Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,749
- 1,311
- Thread starter
- #41
Hee mamie kulikoni huyu amu kuwekwa selo?????
Aah,shosti charminglady,kuna jamaa anajiita Amsterdam alikuja kututusi hapa mchana kuwa sie ni watu wazima hovyo,wapenda ngono,wasio na kazi nk,ndipo tukaingia msituni kupambana nae,ndipo shostito amu akawa majeruhi na kupelekwa selo ambapo amekaa kama dakika 30 hivi,na baada ya wadau kuomba afunguliwe,mods walitumia busara zao na kumfungua.
Last edited by a moderator: