Hali bado tete CHADEMA

Hali bado tete CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Mlipota utahangaika sana bosiwenu kapanda cheo mtalipoti sana mambo yakijinga jinga kamamnafikili kupitia ------
 
Mwanaripota wetu utaifakwanza zile ripoti zako ulizokuwa unatupa wakati unasafiri na jangili mkuu wa kisomali AbdulKindovu Katembo utaendelea kuripoti tena au?? Kwasababu naona baba Asha ameongeza MIZIGO zaidi badala ya kuipunguza kama jangili alivyotaka
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA HALI BADO TETE.
SASA NI MBOWE vs SLAA.


Baada ya kutokufanikiwa kumvua uanachama wake na kufanikiwa kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama na ndani ya bunge sasa hali sio nzuri ndani ya chama na hasa viongozi wakuu M/kiti na Katibu wake ndani ya chama.


Mwanaripota wetu ndani ya mtaa wa UFIPA yaliopo makao makuu ya chama anadai kumekuwepo na vikao vya Mara kwa Mara baada tu kusigana na Mzalendo zito zuberi kabwe.


Moja kati ya ajenda jadiliwa kwenye kikao ni namna gani wataunda baraza kivuli la mawaziri baada ya kumvua nyadhifa zake zito.,


Msuguano mkubwa uliopo kati ya Mbowe na Slaa ni huu


Mbowe anataka kuunda baraza kivuli akivishirikisha vyama pinzani bungeni vyenye wabunge yeye km kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ameona upungufu huo na kutakakuunganisha nguvu.


Nae katibu wa chama kama mgombea urais aliepita yeye hakubaliani na
M/kiti wake na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ktk suaka la kuunda kambi ya pamoja ya upinzani bungeni.,yeye anataka wasifanye badiliko lolote ndani ya bunge .
Mimi najiuliza Je?ni nani mwenye sauti ndani ya chama?kati ya Mbowe na Slaa, sijapata jibu hapo.
Kusigana huko kwenye vikao kulifanya kutengeneza Makundi mengine mawili tena,


Sasa kuna kundi la Mbowe vs Slaa ndani ya chama ukiliweka pembeni lile la Mzalendo.


Tujiulize nini Matokeo yake na mwisho WAO.,


Kwa chuki zao mbaya, Roho zao mbaya na hata Ubinafsi WAO wakuwachukia wenzao maeneo wanayotokea bila kujali utaifa na umaskini tulionao,


Yamebainika nayatatokea mengi ndani ya chadema,
Watanzania na wanachadema wako viongozi makini kwenye vyama hivi vya upinzani tusione haya kuhamia huko kwani hiyo sio dini useme utaulizwa na Baba au mkee hiyo ni siasa na ni MFUMO wa Maisha yk pindi unapopata kiongozi mzuri.
Mwandishi

unaonekana wazi uko biased! Nilidhani hoja yako ni objective, kumbe ni subjective! Kwa heri!
 
CHADEMA HALI BADO TETE.
SASA NI MBOWE vs SLAA.


Baada ya kutokufanikiwa kumvua uanachama wake na kufanikiwa kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama na ndani ya bunge sasa hali sio nzuri ndani ya chama na hasa viongozi wakuu M/kiti na Katibu wake ndani ya chama.


Mwanaripota wetu ndani ya mtaa wa UFIPA yaliopo makao makuu ya chama anadai kumekuwepo na vikao vya Mara kwa Mara baada tu kusigana na Mzalendo zito zuberi kabwe.


Moja kati ya ajenda jadiliwa kwenye kikao ni namna gani wataunda baraza kivuli la mawaziri baada ya kumvua nyadhifa zake zito.,


Msuguano mkubwa uliopo kati ya Mbowe na Slaa ni huu


Mbowe anataka kuunda baraza kivuli akivishirikisha vyama pinzani bungeni vyenye wabunge yeye km kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ameona upungufu huo na kutakakuunganisha nguvu.


Nae katibu wa chama kama mgombea urais aliepita yeye hakubaliani na
M/kiti wake na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ktk suaka la kuunda kambi ya pamoja ya upinzani bungeni.,yeye anataka wasifanye badiliko lolote ndani ya bunge .
Mimi najiuliza Je?ni nani mwenye sauti ndani ya chama?kati ya Mbowe na Slaa, sijapata jibu hapo.
Kusigana huko kwenye vikao kulifanya kutengeneza Makundi mengine mawili tena,


Sasa kuna kundi la Mbowe vs Slaa ndani ya chama ukiliweka pembeni lile la Mzalendo.


