Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,134
- 128,773
Japo mimi sio mwanachama wa Chadema, siamini kuwa ni kweli kuna hii hali tete unayoizumza hapa!.
Ila naamini kuna uwezekano mkubwa Mhe. Mbowe, sasa ameukubali ukweli halisi kuwa Chadema peke yao kamwe hawawezi kuliondoa hili dubwana CCM bila ushirikiano wa kuunganisha nguvu na wapinzani wengine wote wa kweli kutengeneza umoja ni nguvu, utakaopelekea kusimamisha mgombea mmoja mwenye nguvu na atakayekubalika na wengi ili uchaguzi wa 2015, uwe ni wa ama Sao, ama zetu na kuondokana na ule utitiri wa wagombea hivyo mfaidika ni CCM!.
Dr ni mtu wa chuki, hasira, visasi na kinyongo, hivyo akikumbuka alivyoteseka ile 2010 huku hao wanaojiita wapinzani wakishirikiana na CCM, anaweza asikubali ushirikiano wa aina yoyote na watu wasioaminiana!. Huu ni mwendelezo tuu wa ukosefu wa busara. Chadema peke yao kamwe hawawezi!.
Amini nawaambieni, isinge kuwa chuki, hasira, visasi na ukosefu wa busara japo kidogo tuu, hata hili suala la Zitto na ule waraka, lisinge fika hapa lilipofikishwa!.
Mhe. Mbowe pamoja na weaknesses zake kama binadamu na uwezo mdogo as charismatic leader, bado ni very visionary leader anayeona mbali, very diplomatic, very compromising asiye na chuki, visasi kwa yaliyopita, na mnaweza kushangaa katika Baraza Kuu, ndie yeye anaweza to forgive, forget and open a new chapter in Chadema kufungua milango ya political diversity kukubali na accommodate differing political views za mawazo tofauti kitu ambacho ni kigumu sana kukubalika na ex seminarians waliolelewa kwenye very conservatism doctrine ya kukubali kwa kusema yes bila kuuliza, na ukitofautiana nao hata katika jambo dogo, kwao ni uasi!.
Pasco
Ila naamini kuna uwezekano mkubwa Mhe. Mbowe, sasa ameukubali ukweli halisi kuwa Chadema peke yao kamwe hawawezi kuliondoa hili dubwana CCM bila ushirikiano wa kuunganisha nguvu na wapinzani wengine wote wa kweli kutengeneza umoja ni nguvu, utakaopelekea kusimamisha mgombea mmoja mwenye nguvu na atakayekubalika na wengi ili uchaguzi wa 2015, uwe ni wa ama Sao, ama zetu na kuondokana na ule utitiri wa wagombea hivyo mfaidika ni CCM!.
Dr ni mtu wa chuki, hasira, visasi na kinyongo, hivyo akikumbuka alivyoteseka ile 2010 huku hao wanaojiita wapinzani wakishirikiana na CCM, anaweza asikubali ushirikiano wa aina yoyote na watu wasioaminiana!. Huu ni mwendelezo tuu wa ukosefu wa busara. Chadema peke yao kamwe hawawezi!.
Amini nawaambieni, isinge kuwa chuki, hasira, visasi na ukosefu wa busara japo kidogo tuu, hata hili suala la Zitto na ule waraka, lisinge fika hapa lilipofikishwa!.
Mhe. Mbowe pamoja na weaknesses zake kama binadamu na uwezo mdogo as charismatic leader, bado ni very visionary leader anayeona mbali, very diplomatic, very compromising asiye na chuki, visasi kwa yaliyopita, na mnaweza kushangaa katika Baraza Kuu, ndie yeye anaweza to forgive, forget and open a new chapter in Chadema kufungua milango ya political diversity kukubali na accommodate differing political views za mawazo tofauti kitu ambacho ni kigumu sana kukubalika na ex seminarians waliolelewa kwenye very conservatism doctrine ya kukubali kwa kusema yes bila kuuliza, na ukitofautiana nao hata katika jambo dogo, kwao ni uasi!.
Pasco