ila mchakato haujafikia mwisho.
Siyo kwamba mtu ana amka na kusema manispaa iwe jiji.
Mchakato lazima utimie.
Na kutokutimia mchakato haina maana kwamba Manispaa haina na au haijatimiza sifa.
Mfano, kuna mchakato wa kunyakuwa maeneo ya Halmashauri za Hai na Moshi Vijijini ili ziingizwe kwenye manispaa.
Kusema kweli moshi ikiwa jiji kwa sasa bongo viwango vyetu vya jiji vitakuwa chini..
 
Sifa tumetimiza ila mchakato haujafikia mwisho.

Siyo kwamba mtu ana amka na kusema manispaa iwe jiji.

Mchakato lazima utimie.

Na kutokutimia mchakato haina maana kwamba Manispaa haina na au haijatimiza sifa.

Mfano, kuna mchakato wa kunyakuwa maeneo ya Halmashauri za Hai na Moshi Vijijini ili ziingizwe kwenye manispaa.
Hiv unaongelea moshi hii ya majengo,mbuyuni kcmc na shirimatunda na dar es salaam ? Au kuna nyingine?

Mji wa moshi mdogo mno .

Tukiongelea city tunaongelea tunaongelea urban area sasa vijiji vya machame,uru na marangu vikiwa sehemu ya jiji si vituko hivyo

Au mna maana nyingine ya kuwa jiji
 
Hiv unaongelea moshi hii ya majengo,mbuyuni kcmc na shirimatunda na dar es salaam ? Au kuna nyingine?
Mji wa moshi mdogo mno .
Tukiongelea city tunaongelea tunaongelea urban area sasa vijiji vya machame,uru na marangu vikiwa sehemu ya jiji si vituko hivyo
Au mna maana nyingine ya kuwa jiji

Unajua vigezo vya eneo kuwa jiji?
 
Kagera ilikuwa ya kwanza kimaendeleo miaka ya 60 na 70


Lakini mkoa umeporomoka na sababu zinatajwa
Ni kweli kabisa mkuu.. Kagera ilikuwa ya kwanza kwa maendeleo Africa nzima miaka ya 1940
 
Define a city
Sasa watu wa huko kilemakyaro wakiwa watu wa jiji kuu moshi si ni vituko

Kwa kuwa hufahamu vigezo vya manispaa kuwa jiji, basi, sitisha mjadala maana sasa utakuwa unajenga hoja vipi?
 
Kwa kuwa hufahamu vigezo vya manispaa kuwa jiji, basi, sitisha mjadala maana sasa utakuwa unajenga hoja vipi?
Hebu tusubiri Hilo jiji la ajabu.

Lenye Mitaa yenye migomba na vichaka.



Kumbuka hata population density kagera inawazidi mbali pamoja kuzidi mara tatu Ka Kilimanjaro kenu.
NB. Kagera ni mkoa wa tatu Kwa idadi ya watu nchini.
 
Hebu tusubiri Hilo jiji la ajabu.
Lenye Mitaa yenye migomba na vichaka.
Kumbuka hata population density kagera inawazidi mbali pamoja kuzidi mara tatu Ka Kilimanjaro kenu.
NB. Kagera ni mkoa wa tatu Kwa idadi ya watu nchini.

Huna hoja maana hujui vigezo vya jiji
 
Hebu tusubiri Hilo jiji la ajabu.
Lenye Mitaa yenye migomba na vichaka.
Kumbuka hata population density kagera inawazidi mbali pamoja kuzidi mara tatu Ka Kilimanjaro kenu.
NB. Kagera ni mkoa wa tatu Kwa idadi ya watu nchini.
After dar ni Mza eti?
 
Back
Top Bottom