Tujiulize nini Matokeo yake na mwisho WAO.,


Kwa chuki zao mbaya, Roho zao mbaya na hata Ubinafsi WAO wakuwachukia wenzao maeneo wanayotokea bila kujali utaifa na umaskini tulionao,


Yamebainika nayatatokea mengi ndani ya chadema,
Watanzania na wanachadema wako viongozi makini kwenye vyama hivi vya upinzani tusione haya kuhamia huko kwani hiyo sio dini useme utaulizwa na Baba au mkee hiyo ni siasa na ni MFUMO wa Maisha yk pindi unapopata kiongozi mzuri.

Porojo tu hapo... masalia mnatapatapa. Kutoka kwa MM kunaizoofisha vp KU?

Pole sana salia, sasa ni muda wako wa kutilia dada achana na issue za CHADEMA
 
cdm ni wauza sumu, hakuna mtu mbinafsi duniani kama Babu Slaa

Malizia kabisa,Mkiti wa bodi ya hospitali y CCBRT moja kati ya hospitali zilizofanikiwa sana.
Mtukane Slaa utakavyo lkn ujue ndani ya RC huwi katibu wa baraza la maaskofu mtu mburula
 
CHADEMA HALI BADO TETE.
SASA NI MBOWE vs SLAA.


Baada ya kutokufanikiwa kumvua uanachama wake na kufanikiwa kumvua nyadhifa zake zote ndani ya chama na ndani ya bunge sasa hali sio nzuri ndani ya chama na hasa viongozi wakuu M/kiti na Katibu wake ndani ya chama.


Mwanaripota wetu ndani ya mtaa wa UFIPA yaliopo makao makuu ya chama anadai kumekuwepo na vikao vya Mara kwa Mara baada tu kusigana na Mzalendo zito zuberi kabwe.


Moja kati ya ajenda jadiliwa kwenye kikao ni namna gani wataunda baraza kivuli la mawaziri baada ya kumvua nyadhifa zake zito.,


Msuguano mkubwa uliopo kati ya Mbowe na Slaa ni huu


Mbowe anataka kuunda baraza kivuli akivishirikisha vyama pinzani bungeni vyenye wabunge yeye km kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ameona upungufu huo na kutakakuunganisha nguvu.


Nae katibu wa chama kama mgombea urais aliepita yeye hakubaliani na
M/kiti wake na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ktk suaka la kuunda kambi ya pamoja ya upinzani bungeni.,yeye anataka wasifanye badiliko lolote ndani ya bunge .
Mimi najiuliza Je?ni nani mwenye sauti ndani ya chama?kati ya Mbowe na Slaa, sijapata jibu hapo.
Kusigana huko kwenye vikao kulifanya kutengeneza Makundi mengine mawili tena,


Sasa kuna kundi la Mbowe vs Slaa ndani ya chama ukiliweka pembeni lile la Mzalendo.


Tujiulize nini Matokeo yake na mwisho WAO.,


Kwa chuki zao mbaya, Roho zao mbaya na hata Ubinafsi WAO wakuwachukia wenzao maeneo wanayotokea bila kujali utaifa na umaskini tulionao,


Yamebainika nayatatokea mengi ndani ya chadema,
Watanzania na wanachadema wako viongozi makini kwenye vyama hivi vya upinzani tusione haya kuhamia huko kwani hiyo sio dini useme utaulizwa na Baba au mkee hiyo ni siasa na ni MFUMO wa Maisha yk pindi unapopata kiongozi mzuri.

ubongo wako ndio tete mwigulu mkubwa weee,,,,
 
Chama cha walaghai na mawaziri kivuli lazima wawe walaghai tu.
 
hivi ni sheria ndizo zinazosema kuwa ni lazima chama chenye viti vingi bungeni kuunda baraza kivuli bila kushirikisha vyama vingine ama ni utashi tu wa chama husika?
kwa maoni yangu ningependa vyama pinzani kuunganisha nguvu na kuwa na baraza lenye muunganiko wa vyama vyote vyenye wabunge,hii ingesaidia kuleta mshikamano na kuondoa utengano,maana vyama vyote hivi madhumuni yao yanafanana.
 
Mbowe ndiyo kirusi ndani ya CHADEMA akiondoka madarakani(mwenyekiti) chama kitafika mbali zaidi.
 
Furaha yangu itatimia wakichapana kabisa!!!!!

Ukishakula nyama ya mtu utaendelea kula milele....

Ngoja nitengeneze picha...ngumi za kavukavu Slaa vs Mbowe ....Mbowe akitaka amkalishe babu Slaa ahakikishe hakuna fimbo jirani....maana kina garma kwa kutumia fimbo ni noma.....
 
Mleta mada unachekesha sana Yaani kila kukicha ni kuipa promo chadema . hakuna ujinga huo chadema wala si suala la kutufanya tukutane . hiyo umeipanga asubuhi ili uwahi kupata buku saba zako ukanywe chai.zungumzia mawaziri mizigo na siyo chadema.
 
Kazana kuropoka dhidi ya chadema unaweza kufikiriwa kuwa naibu waziri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom